Padre unampiga konzi hivi mwanangu labda uyeyuke vinginevyo pangechimbika

Padre unampiga konzi hivi mwanangu labda uyeyuke vinginevyo pangechimbika

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Wakuu,

Kuna hii Video inayosambaa inamuonyesha Padre akimpiga konzi msaidizi wake aliyeshika Mic wakati akifungisha ndoa, jambo lililowaacha wageni midomo wazi.

Tukio hilo limezua mjadala kuhusu hatua ya mchungaji kumwadhibu msaidizi wake hadharani kwa kushindwa kuielekezea vizuri Mic kwa bwana harusi wakati akifuatisha maneno ya mchungaji huyo.

Huyo angekuwa mtoto wako ungechukua hatua gani?

 
Wakuu,

Kuna hii Video inayosambaa inamuonyesha mchungaji akimpiga konzi msaidizi wake aliyeshika Mic wakati akifungisha ndoa, jambo lililowaacha wageni midomo wazi.

Tukio hilo limezua mjadala kuhusu hatua ya mchungaji kumwadhibu msaidizi wake hadharani kwa kushindwa kuielekezea vizuri Mic kwa bwana harusi wakati akifuatisha maneno ya mchungaji huyo.
Huyo haitwi mchungaji. Jifunze kutumia msamiati sahihi mahali sahihi
 
Wakuu,

Kuna hii Video inayosambaa inamuonyesha Padre akimpiga konzi msaidizi wake aliyeshika Mic wakati akifungisha ndoa, jambo lililowaacha wageni midomo wazi.

Tukio hilo limezua mjadala kuhusu hatua ya mchungaji kumwadhibu msaidizi wake hadharani kwa kushindwa kuielekezea vizuri Mic kwa bwana harusi wakati akifuatisha maneno ya mchungaji huyo.

Huyo angekuwa mtoto wako ungechukua hatua gani?

wenzio wanawaogopa hao kama Mungu
 
Wakuu,

Kuna hii Video inayosambaa inamuonyesha Padre akimpiga konzi msaidizi wake aliyeshika Mic wakati akifungisha ndoa, jambo lililowaacha wageni midomo wazi.

Tukio hilo limezua mjadala kuhusu hatua ya mchungaji kumwadhibu msaidizi wake hadharani kwa kushindwa kuielekezea vizuri Mic kwa bwana harusi wakati akifuatisha maneno ya mchungaji huyo.

Huyo angekuwa mtoto wako ungechukua hatua gani?

heshimu hata mtumishi wa Mungu baasi
 
Hizo comment hapo juu inaonesha ni kwa jinsi gan watu ni brain washed na mna chuki sana na watu wa MUNGU

Ivi kweli kuna mtoto ana weza kua bila kwenzi
 
Back
Top Bottom