Wazazi wa siku hizi tuna ufala sana,sasa hilo konzi ww huwezi kumpiga mwanao akiwa anazubaa zubaa?au huko shuleni hamkupata makonzi kwenye kusema orodha?
Naona hapo ni kawaida tu ,hao altar boy wako chini ya Padre kimalezi sasa akiwa mzembe kula kofi au konzi sioni shida.
Mnadekeza sana watoto ndio maana watoto wa sasa hivi wamezubaa,mashoga nk.