Mtani wa Taifa
JF-Expert Member
- Aug 2, 2023
- 953
- 3,318
Poleni wagalatia kwa kupoteza mtumishi kijana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante mvaa kubaziPoleni wagalatia kwa kupoteza mtumishi kijana.
Hiyo hajari hilitokeaje aligongwa au alianguka fafanuaView attachment 2721859
TANZIA -JIMBO KATOLIKI LA BUKOBA
Askofu Method Kilaini, anawatangazia kifo cha padre Asterius Mutegeki, kilichotokea tarehe 18 Agosti 2023 kwa jali ya pikipiki. Padre Asterius ni kijana aliyepadrishwa mwaka jana Julai 2022. Ni mzaliwa wa visiwa vya Bumbile na Padre wa kwanza kutoka visiwa hivyo. Ni majonzi makubwa. Alikuwa anafanya kazi katika Parokia ya Ishozi wilaya ya Misenyi Jimboni Bukoba.
Pole sana kwa Ta Wincheslaus Barongo baba yake Pamoja na Mama yake na wana Bumbile wote. Pole kwa mapadre, watawa na waamini wa jimbo la Bukoba na kanisa zima la Tanzania.
Sote tumwombee kwa Mungu apumzike kwa amani Amina.
RAHA YA MILELE UMPE EE BWANA NA MWANGA WA MILELE UMWANGAZIE APUMZIKE KWA AMANI.
Askofu Method Kilaini
Msimamizi wa Kitume Jimbo Katoliki la Bukoba
Mungu akurehemu na akupe hekima ya kutambua kuwa huna akili.Anakufa na dhambi zake Mungu akamhukumu mtetezi wa wezi wa bandari
USSR
Sent from my TECNO B1c using JamiiForums mobile app
Yaani wewe unawaza ulozi tu.Hajarogwa kweli huyu?
Watu wabaya sana.
HatarView attachment 2721859
TANZIA -JIMBO KATOLIKI LA BUKOBA
Askofu Method Kilaini, anawatangazia kifo cha padre Asterius Mutegeki, kilichotokea tarehe 18 Agosti 2023 kwa jali ya pikipiki. Padre Asterius ni kijana aliyepadrishwa mwaka jana Julai 2022. Ni mzaliwa wa visiwa vya Bumbile na Padre wa kwanza kutoka visiwa hivyo. Ni majonzi makubwa. Alikuwa anafanya kazi katika Parokia ya Ishozi wilaya ya Misenyi Jimboni Bukoba.
Pole sana kwa Ta Wincheslaus Barongo baba yake Pamoja na Mama yake na wana Bumbile wote. Pole kwa mapadre, watawa na waamini wa jimbo la Bukoba na kanisa zima la Tanzania.
Sote tumwombee kwa Mungu apumzike kwa amani Amina.
RAHA YA MILELE UMPE EE BWANA NA MWANGA WA MILELE UMWANGAZIE APUMZIKE KWA AMANI.
Askofu Method Kilaini
Msimamizi wa Kitume Jimbo Katoliki la Bukoba
Rest in hellView attachment 2721859
TANZIA -JIMBO KATOLIKI LA BUKOBA
Askofu Method Kilaini, anawatangazia kifo cha padre Asterius Mutegeki, kilichotokea tarehe 18 Agosti 2023 kwa jali ya pikipiki. Padre Asterius ni kijana aliyepadrishwa mwaka jana Julai 2022. Ni mzaliwa wa visiwa vya Bumbile na Padre wa kwanza kutoka visiwa hivyo. Ni majonzi makubwa. Alikuwa anafanya kazi katika Parokia ya Ishozi wilaya ya Misenyi Jimboni Bukoba.
Pole sana kwa Ta Wincheslaus Barongo baba yake Pamoja na Mama yake na wana Bumbile wote. Pole kwa mapadre, watawa na waamini wa jimbo la Bukoba na kanisa zima la Tanzania.
Sote tumwombee kwa Mungu apumzike kwa amani Amina.
RAHA YA MILELE UMPE EE BWANA NA MWANGA WA MILELE UMWANGAZIE APUMZIKE KWA AMANI.
Askofu Method Kilaini
Msimamizi wa Kitume Jimbo Katoliki la Bukoba
....sababu upo.......