TANZIA Padre wa Jimbo la Bukoba Afariki kwa Ajali ya Pikipiki

Duh hii pikipiki mbona imeharibika hivyo duh imegonga punda nini
R I P
 
Apumzike kwa amani.

Naye atafuta kila chozi katika macho yao, wala mauti haitakuwapo tena; wala maombolezo, wala kilio, wala maumivu hayatakuwapo tena; kwa kuwa mambo ya kwanza yamekwisha kupita.
Na yeye aketiye juu ya kile kiti cha enzi akasema, Tazama, nayafanya yote kuwa mapya. Akaniambia, Andika ya kwamba maneno hayo ni amini na kweli. Uf. 21:4
 
Hiyo hajari hilitokeaje aligongwa au alianguka fafanua
 
R.I.P raha ya milele umpe eeeeh bwana na mwanga wa milele umwangazie πŸ™πŸ™πŸ™
 
Hatar
 
Rest in hell
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…