Hasara kwa nani sasa?Alikuwa ni padri mmoja noma sana!Kila siku misa ya asubuhi ni saa tisa kamili usiku,ukichelewa hata dakika moja anakufungia nje halafu adhabu yake unapaswa ukachote mchanga wa ujenzi mtoni debe mia!
Hahahahaah sasa ukiacha kwenda kanisani si anaweza akakufungia safari kukufuata nyumbani kabisa.Halafu ni kama alikuwa na kipaji fulani hivi kwenye hayo mambo ya dini.Kanisa lake lina waumini wengi sana(mamia ya watu) ila siku ukikosa kanisani halafu ukaja jumapili inayofuata anagundua,ni anatoka kule mbele anakufuata halafu anakupiga makofi mengi sana kwa kutumia biblia halafu anakupa adhabu ya kwenda kuchota mchanga mtoni debe mia ambako ni mbali sana na pana milima mingi!
Tulikuwa tunapambana na chui sana.Imagine Misa inaanza saa tisa kamili usiku halafu kanisa lipo umbali wa 5Km na tunatembea kwa miguu vijijini huko!Saa tisa usiku mkuu,fafanua please
Hasara kwa lipi?Hasara kwa nani sasa?
Taarifa ya TEC tuichukulie serious.
Padri alikuwa mtata huyu balaa duhhh pumzika baba
Kwa kondoo wake,badala ya kuwakusanya anawatawanyaHasara kwa lipi?
paper zake zilikuwa Moto au!!Huyu padri alikuwaga kiboko! Nakumbuka sikuwahi kupata kipaimara hadi leo kwa sababu ya huyu Mzee.
Makofi kwa biblia ππ€£π π€£πHalafu ni kama alikuwa na kipaji fulani hivi kwenye hayo mambo ya dini. Kanisa lake lina waumini wengi sana(mamia ya watu) ila siku ukikosa kanisani halafu ukaja jumapili inayofuata anagundua,ni anatoka kule mbele anakufuata halafu anakupiga makofi mengi sana kwa kutumia biblia halafu anakupa adhabu ya kwenda kuchota mchanga mtoni debe mia ambako ni mbali sana na pana milima mingi!
Ni ngumu kwa waaminiPumzikeni kwenda kanisani wandugu