TANZIA Padri Bonaventuta Kisamaka afariki dunia

TANZIA Padri Bonaventuta Kisamaka afariki dunia

Itabidi ibada isimamishwe kwa muda, mapadre wetu wanaisha

Maambukizi zaidi ya Covid19 (superspreader) ni kipindi cha maungamo(during confession), na pia wakati wa kukomunisha!
 
Huyu padri alikuwaga kiboko! Nakumbuka sikuwahi kupata kipaimara hadi leo kwa sababu ya huyu Mzee.
Mku kwa kung'oa Mawe ya Bokidi huko Kibosho au kwani ndo alikomesha mila za kizamani.
Mm mwenyewe nilikuwa naomba Mungu sana niende kumsalimia na kupata Maombi.
Nilichunguza pa kumpata nikaambiwa alikuwa ktk kile cha Mwenge Moshi.
Mungu ailaze Roho yake mahali pema Peponi.
Amina
 
Mku kwa kung'oa Mawe ya Bokidi huko Kibosho au kwani ndo alikomesha mila za kizamani.
Mm mwenyewe nilikuwa naomba Mungu sana niende kumsalimia na kupata Maombi.
Nilichunguza pa kumpata nikaambiwa alikuwa ktk kile cha Mwenge Moshi.
Mungu ailaze Roho yake mahali pema Peponi.
Amina
Amesumbua sana Moshi huyu padri.
 
Tulikuwa tunapambana na chui sana.Imagine Misa inaanza saa tisa kamili usiku halafu kanisa lipo umbali wa 5Km na tunatembea kwa miguu vijijini huko!
Hahah We jamaa ni mkibosho wa wapi?

Mungu amjalie pumziko la milele Padre Kisamaka.. aligusa maisha ya wengi
 
H
Halafu ni kama alikuwa na kipaji fulani hivi kwenye hayo mambo ya dini. Kanisa lake lina waumini wengi sana(mamia ya watu) ila siku ukikosa kanisani halafu ukaja jumapili inayofuata anagundua,ni anatoka kule mbele anakufuata halafu anakupiga makofi mengi sana kwa kutumia biblia halafu anakupa adhabu ya kwenda kuchota mchanga mtoni debe mia ambako ni mbali sana na pana milima mingi!
Hii inashangaza kwakweli. Makofi ya biblia yanauma kuliko ya kawaida, unaweza ukashangaa jaws zote zimejikusanya upande mmoja🤓😆
 
Kipimo cha imani zetu anakijua Mungu tuu

Kwa waamini wa uwepo wa Mungu miaka yetu ya kuishi anayo yeye muumba iwe ni kwa corona, malaria, presha, sukari, ajali au hata bila ugonjwa. Hakuna cha kuuondoa uhai wetu bila Mungu kuachilia kibali, na kibali kinategemea na uaminifu wetu kwake na moyo wa toba.... kama kweli tunaanza nae na kumaliza nae Mwenye enzi.

Mama yetu Gertrude alitwaliwa katika 70 yake na tunaendelea kumshukuru Mungu kwaajili ya uhai wake
mama D umenitisha kwa neno
 
mama D umenitisha kwa neno
Kama kweli wewe ni muumini wa Mungu aliye hai..... Ukiona kitu kimeshindikana kwa uwezo waliopewa wanadamu, jisalimishe kwa yule mwenye nguvu, uwezo na mamlaka zote juu ya ulimwengu huu na vitu vyote.
Hajawahi kuishindwa wala hatashindwa🙏
 
Hahah We jamaa ni mkibosho wa wapi?

Mungu amjalie pumziko la milele Padre Kisamaka.. aligusa maisha ya wengi
Kisamaka hakuanzia Kibosho.Kisamaka alihamishiwa kibosho akiwa ameshazeeka.Kisamaka kijana hakuwa huyo Kisamaka wa Kibosho.
 
Back
Top Bottom