Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aliyewahi kuwa Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Katoliki Ruaha (RUCU), Padri Cephas Mgimwa amefariki leo katika Hospitali ya Teule ya Tosamaganga Iringa
Makamu Mkuu wa Chuo amesema katika tangazo la kifo kuwa taarifa za siku na eneo ambalo atazikwa zitatolewa
View attachment 1728772
Tuko pamojaUpumzike kwa amani Mtumishi wa Mungu.
NB: Hawa ndio wakuwaombea kifo chema na pumziko jema,sio yule Sadist.
Vigugumizi vinawashika wakimuona alivyo strong kabisa. Kampeni alichakaza pamoja na fitina zote. Tumuogope Mungu awezaye kuua roho na mwili. Tingeijua kesho yetu tungetafakari yale tuyatendayo kwa wengine.Mlitaka afe,Lakini Mungu akamponya.
Ahimidiwe Mungu wa mbinguni peke yake,anayejua kikamilifu siku za uhai wetu.
Mataga wameshaanza kutagishwaLissu kaingiaje hapa
Nyie mataga habu lieni na msiba wenu huko alaaagh!₹🙂(₹&)
Inawezekana ana mimba ya lissuUna gubu na Lissu
MATAGA sasa hivi ukiwaambia habari za mitano tena yanaishia kukutukanaMATAGA itakuwaje sasa? Mitano Tena.
Unauliza ndevu kwa Osama?nini tena? bado ni changamoto ile ile?