Padri Dkt. Kitima: Sikujua sababu ya kuitwa Ikulu, msimamo wetu ni ule ule, hatukubaliani na IGA

Sikiliza we dogo

Umeanza na kwamba Mimi ni public servant, sasa unahamisha mada tena

Stay focused

Hoja ilikua Safi ukatafuta pa kutokea

SMDH
EeeehEEE Heeeee!

Sina tatizo kubwa na wewe; mbali ya kujichanganya mwenyewe kwenye uandishi wako.

Endelea kwa wakati wako.
 
Ahahahahaha! Wakati naanza kusoma nikafiri unajua unaochoandika. Nimefika mwishoni nikaishia kucheka! Ahahahahaha!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…