Padri Dkt. Kitima: Sikujua sababu ya kuitwa Ikulu, msimamo wetu ni ule ule, hatukubaliani na IGA

Padri Dkt. Kitima: Sikujua sababu ya kuitwa Ikulu, msimamo wetu ni ule ule, hatukubaliani na IGA

Kuhusu rasilimali za taifa hakuondoi mkataba kuwa ni siri ya pande mbili. Mjinga ni wewe uliyedhani kuvuja kwa mkataba wa IGA ni haki yako ya kuujadili, lile lilikuwa ni kosa la kimfumo ambalo limesharekebishwa tayari, hutakuja tena kuona mkataba wa aina ile.

Mjinga ni wewe unayedhani kuwa mmiliki wa mali za taifa ndio kuwa na kibali cha kujadili kila kinachojadiliwa na kufanyika, kama ni hivyo hakuna sababu ya kuwepo kwa nyaraka za serikali.

Hili la DP World mmepigwa na kitu chenye ncha kali utosini, tafuteni mada nyingine ya kujadili.
Haya, mtu mwenye fikra za namna hii utamchukuliaje unapokutana naye kama siyo kumwonea huruma tu.

Anafikiri serikali ya kitapeli ina ruhusa ya kufanya uhalifu wowote ule iutakao na isihojiwe na yeyote!

Anaamini mikataba kuwa siri ni njia nzuri za kulihujumu taifa, na hao wahujumu hakuna lolote wanaloweza kufanywa kwa uhujumu wao.

Sasa anawika kabisa kama kidume na kuwaambia watu "wamekwishapigwa na chenye ncha kali" akijua yeye kwa akili zake finyu kwamba uhalifu umeshinda.
 
Katibu Mkuu wa Baraza La Maaskofu wa Kanisa Katoliki Tanzania (TEC) Dkt.Charles Kitima amesema kuhudhuria halfa ya utiaji saini Mkataba wa Host Government Agreement (HGA) iliyofanyika Ikulu ya Chamwino Jijini Dodoma siku chache zilizopita haimaanishi kwamba wamekubaliana na mkataba wa Bandari kwani kulikuwa na mazingira ambayo yeye kama yeye asingeweza kujua nini hasa ameitiwa na asingeweza kuweka masharti kwa Rais baada ya kupewa mwaliko ambayo yeye (Kitima) hakuwa anajua lengo lake.

Kitima ameyasema hayo baada JAMBO TV kutaka kupata ufafanuzi wa kile ambacho kilitokea Ikulu Dodoma ambapo kwenye hafla ya kusaini mkataba wa HGA kauli mbalimbali zilisikika zikisema hata wale ambao mwanzoni waliukosoa Mkataba ule (IGA) nao wamehudhuria halfa ya utiaji saini Mkataba wa (HGA) kitendo ambacho kiliashiria kubadili kwao msimamo kuhusu waliyokuwa wanaeleza kama mapungufu ya Mkataba wa makubaliano kati ya serikali ya Tanzania na Dubai wa uendeshaji wa Bandari za Tanzania

" Hatujaona mabadiliko kimaandishi, Tunasimama na Tamko la Maaskofu, tukiona kimaandishi mabadiliko yaliyofanywa kwenye IGA ndipo tutaonana kama mapungufu yamefanyiwa kazi" amesema

Dkt. Kitima amesisitiza kwamba bado msimamo wa Kanisa Katoliki Tanzania ni kwamba IGA inayo mapungufu hivyo hawajabadili msimamo.

Jambo TV
Hawa waarabu ni hatari sana kwa kulazimisha dili zao. Kinachotakiwa kwa upande wa serikali ni kufutwa IGA kwani kama ilivyo ilikataliwa kabisa. Huu mkataba wa bandari unaosemekana na samia mwenyewe ni zao la IGA hauwezi kuaminika hata ungekuaje kwani kama IGA haikufutwa wakati wowote tunaweza kuchenjiwa kibao. Ukweli serikali ya mama samia sio watu wa kuaminika kuhusu makubaliano yoyote na waarabu.
 
Alialikwa bila kuambiwa mwaliko ulihusu nini

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu wa majeshi ya Ulinzi na Usalama ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania anayo furaha kukukaribisha

Bwana na Bibi/Bi/Prof/Dkt.

FR CHARLES KITIMA

katika Hafla Maalum itakayofanyika siku ya jumapili tarehe 22 Oktoba 2023, Ikulu Chamwino, Dodoma saa 04:00 asubuhi.

Jibu kwa: Mnikulu, Ikulu, Dodoma, Simu: +255 714 186 948

2000

Ikulu Chamwino, Dodoma

Tafadhali Njoo na Kadi Hii

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama kanisa walipashwa kuuliza
Kama mnaitwa kushiriki dhambi Je?

Mkuu
Kama Kanisa wamekosa sana..
Saaa wanakuja na story

Wameingizwa kwenye pool kilaini sana
Mara mapokezi ya Ask Rugambwa maphotooo kwa wingi Mwingine Alienda Vatican kwa sherehe wakati yeye ni muanglican.. hawakusoma alama za nyakati?
Watengane nao period
Wahubiri mageuzi period
Tz itapona not otherwise..
Pole nimekuwa harsh but hii ni ukweli mchungu.
 
Umetumia lugha usiyo ielewa vizuri, na ulipojibiwa katika lugha ile ile akili zote zikakuruka kichwani.
Watu wa aina yako ndio waliojazana huko ndani ya serikali hii ya kitapeli sasa hivi. Hakuna lolote la maana mnalolijua; kazi ni kutumia ulaghai na ujanja ujanja tu; toka juu kwa mkuu wenu, hadi ngazi za chini kabisa.
Once again…. Unahangaika

After 25 years kitaa Huwezi kunirudisha serikalini

Too late
 
Once again…. Unahangaika

After 25 years kitaa Huwezi kunirudisha serikalini

Too late
Duh!

Basi sawa.
Hiyo serikali unayoisema wewe ndiyo inayowanufaisha sana watu wa aina yako. Kwa hiyo huhitaji kuwa serikalini. Ndiyo maana ya nyinyi kuipigania kufa kupona mkiwa huko nje yake kwa vile mnaitumia kujinufaisha huko huko mliko.
 
Duh!

Basi sawa.
Hiyo serikali unayoisema wewe ndiyo inayowanufaisha sana watu wa aina yako. Kwa hiyo huhitaji kuwa serikalini. Ndiyo maana ya nyinyi kuipigania kufa kupona mkiwa huko nje yake kwa vile mnaitumia kujinufaisha huko huko mliko.
Basi sawa Labda watatupa dual citizenship ili tuwe beneficiaries wa ukwei

Maana sasa Umekua speculative kasuku
 
Katibu Mkuu wa Baraza La Maaskofu wa Kanisa Katoliki Tanzania (TEC) Dkt.Charles Kitima amesema kuhudhuria halfa ya utiaji saini Mkataba wa Host Government Agreement (HGA) iliyofanyika Ikulu ya Chamwino Jijini Dodoma siku chache zilizopita haimaanishi kwamba wamekubaliana na mkataba wa Bandari kwani kulikuwa na mazingira ambayo yeye kama yeye asingeweza kujua nini hasa ameitiwa na asingeweza kuweka masharti kwa Rais baada ya kupewa mwaliko ambayo yeye (Kitima) hakuwa anajua lengo lake.

Kitima ameyasema hayo baada JAMBO TV kutaka kupata ufafanuzi wa kile ambacho kilitokea Ikulu Dodoma ambapo kwenye hafla ya kusaini mkataba wa HGA kauli mbalimbali zilisikika zikisema hata wale ambao mwanzoni waliukosoa Mkataba ule (IGA) nao wamehudhuria halfa ya utiaji saini Mkataba wa (HGA) kitendo ambacho kiliashiria kubadili kwao msimamo kuhusu waliyokuwa wanaeleza kama mapungufu ya Mkataba wa makubaliano kati ya serikali ya Tanzania na Dubai wa uendeshaji wa Bandari za Tanzania

" Hatujaona mabadiliko kimaandishi, Tunasimama na Tamko la Maaskofu, tukiona kimaandishi mabadiliko yaliyofanywa kwenye IGA ndipo tutaonana kama mapungufu yamefanyiwa kazi" amesema

Dkt. Kitima amesisitiza kwamba bado msimamo wa Kanisa Katoliki Tanzania ni kwamba IGA inayo mapungufu hivyo hawajabadili msimamo.

Jambo TV
Hayo ungeyasema huko ulikoalikwa kabla hata ya chai nzito kuinywa,endeleeni na msimamo wenu Serikali nayo iendeleee na msimamo wake,hakuna kilichokikamilifu iwe taasisi ya dini au serikali,Cha msingi maisha yaendelee, hata kwenye taasisi zenu za kidini kuna mapungufu mazito lkn tunaendelea kuyavumilia kwa Imani.
 
Katibu Mkuu wa Baraza La Maaskofu wa Kanisa Katoliki Tanzania (TEC) Dkt.Charles Kitima amesema kuhudhuria halfa ya utiaji saini Mkataba wa Host Government Agreement (HGA) iliyofanyika Ikulu ya Chamwino Jijini Dodoma siku chache zilizopita haimaanishi kwamba wamekubaliana na mkataba wa Bandari kwani kulikuwa na mazingira ambayo yeye kama yeye asingeweza kujua nini hasa ameitiwa na asingeweza kuweka masharti kwa Rais baada ya kupewa mwaliko ambayo yeye (Kitima) hakuwa anajua lengo lake.

Kitima ameyasema hayo baada JAMBO TV kutaka kupata ufafanuzi wa kile ambacho kilitokea Ikulu Dodoma ambapo kwenye hafla ya kusaini mkataba wa HGA kauli mbalimbali zilisikika zikisema hata wale ambao mwanzoni waliukosoa Mkataba ule (IGA) nao wamehudhuria halfa ya utiaji saini Mkataba wa (HGA) kitendo ambacho kiliashiria kubadili kwao msimamo kuhusu waliyokuwa wanaeleza kama mapungufu ya Mkataba wa makubaliano kati ya serikali ya Tanzania na Dubai wa uendeshaji wa Bandari za Tanzania

" Hatujaona mabadiliko kimaandishi, Tunasimama na Tamko la Maaskofu, tukiona kimaandishi mabadiliko yaliyofanywa kwenye IGA ndipo tutaonana kama mapungufu yamefanyiwa kazi" amesema

Dkt. Kitima amesisitiza kwamba bado msimamo wa Kanisa Katoliki Tanzania ni kwamba IGA inayo mapungufu hivyo hawajabadili msimamo.

Jambo TV
vipi kitima alivyowatia mimba wanafunzi saut mwanza sio mapungufu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Katibu Mkuu wa Baraza La Maaskofu wa Kanisa Katoliki Tanzania (TEC) Dkt.Charles Kitima amesema kuhudhuria halfa ya utiaji saini Mkataba wa Host Government Agreement (HGA) iliyofanyika Ikulu ya Chamwino Jijini Dodoma siku chache zilizopita haimaanishi kwamba wamekubaliana na mkataba wa Bandari kwani kulikuwa na mazingira ambayo yeye kama yeye asingeweza kujua nini hasa ameitiwa na asingeweza kuweka masharti kwa Rais baada ya kupewa mwaliko ambayo yeye (Kitima) hakuwa anajua lengo lake.

Kitima ameyasema hayo baada JAMBO TV kutaka kupata ufafanuzi wa kile ambacho kilitokea Ikulu Dodoma ambapo kwenye hafla ya kusaini mkataba wa HGA kauli mbalimbali zilisikika zikisema hata wale ambao mwanzoni waliukosoa Mkataba ule (IGA) nao wamehudhuria halfa ya utiaji saini Mkataba wa (HGA) kitendo ambacho kiliashiria kubadili kwao msimamo kuhusu waliyokuwa wanaeleza kama mapungufu ya Mkataba wa makubaliano kati ya serikali ya Tanzania na Dubai wa uendeshaji wa Bandari za Tanzania

" Hatujaona mabadiliko kimaandishi, Tunasimama na Tamko la Maaskofu, tukiona kimaandishi mabadiliko yaliyofanywa kwenye IGA ndipo tutaonana kama mapungufu yamefanyiwa kazi" amesema

Dkt. Kitima amesisitiza kwamba bado msimamo wa Kanisa Katoliki Tanzania ni kwamba IGA inayo mapungufu hivyo hawajabadili msimamo.

Jambo TV
Hayo maombi aliyoyasoma kwenye karatasi aliyaandaa saa ngapi Kama ALIKUWA hajui aluchoitiwa
 
Katibu Mkuu wa Baraza La Maaskofu wa Kanisa Katoliki Tanzania (TEC) Dkt.Charles Kitima amesema kuhudhuria halfa ya utiaji saini Mkataba wa Host Government Agreement (HGA) iliyofanyika Ikulu ya Chamwino Jijini Dodoma siku chache zilizopita haimaanishi kwamba wamekubaliana na mkataba wa Bandari kwani kulikuwa na mazingira ambayo yeye kama yeye asingeweza kujua nini hasa ameitiwa na asingeweza kuweka masharti kwa Rais baada ya kupewa mwaliko ambayo yeye (Kitima) hakuwa anajua lengo lake.

Kitima ameyasema hayo baada JAMBO TV kutaka kupata ufafanuzi wa kile ambacho kilitokea Ikulu Dodoma ambapo kwenye hafla ya kusaini mkataba wa HGA kauli mbalimbali zilisikika zikisema hata wale ambao mwanzoni waliukosoa Mkataba ule (IGA) nao wamehudhuria halfa ya utiaji saini Mkataba wa (HGA) kitendo ambacho kiliashiria kubadili kwao msimamo kuhusu waliyokuwa wanaeleza kama mapungufu ya Mkataba wa makubaliano kati ya serikali ya Tanzania na Dubai wa uendeshaji wa Bandari za Tanzania

" Hatujaona mabadiliko kimaandishi, Tunasimama na Tamko la Maaskofu, tukiona kimaandishi mabadiliko yaliyofanywa kwenye IGA ndipo tutaonana kama mapungufu yamefanyiwa kazi" amesema

Dkt. Kitima amesisitiza kwamba bado msimamo wa Kanisa Katoliki Tanzania ni kwamba IGA inayo mapungufu hivyo hawajabadili msimamo.

Jambo TV
Tulijua tu ni uhuni wa watu kama kina nape na kipara. Unawaita mapadri bila kuwaeleza nini unawaitia. Halafu unakuja kusema uongo kumbe mambo ni yaleyale. Hali ya hewa inaonesha waarabu wa DP wakizunguka nchi nzima kutaka kushika ardhi kubwakubwa kiwa kisingizio eti mipango yao ya miundombinu ya bandari. Tafadhali samia simamisha hawa waarabu wako maana wananchi hawahitaji ukoloni mambo leo wa kabila lolote. Wawe waarabu, wazungu au wachina hatutaki. Tunataka wawekezsji waadilifu faida 50 kwa 50.
 
Wala usimtilie maanani huyo Fr. Kitima. Hata Vatican yenyewe inamchukulia poa tu ndio maana ma junior wake wamepata u-Askofu kama vile Baba Askofu Msonganzila, Baba Mfumbusa kutaja wachache.
Unajua uaskofu unavyopatikana? Au unadhani uaskofu na mambo ya seniority? Nikwambie tu sio Kila mahali panahitaji Askofu au Kila padre maarufu anahitaji kuwa Askofu katoliki vyeo sio kama vya serikali wanavyogwana kishikaji shikaji.Jiulize kwanza jimboni kwa Fr.Kitima kuna hitaji Askofu?
 
Dah! walitaka tuamini kwamba TEC wameridhia, umeshawekeza matrilioni kwenye bandari na SGR kuendesha tu ushindwe? endeleeni kukaza mafuvu.
Uwekezaji wenyewe Dola mil 250$ ni mzaha halafu eti tutapata trilioni 26 😀😀Yaani mtu aweke Dola mil 250 halafu atupe zaidi dolla $10bil.Hata mwehu hadanganywi kirahisi hivyo.
 
Watanzania ni waoga watabaki kulalamika milele...

Ccm inaweza hata kuuza nchi,watz wakabaki wanalalamika mitandaoni tu.

No action.

Sisi ni sawa na kelele za chura hazimzuii ng'ombe kunywa maji.

Tulianza kuuzana utumwani enzi za mababu zetu, Laana ile imedumu mpaka leo.

Uafrika hasa utanzania ni laana.
 
Roma locuta, causa finita est....
Roman Catholic inachukuliwa poa, lakini ni kanisa ambalo liko makini na halijawahi kukurupuka.
Yes the Church always hit at the time hujafikiria chochote. Kwa Sasa hapo unakuta Kuna vikao vinaendele Tec kwa mashauriano na Vatican. Kanisa linaweza fanya Jambo na likatikisa Serikali na nchi Ila kanisa linaendelea kuchukulia Mambo kwa tahadhali kuepuka madhara ya kulihusisha kanisa moja kwa moja Kama Vita mbili zote za dunia, Kimbari Rwanda na Utumwa na Amerika.
 
Basi sawa Labda watatupa dual citizenship ili tuwe beneficiaries wa ukwei

Maana sasa Umekua speculative kasuku
Ina maana cha muhimu zaidi kwako ni hiyo "dual citizenship" hata wakishauza hiyo nchi unayopigania kubaki raia pacha wake?
'Diaspora' mwenye matatizo ya kujieleza namna yako itakuwa shida sana kuiletea nchi manufaa chanya... "Maana sasa Umekuwa speculative kasuku"... sijui unataka kueleza kitu gani hapo!
 
Ina maana cha muhimu zaidi kwako ni hiyo "dual citizenship" hata wakishauza hiyo nchi unayopigania kubaki raia pacha wake?
'Diaspora' mwenye matatizo ya kujieleza namna yako itakuwa shida sana kuiletea nchi manufaa chanya... "Maana sasa Umekuwa speculative kasuku"... sijui unataka kueleza kitu gani hapo!
Sikiliza we dogo

Umeanza na kwamba Mimi ni public servant, sasa unahamisha mada tena

Stay focused

Hoja ilikua Safi ukatafuta pa kutokea

SMDH
 
Back
Top Bottom