Padri Dkt. Kitima: Sikujua sababu ya kuitwa Ikulu, msimamo wetu ni ule ule, hatukubaliani na IGA

Padri Dkt. Kitima: Sikujua sababu ya kuitwa Ikulu, msimamo wetu ni ule ule, hatukubaliani na IGA

Nadhani pia una " walakini" na mabadiliko ya HJA na IGA tuloaminishwa siku Ile kuwa yamefanyika.
Bila hata kuonyesha au kueleza ni mabadiliko gani yamefanyika.

Nilisema tokea mwanzo, mwanamke huyu ni hatari zaidi kuliko hata kiongozi aliyekuwa akipiga kelele nyingi za vitisho, na hata kuumiza wapinzani wake.

Huyu Samia anaumiza taifa zima, huku akitabasamu na kuonyesha uso wa furaha.
 
Hiyo mialiko yenu "mikubwa" ndiko wanakoruhusiwa kuwa wadanganyifu, matapeli?

Sasa sura kamili ya utawala wa Samia imejifunua wazi.

Siyo kwamba ni mtu asiye aminika kwa lolote, bali ni mtu aliye tayari kudanganya kwa maksudi kabisa bila ya aibu.

Zaidi ya hapo, amejipambanua kuwa ni fisadi wa kutisha sana. Endapo ataendelea kuwepo kwenye uongozi wa nchi hii kwa miaka ijayo, nina hakika hatutaepukana na machafuko ya aina moja au nyingine.

Huyu ni kiongozi asiyekuwa na maslahi ya nchi moyoni mwake hata kidogo.

Halafu bila hata kutumia akili, na wewe hapa unakuja na upuuzi. Kwani kuondoka kwake ndiko kungehalalisha utapeli wa mwaliko huo?
Mkuu Mimi mtu Mdogo sana tena mnatuita dayaspora

I am just challenging jamaa because he’s not reliable
 
Mkuu Mimi mtu Mdogo sana tena mnatuita dayaspora

I am just challenging jamaa because he’s not reliable
Who are you challenging. Who is not reliable?

If you do not believe what Dr Kitima is saying, it is easy to verify that.
If you believe Samia is right, then tell us the basis of your your belief.
People are unashamedly telling blatant lies, and still we have gullible citizens giving them benefit of the doubt?
I am led to believe that you have your own reasons for allowing yourself to be lied to, and attempting to abate the same to the rest of us.
 
Wapuuzi wakubwa nyie, ubovu wa IGA ni upi haswa?. Mliweza kuiona IGA baada ya kuvuja msitegemee kuja kuuona mkataba wa biashara kati ya Dubai na Tanzania. Kwanza ni kosa kisheria kuonyesha vipengele vya mkataba wa kibiashara, kinachoandikwa mle ni siri ya pande mbili. Pili serikali haiwezi kuingia gharama kubwa ya utetezi dhidi ya wote watakaoishambulia mitandaoni wakiongelea mikataba tena ambayo uelewa mpana wa watakaohoji ni mdogo sana.
Mchumia tumbo umevimbiwa na asali tayari
 
Who are you challenging. Who is not reliable?

If you do not believe what Dr Kitima is saying, it is easy to verify that.
If you believe Samia is right, then tell us the basis of your your belief.
People are unashamedly telling blatant lies, and still we have gullible citizens giving them benefit of the doubt?
I am led to believe that you have your own reasons for allowing yourself to be lied to, and attempting to abate the same to the rest of us.
Usinifokee, nani alikuambia Kuna mihuri ya challenging mnayo wachache… peleka kichefuchefu chako kule

Nimeweka very simple understanding hapo

Naona unawashwa
 
Siungi mkono ishu ya bandari ila kitima alisema kanisa lina database makini na intelijensia nchi nzima?Sasa walishindwaje kujua kuwa kuna jambo ikulu kuhusu bandari hyo siku?
 
Yupo sahihi, HGA haiwezi kwenda kinyume na IGA, waonyeshe IGA ikiyofanyiwa marekebisho
 
Kwani yeye ni nani kujua siri za nchi kushinda wa Tanzania 60m......hizo phd za theology zina wanadanganya wanata kuji pima umbavu wao na "State"
Sio theology tu, wana degree ya philosophy pia. Ukija kwenye elimu yetu ya wote Fr. Kitima ana PhD, ni mbobevu wa sheria. Amenifundisha Constitution Law pale SAUT.
 
Alialikwa bila kuambiwa mwaliko ulihusu nini

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu wa majeshi ya Ulinzi na Usalama ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania anayo furaha kukukaribisha

Bwana na Bibi/Bi/Prof/Dkt.

FR CHARLES KITIMA

katika Hafla Maalum itakayofanyika siku ya jumapili tarehe 22 Oktoba 2023, Ikulu Chamwino, Dodoma saa 04:00 asubuhi.

Jibu kwa: Mnikulu, Ikulu, Dodoma, Simu: +255 714 186 948

2000

Ikulu Chamwino, Dodoma

Tafadhali Njoo na Kadi Hii

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwakweli mimi siwezi kwenda kwenye hafla ambayo sijui inahusu nini, nitaamdika tu barua ya kujibu mwaliko.
 
Kwani yeye ni nani kujua siri za nchi kushinda wa Tanzania 60m......hizo phd za theology zina wanadanganya wanata kuji pima umbavu wao na "State"
Akili kisoda! Kwa ujuha wako unaona ni sahihi mikataba kusainiwa gizani!?
 
Back
Top Bottom