Padri Dkt. Kitima: Sikujua sababu ya kuitwa Ikulu, msimamo wetu ni ule ule, hatukubaliani na IGA

Padri Dkt. Kitima: Sikujua sababu ya kuitwa Ikulu, msimamo wetu ni ule ule, hatukubaliani na IGA

Huwezi kuwa na IGA mbovu kisha ukasema una mkataba mzuri uliotokana na hiyo IGA mbovu, hiyo ni sawa na kujenga nyumba juu ya msingi mbovu halafu uwadanganye wajinga una nyumba imara nao wakakushangilia, hao wote waliosaini ule mkataba wa IGA na uliofuatia ni wajinga na waongo.

Kutuambia kwa maneno matupu mkataba waliosaini uko hivi na vile, badala ya kuuweka hadharani wote tuuone, ni sawa na kutuona sisi ni watoto wadogo tusiojua kusoma na kuandika, hii ni dharau, na huu nao ni ujinga wao mwingine.

Matapeli wameungana wakaenda kutengeneza kamkataba fulani cha kihuni, ili kaje kujibu yale maswali waliyoshindwa kuyajibu kuhusu ile IGA, IGA iliyozungukwa na rushwa na kila aina ya ushetani, ajabu leo wanataka kuubariki ule ushetani wao kwa kutudanganya DPW atakuwepo miaka 30, na ni kwa bandari ya DSM pekee, wakati mama wa huo mkataba anasema mwarabu atakuwepo bila kikomo.
 
Wakaanzishe serikali Yao huko vatikan. Watuachie nchi yetu ya aman.
Upuuzi mkubwa sana. Samia ananifurahisha kwenye suala hili la DPW, kaamua kukaa kimya kabisa yeye ni vitendo tu. Ushauri anaupokea kutoka kwa wanasheria aliowapa kazi ya kushughulikia hilo suala mpaka limalizike.
 
Huwezi kuwa na IGA mbovu kisha ukasema una mkataba mzuri uliotokana na hiyo IGA mbovu, hiyo ni sawa na kujenga nyumba juu ya msingi mbovu halafu uwadanganye wajinga una nyumba imara nao wakakushangilia, hao wote waliosaini ule mkataba wa IGA na uliofuatia ni wajinga na waongo.

Kutuambia kwa maneno matupu mkataba waliosaini uko hivi na vile, badala ya kuuweka hadharani wote tuuone, ni sawa na kutuona sisi ni watoto wadogo tusiojua kusoma na kuandika, hii ni dharau, na huu nao ni ujinga wao mwingine.

Matapeli wameungana wakaenda kutengeneza kamkataba fulani cha kihuni, ili kaje kujibu yale maswali waliyoshindwa kuyajibu kuhusu ile IGA, IGA iliyozungukwa na rushwa na kila aina ya ushetani, ajabu leo wanataka kuubariki ule ushetani wao kwa kutudanganya DPW atakuwepo miaka 30, na ni kwa bandari ya DSM pekee, wakati mama wa huo mkataba anasema mwarabu atakuwepo bila kikomo.
Wapuuzi wakubwa nyie, ubovu wa IGA ni upi haswa?. Mliweza kuiona IGA baada ya kuvuja msitegemee kuja kuuona mkataba wa biashara kati ya Dubai na Tanzania. Kwanza ni kosa kisheria kuonyesha vipengele vya mkataba wa kibiashara, kinachoandikwa mle ni siri ya pande mbili. Pili serikali haiwezi kuingia gharama kubwa ya utetezi dhidi ya wote watakaoishambulia mitandaoni wakiongelea mikataba tena ambayo uelewa mpana wa watakaohoji ni mdogo sana.
 
Katibu Mkuu wa Baraza La Maaskofu wa Kanisa Katoliki Tanzania (TEC) Dkt.Charles Kitima amesema kuhudhuria halfa ya utiaji saini Mkataba wa Host Government Agreement (HGA) iliyofanyika Ikulu ya Chamwino Jijini Dodoma siku chache zilizopita haimaanishi kwamba wamekubaliana na mkataba wa Bandari kwani kulikuwa na mazingira ambayo yeye kama yeye asingeweza kujua nini hasa ameitiwa na asingeweza kuweka masharti kwa Rais baada ya kupewa mwaliko ambayo yeye (Kitima) hakuwa anajua lengo lake.

Kitima ameyasema hayo baada JAMBO TV kutaka kupata ufafanuzi wa kile ambacho kilitokea Ikulu Dodoma ambapo kwenye hafla ya kusaini mkataba wa HGA kauli mbalimbali zilisikika zikisema hata wale ambao mwanzoni waliukosoa Mkataba ule (IGA) nao wamehudhuria halfa ya utiaji saini Mkataba wa (HGA) kitendo ambacho kiliashiria kubadili kwao msimamo kuhusu waliyokuwa wanaeleza kama mapungufu ya Mkataba wa makubaliano kati ya serikali ya Tanzania na Dubai wa uendeshaji wa Bandari za Tanzania

" Hatujaona mabadiliko kimaandishi, Tunasimama na Tamko la Maaskofu, tukiona kimaandishi mabadiliko yaliyofanywa kwenye IGA ndipo tutaonana kama mapungufu yamefanyiwa kazi" amesema

Dkt. Kitima amesisitiza kwamba bado msimamo wa Kanisa Katoliki Tanzania ni kwamba IGA inayo mapungufu hivyo hawajabadili msimamo.

Jambo TV
RC wasijikute hii nchi wanaweza kuikwamisha watakavyo. Wajifunze kwa Bakwata
 
Miguu peku baada ya kushiba pilau la ikulu na kuingiziwa pesa kwenye akaunti yake akaanza kuwasimanga maaskofu kwa kuandika ule waraka.

Sikubaliani na wazo zima la kuandika waraka na kuusambaza makanisani, lina chembechembe za siasa ya ugomvi ndani yake lakini pia sikubaliani na hii njia ya kimipasho iliyotumika katika kumtumia Miguu peku katika kuwazodoa maaskofu.
 
Kama mwaliko ulitolewa kwa maandishi yaliyoonyeshwa hapa, ni dhahiri kuwa hii ni serikali ya kitapeli, inayoendeshwa na viongozi matapeli.

Hizi nyadhifa za "Amiri Jeshi Mkuu" zinazotumiwa na matapeli kufanya uhalifu ifikie mahali wanao tumiwa vibaya na matapeli hawa inawapasa pia kukataa upumbavu huu wa matumizi mabaya ya kazi zao za ulinzi wa nchi hii.
JamiiForums-753397722.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama mwaliko ulitolewa kwa maandishi yaliyoonyeshwa hapa, ni dhahiri kuwa hii ni serikali ya kitapeli, inayoendeshwa na viongozi matapeli.

Hizi nyadhifa za "Amiri Jeshi Mkuu" zinazotumiwa na matapeli kufanya uhalifu ifikie mahali wanao tumiwa vibaya na matapeli hawa inawapasa pia kukataa upumbavu huu wa matumizi mabaya ya kazi zao za ulinzi wa nchi hii.
Nadhani pia una " walakini" na mabadiliko ya HJA na IGA tuloaminishwa siku Ile kuwa yamefanyika.
 
Katibu Mkuu wa Baraza La Maaskofu wa Kanisa Katoliki Tanzania (TEC) Dkt.Charles Kitima amesema kuhudhuria halfa ya utiaji saini Mkataba wa Host Government Agreement (HGA) iliyofanyika Ikulu ya Chamwino Jijini Dodoma siku chache zilizopita haimaanishi kwamba wamekubaliana na mkataba wa Bandari kwani kulikuwa na mazingira ambayo yeye kama yeye asingeweza kujua nini hasa ameitiwa na asingeweza kuweka masharti kwa Rais baada ya kupewa mwaliko ambayo yeye (Kitima) hakuwa anajua lengo lake.

Kitima ameyasema hayo baada JAMBO TV kutaka kupata ufafanuzi wa kile ambacho kilitokea Ikulu Dodoma ambapo kwenye hafla ya kusaini mkataba wa HGA kauli mbalimbali zilisikika zikisema hata wale ambao mwanzoni waliukosoa Mkataba ule (IGA) nao wamehudhuria halfa ya utiaji saini Mkataba wa (HGA) kitendo ambacho kiliashiria kubadili kwao msimamo kuhusu waliyokuwa wanaeleza kama mapungufu ya Mkataba wa makubaliano kati ya serikali ya Tanzania na Dubai wa uendeshaji wa Bandari za Tanzania

" Hatujaona mabadiliko kimaandishi, Tunasimama na Tamko la Maaskofu, tukiona kimaandishi mabadiliko yaliyofanywa kwenye IGA ndipo tutaonana kama mapungufu yamefanyiwa kazi" amesema

Dkt. Kitima amesisitiza kwamba bado msimamo wa Kanisa Katoliki Tanzania ni kwamba IGA inayo mapungufu hivyo hawajabadili msimamo.

Jambo TV
Mwambie akae mbali, usaliti ni usaliti tu
 
Katibu Mkuu wa Baraza La Maaskofu wa Kanisa Katoliki Tanzania (TEC) Dkt.Charles Kitima amesema kuhudhuria halfa ya utiaji saini Mkataba wa Host Government Agreement (HGA) iliyofanyika Ikulu ya Chamwino Jijini Dodoma siku chache zilizopita haimaanishi kwamba wamekubaliana na mkataba wa Bandari kwani kulikuwa na mazingira ambayo yeye kama yeye asingeweza kujua nini hasa ameitiwa na asingeweza kuweka masharti kwa Rais baada ya kupewa mwaliko ambayo yeye (Kitima) hakuwa anajua lengo lake.

Kitima ameyasema hayo baada JAMBO TV kutaka kupata ufafanuzi wa kile ambacho kilitokea Ikulu Dodoma ambapo kwenye hafla ya kusaini mkataba wa HGA kauli mbalimbali zilisikika zikisema hata wale ambao mwanzoni waliukosoa Mkataba ule (IGA) nao wamehudhuria halfa ya utiaji saini Mkataba wa (HGA) kitendo ambacho kiliashiria kubadili kwao msimamo kuhusu waliyokuwa wanaeleza kama mapungufu ya Mkataba wa makubaliano kati ya serikali ya Tanzania na Dubai wa uendeshaji wa Bandari za Tanzania

" Hatujaona mabadiliko kimaandishi, Tunasimama na Tamko la Maaskofu, tukiona kimaandishi mabadiliko yaliyofanywa kwenye IGA ndipo tutaonana kama mapungufu yamefanyiwa kazi" amesema

Dkt. Kitima amesisitiza kwamba bado msimamo wa Kanisa Katoliki Tanzania ni kwamba IGA inayo mapungufu hivyo hawajabadili msimamo.

Jambo TV
Kitendo cha Mrisho Mpoto kusimama na kughani kwamba walioupinga wameukubali maana yake ameamua kutumika kama propaganda mashine kuhadaa hadhira.

He is an artist like me yes
He is famous than me yes
He is greedy than me yes
The more of this HE IS NATIONAL DISGRACE AND IMBECILE kuliko hao waliompa verse kwenye kughani kwake.


Aendelee kunenepa tu
 
Kama mwaliko ulitolewa kwa maandishi yaliyoonyeshwa hapa, ni dhahiri kuwa hii ni serikali ya kitapeli, inayoendeshwa na viongozi matapeli.

Hizi nyadhifa za "Amiri Jeshi Mkuu" zinazotumiwa na matapeli kufanya uhalifu ifikie mahali wanao tumiwa vibaya na matapeli hawa inawapasa pia kukataa upumbavu huu wa matumizi mabaya ya kazi zao za ulinzi wa nchi hii.
Huna uzoefu na mialiko mikubwa aisee

Fr angeondoka tu alipogundua ni dpw
 
Huna uzoefu na mialiko mikubwa aisee

Fr angeondoka tu alipogundua ni dpw
Hiyo mialiko yenu "mikubwa" ndiko wanakoruhusiwa kuwa wadanganyifu, matapeli?

Sasa sura kamili ya utawala wa Samia imejifunua wazi.

Siyo kwamba ni mtu asiye aminika kwa lolote, bali ni mtu aliye tayari kudanganya kwa maksudi kabisa bila ya aibu.

Zaidi ya hapo, amejipambanua kuwa ni fisadi wa kutisha sana. Endapo ataendelea kuwepo kwenye uongozi wa nchi hii kwa miaka ijayo, nina hakika hatutaepukana na machafuko ya aina moja au nyingine.

Huyu ni kiongozi asiyekuwa na maslahi ya nchi moyoni mwake hata kidogo.

Halafu bila hata kutumia akili, na wewe hapa unakuja na upuuzi. Kwani kuondoka kwake ndiko kungehalalisha utapeli wa mwaliko huo?
 
Back
Top Bottom