Padri Dkt. Kitima: Sikujua sababu ya kuitwa Ikulu, msimamo wetu ni ule ule, hatukubaliani na IGA

Padri Dkt. Kitima: Sikujua sababu ya kuitwa Ikulu, msimamo wetu ni ule ule, hatukubaliani na IGA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu wa majeshi ya Ulinzi na Usalama ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania anayo furaha kukukaribisha

Bwana na Bibi/Bi/Prof/Dkt.

FR CHARLES KITIMA

katika Hafla Maalum itakayofanyika siku ya jumapili tarehe 22 Oktoba 2023, Ikulu Chamwino, Dodoma saa 04:00 asubuhi.

Jibu kwa: Mnikulu, Ikulu, Dodoma, Simu: +255 714 186 948

2000

Ikulu Chamwino, Dodoma

Tafadhali Njoo na Kadi Hii

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni mambo ya hovyo sn
 
Mnikulu naye chenga tu, hvi ni tafadhali njoo na kadi hii au ni tafadhali fika na kadi hii?
[emoji23]
JamiiForums-753397722.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alialikwa bila kuambiwa mwaliko ulihusu nini

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu wa majeshi ya Ulinzi na Usalama ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania anayo furaha kukukaribisha

Bwana na Bibi/Bi/Prof/Dkt.

FR CHARLES KITIMA

katika Hafla Maalum itakayofanyika siku ya jumapili tarehe 22 Oktoba 2023, Ikulu Chamwino, Dodoma saa 04:00 asubuhi.

Jibu kwa: Mnikulu, Ikulu, Dodoma, Simu: +255 714 186 948

2000

Ikulu Chamwino, Dodoma

Tafadhali Njoo na Kadi Hii

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo waumini waliswalishwa na katekista?
 
Wagalatia hasa kutoka katoliki huwa wanajiaminisha kuwa kanisa ndio lina run hii nchi, sasa wanaumbuliwa waziwazi
Ninyi vichwa maji mkiongozwa na viongozi wenu ndiyo mlikuwa mnaaminishwa hivyo,mimi Mkatoliki huwa siuamini huo ujinga.

Refer hotuba za Ilunga&co na wengi mliwaamini ukiwepo wewe,wamewakusanya sana watu kama nyie ni vile huwa mnabadilika kutokana na mazingira yalivyo.
 
Kwani yeye ni nani kujua siri za nchi kushinda wa Tanzania 60m......hizo phd za theology zina wanadanganya wanata kuji pima umbavu wao na "State"
Ndo mnapokosea. badala ya kujibu hoja mnashambulia personalities za watu
 
Ninyi vichwa maji mkiongozwa na viongozi wenu ndiyo mlikuwa mnaaminishwa hivyo,mimi Mkatoliki huwa siuamini huo ujinga.

Refer hotuba za Ilunga&co na wengi mliwaamini ukiwepo wewe,wamewakusanya sana watu kama nyie ni vile huwa mnabadilika kutokana na mazingira yalivyo.
Dada usijifanye chizi, wagalatia siku zote wanajiaminisha wao ndio wana mamlaka juu ya hii nchi
 
Katibu Mkuu wa Baraza La Maaskofu wa Kanisa Katoliki Tanzania (TEC) Dkt.Charles Kitima amesema kuhudhuria halfa ya utiaji saini Mkataba wa Host Government Agreement (HGA) iliyofanyika Ikulu ya Chamwino Jijini Dodoma siku chache zilizopita haimaanishi kwamba wamekubaliana na mkataba wa Bandari kwani kulikuwa na mazingira ambayo yeye kama yeye asingeweza kujua nini hasa ameitiwa na asingeweza kuweka masharti kwa Rais baada ya kupewa mwaliko ambayo yeye (Kitima) hakuwa anajua lengo lake.

Kitima ameyasema hayo baada JAMBO TV kutaka kupata ufafanuzi wa kile ambacho kilitokea Ikulu Dodoma ambapo kwenye hafla ya kusaini mkataba wa HGA kauli mbalimbali zilisikika zikisema hata wale ambao mwanzoni waliukosoa Mkataba ule (IGA) nao wamehudhuria halfa ya utiaji saini Mkataba wa (HGA) kitendo ambacho kiliashiria kubadili kwao msimamo kuhusu waliyokuwa wanaeleza kama mapungufu ya Mkataba wa makubaliano kati ya serikali ya Tanzania na Dubai wa uendeshaji wa Bandari za Tanzania

" Hatujaona mabadiliko kimaandishi, Tunasimama na Tamko la Maaskofu, tukiona kimaandishi mabadiliko yaliyofanywa kwenye IGA ndipo tutaonana kama mapungufu yamefanyiwa kazi" amesema

Dkt. Kitima amesisitiza kwamba bado msimamo wa Kanisa Katoliki Tanzania ni kwamba IGA inayo mapungufu hivyo hawajabadili msimamo.

Jambo TV
Duu! wadau wangu hawa bhana, sisi watu wa kawaida tunaamini kuwa TEC na serikali ni sura mbili za sarafu moja, na siku zote mahusiano baina yao ni siri, yaani mambo yakienda vizuri sisi hatupaswi kujua ila yakienda 'kombo' utaanza kusikia yowe,...ah haya!
 
Dah! walitaka tuamini kwamba TEC wameridhia, umeshawekeza matrilioni kwenye bandari na SGR kuendesha tu ushindwe? endeleeni kukaza mafuvu.
 
Katibu Mkuu wa Baraza La Maaskofu wa Kanisa Katoliki Tanzania (TEC) Dkt.Charles Kitima amesema kuhudhuria halfa ya utiaji saini Mkataba wa Host Government Agreement (HGA) iliyofanyika Ikulu ya Chamwino Jijini Dodoma siku chache zilizopita haimaanishi kwamba wamekubaliana na mkataba wa Bandari kwani kulikuwa na mazingira ambayo yeye kama yeye asingeweza kujua nini hasa ameitiwa na asingeweza kuweka masharti kwa Rais baada ya kupewa mwaliko ambayo yeye (Kitima) hakuwa anajua lengo lake.

Kitima ameyasema hayo baada JAMBO TV kutaka kupata ufafanuzi wa kile ambacho kilitokea Ikulu Dodoma ambapo kwenye hafla ya kusaini mkataba wa HGA kauli mbalimbali zilisikika zikisema hata wale ambao mwanzoni waliukosoa Mkataba ule (IGA) nao wamehudhuria halfa ya utiaji saini Mkataba wa (HGA) kitendo ambacho kiliashiria kubadili kwao msimamo kuhusu waliyokuwa wanaeleza kama mapungufu ya Mkataba wa makubaliano kati ya serikali ya Tanzania na Dubai wa uendeshaji wa Bandari za Tanzania

" Hatujaona mabadiliko kimaandishi, Tunasimama na Tamko la Maaskofu, tukiona kimaandishi mabadiliko yaliyofanywa kwenye IGA ndipo tutaonana kama mapungufu yamefanyiwa kazi" amesema

Dkt. Kitima amesisitiza kwamba bado msimamo wa Kanisa Katoliki Tanzania ni kwamba IGA inayo mapungufu hivyo hawajabadili msimamo.

Jambo TV
Nchi ina kiongozi dhaifu sana kuwahi kutokea, mpaka anaondoka ikulu atakuwa amesababisha madhara makubwa sana
 
Kwani yeye ni nani kujua siri za nchi kushinda wa Tanzania 60m......hizo phd za theology zina wanadanganya wanata kuji pima umbavu wao na "State"
Hao siyo wenzio,hao wanafahamu kila kitu cha nchi hii na Duniani na vilevile hadi ratiba ya kuoga na kula ya Rais wenu.
Fear Vatican my friend!

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom