Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Ulikuwa ni utapeli tupuNimeona ile kadi ya mualiko, kifupi walimuita bila yeye kujua anaitiwa nini.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulikuwa ni utapeli tupuNimeona ile kadi ya mualiko, kifupi walimuita bila yeye kujua anaitiwa nini.
Ni mambo ya hovyo snJAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu wa majeshi ya Ulinzi na Usalama ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania anayo furaha kukukaribisha
Bwana na Bibi/Bi/Prof/Dkt.
FR CHARLES KITIMA
katika Hafla Maalum itakayofanyika siku ya jumapili tarehe 22 Oktoba 2023, Ikulu Chamwino, Dodoma saa 04:00 asubuhi.
Jibu kwa: Mnikulu, Ikulu, Dodoma, Simu: +255 714 186 948
2000
Ikulu Chamwino, Dodoma
Tafadhali Njoo na Kadi Hii
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23]Mnikulu naye chenga tu, hvi ni tafadhali njoo na kadi hii au ni tafadhali fika na kadi hii?
Kwahiyo waumini waliswalishwa na katekista?Alialikwa bila kuambiwa mwaliko ulihusu nini
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu wa majeshi ya Ulinzi na Usalama ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania anayo furaha kukukaribisha
Bwana na Bibi/Bi/Prof/Dkt.
FR CHARLES KITIMA
katika Hafla Maalum itakayofanyika siku ya jumapili tarehe 22 Oktoba 2023, Ikulu Chamwino, Dodoma saa 04:00 asubuhi.
Jibu kwa: Mnikulu, Ikulu, Dodoma, Simu: +255 714 186 948
2000
Ikulu Chamwino, Dodoma
Tafadhali Njoo na Kadi Hii
Sent using Jamii Forums mobile app
Ninyi vichwa maji mkiongozwa na viongozi wenu ndiyo mlikuwa mnaaminishwa hivyo,mimi Mkatoliki huwa siuamini huo ujinga.Wagalatia hasa kutoka katoliki huwa wanajiaminisha kuwa kanisa ndio lina run hii nchi, sasa wanaumbuliwa waziwazi
Ni aibu kwa Ikulu
Ndo mnapokosea. badala ya kujibu hoja mnashambulia personalities za watuKwani yeye ni nani kujua siri za nchi kushinda wa Tanzania 60m......hizo phd za theology zina wanadanganya wanata kuji pima umbavu wao na "State"
Ofisi kubwa no 1 kama inaweza kufanya mambo ya hovyo kama hayo ofisi zingine hali ikoje?
Dada usijifanye chizi, wagalatia siku zote wanajiaminisha wao ndio wana mamlaka juu ya hii nchiNinyi vichwa maji mkiongozwa na viongozi wenu ndiyo mlikuwa mnaaminishwa hivyo,mimi Mkatoliki huwa siuamini huo ujinga.
Refer hotuba za Ilunga&co na wengi mliwaamini ukiwepo wewe,wamewakusanya sana watu kama nyie ni vile huwa mnabadilika kutokana na mazingira yalivyo.
Alifika kumwambia hii nchi itaendeshwa na mwarabu kwasasaRais wa JMT amtembelea Mwadhama Protace Kardinali Rugambwa Kanisani Tabora
Duu! wadau wangu hawa bhana, sisi watu wa kawaida tunaamini kuwa TEC na serikali ni sura mbili za sarafu moja, na siku zote mahusiano baina yao ni siri, yaani mambo yakienda vizuri sisi hatupaswi kujua ila yakienda 'kombo' utaanza kusikia yowe,...ah haya!Katibu Mkuu wa Baraza La Maaskofu wa Kanisa Katoliki Tanzania (TEC) Dkt.Charles Kitima amesema kuhudhuria halfa ya utiaji saini Mkataba wa Host Government Agreement (HGA) iliyofanyika Ikulu ya Chamwino Jijini Dodoma siku chache zilizopita haimaanishi kwamba wamekubaliana na mkataba wa Bandari kwani kulikuwa na mazingira ambayo yeye kama yeye asingeweza kujua nini hasa ameitiwa na asingeweza kuweka masharti kwa Rais baada ya kupewa mwaliko ambayo yeye (Kitima) hakuwa anajua lengo lake.
Kitima ameyasema hayo baada JAMBO TV kutaka kupata ufafanuzi wa kile ambacho kilitokea Ikulu Dodoma ambapo kwenye hafla ya kusaini mkataba wa HGA kauli mbalimbali zilisikika zikisema hata wale ambao mwanzoni waliukosoa Mkataba ule (IGA) nao wamehudhuria halfa ya utiaji saini Mkataba wa (HGA) kitendo ambacho kiliashiria kubadili kwao msimamo kuhusu waliyokuwa wanaeleza kama mapungufu ya Mkataba wa makubaliano kati ya serikali ya Tanzania na Dubai wa uendeshaji wa Bandari za Tanzania
" Hatujaona mabadiliko kimaandishi, Tunasimama na Tamko la Maaskofu, tukiona kimaandishi mabadiliko yaliyofanywa kwenye IGA ndipo tutaonana kama mapungufu yamefanyiwa kazi" amesema
Dkt. Kitima amesisitiza kwamba bado msimamo wa Kanisa Katoliki Tanzania ni kwamba IGA inayo mapungufu hivyo hawajabadili msimamo.
Jambo TV
Nchi ina kiongozi dhaifu sana kuwahi kutokea, mpaka anaondoka ikulu atakuwa amesababisha madhara makubwa sanaKatibu Mkuu wa Baraza La Maaskofu wa Kanisa Katoliki Tanzania (TEC) Dkt.Charles Kitima amesema kuhudhuria halfa ya utiaji saini Mkataba wa Host Government Agreement (HGA) iliyofanyika Ikulu ya Chamwino Jijini Dodoma siku chache zilizopita haimaanishi kwamba wamekubaliana na mkataba wa Bandari kwani kulikuwa na mazingira ambayo yeye kama yeye asingeweza kujua nini hasa ameitiwa na asingeweza kuweka masharti kwa Rais baada ya kupewa mwaliko ambayo yeye (Kitima) hakuwa anajua lengo lake.
Kitima ameyasema hayo baada JAMBO TV kutaka kupata ufafanuzi wa kile ambacho kilitokea Ikulu Dodoma ambapo kwenye hafla ya kusaini mkataba wa HGA kauli mbalimbali zilisikika zikisema hata wale ambao mwanzoni waliukosoa Mkataba ule (IGA) nao wamehudhuria halfa ya utiaji saini Mkataba wa (HGA) kitendo ambacho kiliashiria kubadili kwao msimamo kuhusu waliyokuwa wanaeleza kama mapungufu ya Mkataba wa makubaliano kati ya serikali ya Tanzania na Dubai wa uendeshaji wa Bandari za Tanzania
" Hatujaona mabadiliko kimaandishi, Tunasimama na Tamko la Maaskofu, tukiona kimaandishi mabadiliko yaliyofanywa kwenye IGA ndipo tutaonana kama mapungufu yamefanyiwa kazi" amesema
Dkt. Kitima amesisitiza kwamba bado msimamo wa Kanisa Katoliki Tanzania ni kwamba IGA inayo mapungufu hivyo hawajabadili msimamo.
Jambo TV
Watiifu zaidi vatican kuliko ikuluNi watanzania wale, wengine wahaya....wasukuma, wapo kwenye baraza la maaskofu.
Hoja gani!?..yeye aendelee kupingaNdo mnapokosea. badala ya kujibu hoja mnashambulia personalities za watu
Tena ili dhehebu lingefutwa kabisaWakaanzishe serikali Yao huko vatikan. Watuachie nchi yetu ya aman.
Hao siyo wenzio,hao wanafahamu kila kitu cha nchi hii na Duniani na vilevile hadi ratiba ya kuoga na kula ya Rais wenu.Kwani yeye ni nani kujua siri za nchi kushinda wa Tanzania 60m......hizo phd za theology zina wanadanganya wanata kuji pima umbavu wao na "State"