Alialikwa bila kuambiwa mwaliko ulihusu nini
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu wa majeshi ya Ulinzi na Usalama ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania anayo furaha kukukaribisha
Bwana na Bibi/Bi/Prof/Dkt.
FR CHARLES KITIMA
katika Hafla Maalum itakayofanyika siku ya jumapili tarehe 22 Oktoba 2023, Ikulu Chamwino, Dodoma saa 04:00 asubuhi.
Jibu kwa: Mnikulu, Ikulu, Dodoma, Simu: +255 714 186 948
2000
Ikulu Chamwino, Dodoma
Tafadhali Njoo na Kadi Hii
Sent using
Jamii Forums mobile app