Padri Henry Rimisho wa Kanisa Katoliki atunukiwaa PhD ya Architecture

Bora iendelee kubaki "Ndigo" [emoji3][emoji23][emoji23] kajifunze kwanza kuandika.Kwa taarifa yako Padre mmoja wa RC ni sawa na wachungaji na maaskofu 10 wa madhehebu mengine! Sasa aende huko kufuata nini?
hapo ndipo umethibitisha ninachosema 'IQ yako ndogo sn' ( yaani unaangalia vitu vidogo kwenye chapisho badala ya ku-ng'amua ujumbe mkuu kwenye chapisho) bado haujui kuwa kwenye typing kuna kitu kinaitwa"TYPING ERROR" elewa content chating ya JF sio mtihani wa kiswahili!!
 
Elewa kua tumeshamjua Hana tabia za condition white
 
Nina wasiwasi na habari hizi... kwanza alivyovaa kofia Barrett. Utadhani ni mwizi. Hakuna cheo change nyota zaidi ya tatu, hii yake inaonysha kuvaa nyota zaidi nne. Halafu JWTZ awana beji yenye msalaba. Rangi ya kombati, ni tofauti na JWTZ.....
 
Nina wasiwasi na habari hizi... kwanza alivyovaa kofia Barrett. Utadhani ni mwizi. Hakuna cheo change nyota zaidi ya tatu, hii yake inaonysha kuvaa nyota zaidi nne. Halafu JWTZ awana beji yenye msalaba. Rangi ya kombati, ni tofauti na JWTZ.....
Sifa zote anazosifika nako sii zake na sio za kweli, sifa yake ya kweli ni Upadre pekee!!
 
Kazi ya Padre ni kutangaza Injili. Yesu aliwaambia nendeni kila kona ya ulimwengu mkatangaze neno langu mkijua nipo nanyi mpaka ukamilisho wa dahari. Ndiyo maana kabla ya uhuru waliweza kwenda vijijini kusikokuwa na barabara wala umeme; hawajui lugha ya wananchi; na bado wakaishi miaka nenda rudi. Na hii si kwa Tanzania peke yake. Wengine walienda Bara la Asia na wengine Marekani ya kusini, n.k. Sasa ujasusi huko kijijini ni kwa manufaa yapi? Wengi wanaandika nikifa nizikwe hapa hapa. Na ndivyo inavyokuwa. Kijijini kwangu tu kuna wawili waliozikwa huko; Mholanzi na mwingine kuto Canada. Pia nawafahamu Wajeremani wawili waliozikwa kwenye kijiji kingine. Wote walifariki wakiwa na zaidi ya miaka 80 baada ya kuishi huko zaidi ya miaka 20. Tuwabambikie ujasusi eti tu kwa kuwa walikubali kuishi maisha ya taabu wakati walikuwa na fursa ya kuishi vinginevyo?
 
Nina wasiwasi na habari hizi... kwanza alivyovaa kofia Barrett. Utadhani ni mwizi. Hakuna cheo change nyota zaidi ya tatu, hii yake inaonysha kuvaa nyota zaidi nne. Halafu JWTZ awana beji yenye msalaba. Rangi ya kombati, ni tofauti na JWTZ.....
Hiyo jezi ni ya sudani kusini..
Kuhusu msalaba kazi vitani ya huduma za kiroho hivyo msalaba ni utambulisho wa ukristo wake
 
Nilitaka kumfananisha kidogo na Professor Mkude ambaye kipindi fulani aliwahi kuwepo UDSM. Huyu yeye alikuwa ni Padre halafu Profesa pia. Huyu jamaa hapa sasa naona amempiku hata Profesa Mkude

Mimi vile vile kwa upande wangu, nawa-admire sana watu ambao wana PhD za udaktari wa binadamu, halafu unakuta mtu huyo huyo tena ni Profesa. Mfano ni kama Profesa Mseru Mkurugenzi wa Hospitali ya Muhimbili. Hawa watu bongo zao Mungu aliziwekea kitu kingine cha ziada ambacho binadamu tulio wengi hatuna
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ People like to get things twisted so much... Anyways huyo Padre sio commando Wala mwanajeshi... Ila alipata kuhudumu sehemu zenye machafuko ya kivita huko Sudani na alikua akitoa huduma za kiroho kwa wananchi na Wana jeshi wa eneo hilo kwa kifupi alikua chaplain. Sio commando Wala mwanajeshi na kama uliangalia interview yake vizuri utaona story yake yote ya Elimu na U padre lakini sio jeshini.... Na hata wakati wa mahafali yake alilazimika kuomba kibali jeshi limruhusu kuvaa hizo sare iwe ukumbusho kwake. πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Ila wa bongo sasa tunavyo twist vitu
 
Mkuu mbona kuna clip inamwonyesha akicheza na cheni mithili ya bruce lee.
 
Hii imekaaje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…