Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watumishi wa Kanisa Katoliki wanatoa huduma katika nyanja mbalimbali kulingana na mahitaji ya utume wao. Moja ya maeneo ya huduma ni kwa wanajeshi walio kwenye mapambano. Padri ambaye ni chaplain jeshini hupata mafunzo ya kijeshi si kwa ajili ya kupigana jeshini, bali kwa ajili ya kujiokoa na kuwaokoa wale anaowahudumia wakati wa mapambano. Si hivyo tu, hata kwa wale walio kwenye mafunzo - kama magereza, polisi na jeshi - kwa kawaida kuna padri ambaye anakuwa attached katika sehemu hizo kama chaplain. Na hata kwa hospitali, zahanati, dispensary na health centres na pia vyuo mbalimbali - kuna mapadri pia ambao wako attached katika sehemu hizo. Hivyo, mtu mwingine asiye na uelewa na wa aina hii ya utume anaweza akashangaa, lakini kwa wale wanaoelewa ni jambo la kawaida tu.Wana Jamii From!
Bila yakupoteza muda naomba kufahamu jambo moja zito ambalo kwa uelewa wangu nimeshindwa lipatia majibu!
Hivi inawezekana vipi Mtumishi wa Mungu Padre awe mwanajeshi tena komandoo??
Picha hapo chini ni Padre Henry,ambaye ni mwanajeshi komandoo,ambaye katunukiwa PhD yake ya Architecture!
Nakuunga mkono mkuu' hapa kuna mengi sana ya kujiuliza hata kama inawezekana kupata vyote hivyo ktk maisha ya mtu mmoja.Huyo mzee si mtu mzuri [emoji23]
Wana Jamii From!
Bila yakupoteza muda naomba kufahamu jambo moja zito ambalo kwa uelewa wangu nimeshindwa lipatia majibu!
Hivi inawezekana vipi Mtumishi wa Mungu Padre awe mwanajeshi tena komandoo??
Picha hapo chini ni Padre Henry,ambaye ni mwanajeshi komandoo,ambaye katunukiwa PhD yake ya Architecture!
We yaelekea IQ yako ni ndigo sana, umeshindwa kuelewa content ya swali? Unafikili tuna-comment humu JF wote ni wa RC.Yaani Padre wa RC akafungue kanisa lake?? Una akili timamu kweli?
Hizo sio Sare za JWTZKwa nini anavaa sare za jeshi?
Ukiwa mtoa huduma unaruhusiwa kuvaa gwanda sema zinakua na modifications flani hivi ...TZ hatuna hiyo huduma ya mtindo huoKwa nini anavaa sare za jeshi?
Bora iendelee kubaki "Ndigo" [emoji3][emoji23][emoji23] kajifunze kwanza kuandika.Kwa taarifa yako Padre mmoja wa RC ni sawa na wachungaji na maaskofu 10 wa madhehebu mengine! Sasa aende huko kufuata nini?We yaelekea IQ yako ni ndigo sana, umeshindwa kuelewa content ya swali? Unafikili tuna-comment humu JF wote ni wa RC.
Kwa sheria ya Tanzania hata kama sio za Jwtz bado iko pale pale, sheria zetu haziruhusu kuvaa mavazi yanayofanana na hayoHizo sio Sare za JWTZ
Watulie Ndugu Yangu,Hii Nchi Tufe Wakati Tumeitendea Jambo la Kukumbuka.Wanataka kututoa katika reli hahaha 😀
Huyo bwana anaruhusiwa kuvaa hayo mavazi ni sare ya nchi aliyokua au ambayo anatoa hudumaKwa sheria ya Tanzania hata kama sio za Jwtz bado iko pale pale, sheria zetu haziruhusu kuvaa mavazi yanayofanana na hayo
Kuzubaa kwako ndio chanzo cha kutoelewa ni kwanini wanajeshi wengi huwa ni maraisi wa nchi zao. Nenda shule.Ilikuwaje akawaUanajeshi na upadre?
Hana familia? Inamaana kazaliwa na jiwe?Akili ya mtanzania mnyongeni(kilaza)
Tunaheshimu maoni yako.
Ila kuku elimu ndogo soma hapa
Military ordinariate - Wikipedia
Ili utoe huyo ujinga ulikujaa wa hapo kibarazani kwenu uswazi
Hivi huwa unafikiria kwanza kabla ya kufanya chochote?Kuzubaa kwako ndio chanzo cha kutoelewa ni kwanini wanajeshi wengi huwa ni maraisi wa nchi zao. Nenda shule.
Kweli kopoHivi huwa unafikiria kwanza kabla ya kufanya chochote?
Ndiyo aliruhusiwa kuvaa huko kwa ajili ya kutoa huduma, ikawaje hadi avae ndani ya Tanzania....ni swala la muda ila kwa sheria zetu alichokifanya sio sawa!Huyo bwana anaruhusiwa kuvaa hayo mavazi ni sare ya nchi aliyokua au ambayo anatoa huduma
U meja je!?Mmmh kwenye ukomando natia shaka
Duuuh, huyu padre kabisa?!Hapo anachezea viberiti sioView attachment 2034722View attachment 2034723