Foxhound
JF-Expert Member
- Dec 15, 2013
- 28,710
- 76,243
Hiyo ni South Sudan.Unazifaham combat zote za JWTZ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo ni South Sudan.Unazifaham combat zote za JWTZ?
Sio za SA, hizo ni SS(South Sudan)Hizo uniform mbona pattern zake kama siyo za TZ? Zinafanana na za SA
Ndioo.Vipi usheikh nao unakubalika kuchanganya uanajeshi na usanifu wa majengo?
Unazungumzia dini ya Mnyazi Mungu, dini ya haki
Kiufupi huyo sio mwanajeshi, bali alihitajika kwenda South Sudan kwa ajili ya kutoa huduma ya kiroho, hivyo alipewa hadhi ili aendane na wale Machaplain wa kijeshi. Kwa Tanzania hio haiwezekani kwani hadi sasa haipo rasmi majeshini.Nambeni ufafanuzi anawezaje kufanya hayo yote ya Uanajeshi na Upadri?
Kuna wale Machaplain, ambao huwa ni wanajeshi kitu ambacho kwenye jwtz hakipo rasmi, hivyo kuhitajika kwake kwenda kutoa huduma za kiroho kulisababisha apewe tu hadhi lakini yeye kachukulia serious! Nchi kama Afrika kusini ndio zinao hao Machaplain. [emoji1474]Kapewa uanajeshi kama zawadi tu yeye alienda kule kama mchungaji tu
Sio vya kweli.... kwa hiyo huo ukamondoo na cheo cha kijeshi (major) anaodaiwa kuwa navyo sio vya kweli?
Hatambuliki huko pia.Ngerengere 92?
Ngoja siku ziende, one day utasikia wamemwita akajieleze vizuri. Maana alichokifanya ni kuvunja sheria za nchi.Msipotoshe umma kwa uelewa wenu mdogo juu ya maswala ya kijeshi huyu father alipata mafunzo rasharasha ya kijeshi yaani hata mafunzo ya mgambo yako juu yake kupewa hizo nguo na wasudani kusini Haina maana tayari ni mwanajeshi , mtu Toka kujiunga na Jeshi huchukua miaka 15 kua na cheo cha Major hapo kahudhuria kozi nyingi tu za kijeshi achilia mbali miezi 18 hadi 20 ya ukomando kupiga kareti sio komando jamani hizo mtaani wengi tu wanazipiga pia father hajui kuvaa mavazi yanayofanana na Jeshi ni kosa naona wanamheshimu tu kutokana na title yake ya upadre vinginevyo angechukuliwa hatua
Master's kwa Kiswahili ni uzamili na sio Umahiri.mengine kuhusu yeyeView attachment 2033016
Kuna uwezekano akawa pia kwenye kundi la 'wasiojulikana'.Huyu mkatoliki padri wa shirika mitume wa yesu yaani Apostles of Jesus (AJ) anaitwa Henry Rimisho pia ni lecturer hapo hapo Ardhi university
HONGERA, NI PADRI, COMMANDO, ENGINEER, LECTURER NK
Anaandika Brother Valerian Komu Valerian
____________
Komandoo wa JWTZ, Padre, Architect Henry Rumisho Mmsionary wa Apostles of Jesus; akiwa kwenye graduation pale Ardhi University Leo ambapo atatunukiwa PhD in Architecture.
Baadhi ya Mapadre wa Kanisa katoliki hujifunza na kuwa tayari kufanya kazi za kichungaji kwa askari walioko mstari wa Mbele vitani, wanajulikana kama Military Ordinariate, hufanya mazoezi na kupanda katika vyeo vya kijeshi sawa na wanajeshi wengine
Fr.Rumisho alihudumu uwanja wa vitani huko Dafour Sudan Nk.
Lakini pia Yeye ni Talented Comandoo, ana uwezo wa kufanya mazoezi magumu ya kikomandoo.
Ukiacha masomo yaliyomwezesha kuwa Padre, ana Bachelor degree, Masters, na leo anatunukiwa PhD zote za Architecture.
Pia ni Professional Architect aliyesajiliwa na Board ya AQRB.
Lakini ni Lecturer..School of Architecture , Ardhi University.
Ana karama nyingi.
Cc castongo naomba mchango ktk hili nafahamu wewe ni mtaalamu zaidi
View attachment 2033006View attachment 2033007
View attachment 2033020View attachment 2033023
Je, wanajeshi waliowahi ku-graduate kabla yake kwa ngazi ya elimu ya juu walivaaje?Ngoja siku ziende, one day utasikia wamemwita akajieleze vizuri. Maana alichokifanya ni kuvunja sheria za nchi.
Ni kinyume na utaratibu kuchanganya mavazi ya kijeshi na mavazi mengine yoyote, ndio maana hata hao wanajeshi wanaograduate kama wamesomea uraiani watavaa mavazi ya kiraia, kama mafunzo hayo yalitolewa jeshini watavaa kijeshi ama kiraia kulingana na maelekezo yatakayotolewa. Lakini hawachanganyi mavazi.Je, wanajeshi waliowahi ku-graduate walivaaje?
Na ndio sheria inavyosema au hawakuwahi tu kufanya hivyo? Hivi nguo za ndani mfano vest, boxer, bra nazo ni za kijeshi?Ni kinyume na utaratibu kuchanganya mavazi ya kijeshi na mavazi mengine yoyote, ndio maana hata hao wanajeshi wanaograduate kama wamesomea uraiani watavaa mavazi ya kiraia, kama mafunzo hayo yalitolewa jeshini watavaa kijeshi ama kiraia kulingana na maelekezo yatakayotolewa. Lakini hawachanganyi mavazi.
Hapana, Namaanisha vazi linaloonekana nje, halitakiwi kuchanganywa na vazi jengine lolote la kiraia.Na ndio sheria inavyosema au hawakuwahi tu kufanya hivyo? Hivi nguo za ndani mfano vest, boxer, bra nazo ni za kijeshi?
Sio mwanajeshi wa JWTZ tusipotoshe ni Apostle of Jesus shirika lililoanzishwa Afrika la mapadri na tena hili shirika liliwahi pigwa ban na Papa liko kwenye rehabilitation sasa hivi...
Aina hiyo ya wanajeshi wanahudumia wanajeshi na familia zao yani ni maparoko wa jeshi ...sio waajiriwa wa jeshi ... MABEYO hamtambui huyu kapteni
ChaiiiKabisa katoliki la Rumi ni kabisa linaloendeshwa kijeshi....na shirika lake kubwa la ujasusi DUNIANI kunaitwa Jesuits ....hawa watu sio wa mchezo....
Yes kachukulia serious sana yaan mpaka leo anavaa magwanda nje ya nguo za kipadreKuna wale Machaplain, ambao huwa ni wanajeshi kitu ambacho kwenye jwtz hakipo rasmi, hivyo kuhitajika kwake kwenda kutoa huduma za kiroho kulisababisha apewe tu hadhi lakini yeye kachukulia serious! Nchi kama Afrika kusini ndio zinao hao Machaplain. [emoji1474]
Hiyo sio sare ya jwtz . labda ya jeshi la hukoKwa nini anavaa sare za jeshi?
Yes, jwtz haina camo-pattern za namna hiyoHiyo sio sare ya jwtz . labda ya jeshi la huko
Sudan