Padri Henry Rimisho wa Kanisa Katoliki atunukiwaa PhD ya Architecture

Padri Henry Rimisho wa Kanisa Katoliki atunukiwaa PhD ya Architecture

.RDC wako wa aina hii wanatokea kanisani na kwenda kuhudumu jeshini lkn si wajeda kamili
 
Mbona elimu kubwaaa hila cheo cha jeshi kidogo kwahyo CV yake alitakiwa awe hata brigedia
 
Huyu akafungue kanisa huko Ethiopia au kwa Wakongo kwa magaidi awahubirie waache usumbufu
 
Kwani akipewa vyeo vya jeshi na jeshi la Sudan ndio sio mwanajeshi? Kwanini asivae kijeshi wakati ni mwanajeshi kweli?
 
Hakuna mwanajeshi apo
Hapo anachezea viberiti sioView attachment 2034722
JamiiForums-712229454.jpg
 
Msipotoshe umma kwa uelewa wenu mdogo juu ya maswala ya kijeshi huyu father alipata mafunzo rasharasha ya kijeshi yaani hata mafunzo ya mgambo yako juu yake kupewa hizo nguo na wasudani kusini Haina maana tayari ni mwanajeshi , mtu Toka kujiunga na Jeshi huchukua miaka 15 kua na cheo cha Major hapo kahudhuria kozi nyingi tu za kijeshi achilia mbali miezi 18 hadi 20 ya ukomando kupiga kareti sio komando jamani hizo mtaani wengi tu wanazipiga pia father hajui kuvaa mavazi yanayofanana na Jeshi ni kosa naona wanamheshimu tu kutokana na title yake ya upadre vinginevyo angechukuliwa hatua
Kuna watu hata miaka kumi jeshini hawana ila ni mamajor.
cc Maafande wa ujenzi🙂😉
 
Kuna siku nipo buguruni kwa madenge nikaona watu wametulia barabarani wanaangalia katv....
Bwana kuna anashusha hizo nondo za u'jesuit .
Yani full ujinga.
Nikawauliza anaishi wapi wakanionesha,
Nikasema ujinga ni mzigo[emoji1]
We acha tu unakuta na wengine wamekaa wamsikiliza tena kwa makini na sura za huzuni kabisa.Yaan mpaka unawaonea huruma
 
Back
Top Bottom