Asante sana ..lakini nikueleze... siri ya mtungi hujulikana kwa kikombe kinachingia mtunginiAkili ya mtanzania mnyongeni(kilaza)
Tunaheshimu maoni yako.
Ila kuku elimu ndogo soma hapa
Military ordinariate - Wikipedia
Ili utoe huyo ujinga ulikujaa wa hapo kibarazani kwenu uswazi
Namfahamu vyema ni mwalimu wangu hayo mengine yako.Asante sana ..lakini nikueleze... siri ya mtungi hujulikana kwa kikombe kinachingia mtungini
Kupitia hiyo simu yako fuata hii link upate elimu ndogo sana.Kuna jamaa yangu mmoja aliwahi niambia! Baadhi ya Ma Padre ni majasusi! Nimeanza kuamini hili suala! Ndiyo maana unakuta padre mzungu yuko vijijini ndani ndani kabisa huko,anaishi nyumba haina hata umeme,maji shida,usafiri shida, Mawasiliano ya simu shida! Lakini yuko na anaishi huko hata miaka 10
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Majasusi wa wapi?Papa mwenyewe ni mkuu wa majasusi, au hujui?
Muache baba paroko na ukomando wake
umekurupuka wewe, rudi kasome tena thread hadi mwisho.Jifunze ku- acknowledge watu..weka chanzo Cha andiko lako kuwa Ni malissa..huo ndio usomi..
Huyo mzee si mtu mzuri πJamaa ana kofia tatu
Padre arch na mwanajeshi na katika picha naona katupia zote πππππππͺπͺπͺ
Duh...Sasa mavyeo yote ya nini hayo
Father Dkt. Henry Rumisho (PhD) Ni Komandoo Wa JWTZ, Padre Wa Kanisa Katoliki, Lecturer Wa Ardhi Uni Na Architect. Hapa Henry Yuko Kwenye Graduation Yake Ardhi University Ambapo Ametunukiwa PhD In Architecture.
View attachment 2033043