Padri Henry Rimisho wa Kanisa Katoliki atunukiwaa PhD ya Architecture

Padri Henry Rimisho wa Kanisa Katoliki atunukiwaa PhD ya Architecture

Kuna jamaa yangu mmoja aliwahi niambia! Baadhi ya Ma Padre ni majasusi! Nimeanza kuamini hili suala! Ndiyo maana unakuta padre mzungu yuko vijijini ndani ndani kabisa huko,anaishi nyumba haina hata umeme,maji shida,usafiri shida, Mawasiliano ya simu shida! Lakini yuko na anaishi huko hata miaka 10

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Kupitia hiyo simu yako fuata hii link upate elimu ndogo sana.
 
Hao ndio wanasababisha vijana wakose ajira
Sasa mavyeo yote ya nini hayo

Father Dkt. Henry Rumisho (PhD) Ni Komandoo Wa JWTZ, Padre Wa Kanisa Katoliki, Lecturer Wa Ardhi Uni Na Architect. Hapa Henry Yuko Kwenye Graduation Yake Ardhi University Ambapo Ametunukiwa PhD In Architecture.
JamiiForums2061826405_360x617.jpg
 
Ndio..
Paroko wetu alikua ni mwanajeshi, sema alikua ni mbabe balaa. Siku moja alimchapa bibi mmoja vibao kwakua bibi alipewa Eucharist akaenda kukaa nayo kwenye kiti badala ya kuila.
He was out of line but he was right.

Aliwahi niabisha siku moja mbele ya kanisa sitasahau. Ni moja kati ya siku niliyoaibika vibaya mbele za watu
 
Sasa mavyeo yote ya nini hayo

Father Dkt. Henry Rumisho (PhD) Ni Komandoo Wa JWTZ, Padre Wa Kanisa Katoliki, Lecturer Wa Ardhi Uni Na Architect. Hapa Henry Yuko Kwenye Graduation Yake Ardhi University Ambapo Ametunukiwa PhD In Architecture.
View attachment 2033043
Duh...

Ningependa kujua cv yake kijeshi
Kapigana vita gani

Ova
 
Back
Top Bottom