Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upadre ni miaka 7, Architecture degree ni miaka mi5, Masters ongeza Mi2, Phd ongeza mi4. Ila ninachojua, kumiliki familia yenye watoto ni zaidi ya hayo yote combinedDuh!,niongeze swali hapo hadi kupewa daraja la upadre ni miaka mingapi?
Viongozi Wengi wa dini ndio zao hizoBila kujianika leo, inawezekana alikuwa bonge moja la spy. Umzaniaye ndiye, siye.
Sio jesuit ni APOSTLES OF JESUS (AJ)Jesuit father's noma
Hapati moral conflict kua padre na komandoo at the same time?
Na pia kwenye andiko naona wamekosea sio padri wa jimbo ni shirika.Pia haudumu jimbo la Moshi. Ni jimbo la Dsm
Tamaa tu sidhani km Mungu wa kweli angekubari kuwa ccm
Movie zinawaharibu..Bila kujianika leo, inawezekana alikuwa bonge moja la spy. Umzaniaye ndiye, siye.
Bila kujianika leo, inawezekana alikuwa bonge moja la spy. Umzaniaye ndiye, siye.
Wale hoya hoya ndiyo dirty workers sasaJapokuwa kwangu hiyo source ya habari siyo credible ila kama ni kweli then hongera zake.
Jeshi linahitaji sana professionals siyo watu hoyahoya kama wale jamaa zake Mbowe.
tuone mwanajeshi, msanifu wa majengo, profesa, injinia na sheikh, hapo itaeleweka ruksa kusomea mambo yote yaliyoko duniani na akheraUnazungumzia dini ya Mnyazi Mungu, dini ya haki
Wewe hufi sio?Litakufa then vyeo vitabaki kwa wanapumua
Sio wa jeshi letu aisee hiyo camouflage ya Sudan afu ni honorarium hiyo sio chaplain (aisee haya ni mawazo yangu lakini)Wana Jamii From!
Bila yakupoteza muda naomba kufahamu jambo moja zito ambalo kwa uelewa wangu nimeshindwa lipatia majibu!
Hivi inawezekana vipi Mtumishi wa Mungu Padre awe mwanajeshi tena komandoo??
Picha hapo chini ni Padre Henry,ambaye ni mwanajeshi komandoo,ambaye katunukiwa PhD yake ya Architecture! View attachment 2032978
Zile ngano za masista maryknol kumbe ni wamama wa daslamu enzi wakiwa na baibui zao.Sasa subirini Yericko aje ashuke gazeti na zile ngano zake [emoji119][emoji1][emoji1]