Dr Rutagwerera Sr
JF-Expert Member
- Dec 21, 2011
- 5,809
- 11,462
Huyu ni mwamaume kwelikweli kama mwenzie Augustino Ramadhan.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipi usheikh nao unakubalika kuchanganya uanajeshi na usanifu wa majengo?
Sio issue kumjua...hata ivo mashaka yangu hayabadilishi kitu...Fanya uchunguzi wa shaka yako uje utujuze na sie
Huyu anatoka shirika la mitume wa Yesu (Apostles of Jesus)Jesuit father's noma
Jamaa gani?mpaka kuwa sheikh inawezekana chief. hao jamaa waonage tu hvyo hvyo.
Inasikitisha sana Mtu anakuja na Uzi wa 'Kumshadadia' Mtu wa Mahaba yake nae halafu katika Maelezo yake marefu kuna Makosa lukuki ya 'Kiuwasilishaji' kama ambavyo umeyaainisha hapa Mkuu.Uzi uunganishwe, Halafu ni Architect, sio Architecture, na ni chuo kikuu Ardhi, sio chuo kikuu cha Ardhi
Mfano Gwajima..Hizo sio karama si degree.Karama anatoa Mungu (Roho Mtakatifu) na uwa hatoi ukomando au PHD .Mfano wa karama ni kukirimu,unabii,uponyaji,kupambanua roho n.k
Ongeza bidii kwenye kufanya mambo ya msingi na uache wivu.Wana Jamii From!
Bila yakupoteza muda naomba kufahamu jambo moja zito ambalo kwa uelewa wangu nimeshindwa lipatia majibu!
Hivi inawezekana vipi Mtumishi wa Mungu Padre awe mwanajeshi tena komandoo??
Picha hapo chini ni Padre Henry,ambaye ni mwanajeshi komandoo,ambaye katunukiwa PhD yake ya Architecture!
Naona mzee anachezea nunchaku....huyu balAa...muda huo huo ujue upadri..huo huo..uwe architecture...komando...dah..muda huo huo.ui master martial arts Hadi amepata black belt...huyu mzee balaaAisee ana mpaka black belt , sio mtu wa mchezo
View attachment 2033107
Siri zake Zitaibuka soonUpadre na jeshi mbona kama haiji, au alianza jeshi kisha padre kama wakina adamoo