Padri Henry Rimisho wa Kanisa Katoliki atunukiwaa PhD ya Architecture

Padri Henry Rimisho wa Kanisa Katoliki atunukiwaa PhD ya Architecture

Sio wa jeshi letu aisee hiyo camouflage ya Sudan afu ni honorarium hiyo sio chaplain (aisee haya ni mawazo yangu lakini)
Nadhani Military Ordinariates wana sare zao tofauti. Ni maoni yangu tu pia. Cuz hata camouflage za JKU, KVZ, JKT, JWTZ na wale jamaa Presidential hazifanani.
 
Nadhani Military Ordinariates wana sare zao tofauti. Ni maoni yangu tu pia. Cuz hata camouflage za JKU, KVZ, JKT, JWTZ na wale jamaa Presidential hazifanani.
Sahihi
images (4).jpeg
 
Inawezekana tena hawa hutumiwa vizuri kabisa na serikali kwenye mambo ya unaa kwakuwa hawana family
***** huwa ni wanoko sana na hawana huruma, nimesoma shule ya dini kuna mpuuzi alikuwa anatuzingua sana bila huruma

Fikiria anakupa adhabu ya kukaa nje tena usiku alafu anakuja kukuchungulia kila mara kama bado upo palepale
 
Inasikitisha sana Mtu anakuja na Uzi wa 'Kumshadadia' Mtu wa Mahaba yake nae halafu katika Maelezo yake marefu kuna Makosa lukuki ya 'Kiuwasilishaji' kama ambavyo umeyaainisha hapa Mkuu.

Umejua Kumuumbua kweli kweli na nadhani aliko sasa anajiona mdogo kama Kidonge cha 'Piriton' tu Kudadadeki zake.

Cc: DIDAS TUMAINI
Haaaaa Haaaaa 😂
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
Wanapenda story sana.. Kuna mtu huku.. Nahisi alisikia mahali wanasema Pope Francis ni Jesuit Father [emoji23] anaambiwa watu hata papa ni jasusi
Kuna siku nipo buguruni kwa madenge nikaona watu wametulia barabarani wanaangalia katv....
Bwana kuna anashusha hizo nondo za u'jesuit .
Yani full ujinga.
Nikawauliza anaishi wapi wakanionesha,
Nikasema ujinga ni mzigo😄
 
Kuna siku nipo buguruni kwa madenge nikaona watu wametulia barabarani wanaangalia katv....
Bwana kuna anashusha hizo nondo za u'jesuit .
Yani full ujinga.
Nikawauliza anaishi wapi wakanionesha,
Nikasema ujinga ni mzigo[emoji1]
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom