Padri Henry Rimisho wa Kanisa Katoliki atunukiwaa PhD ya Architecture

Padri Henry Rimisho wa Kanisa Katoliki atunukiwaa PhD ya Architecture

Hizo sio karama si degree.Karama anatoa Mungu (Roho Mtakatifu) na uwa hatoi ukomando au PHD .Mfano wa karama ni kukirimu,unabii,uponyaji,kupambanua roho n.k
Inategemeana. Kwa Wakatoliki Roho Mtakatifu anatoa Hekima, Akili, Shauri, Nguvu, Elimu, Ibada na Uchaji wa Mungu. [emoji16]
 
Hao ndio wanasababisha vijana wakose ajira
Sasa mavyeo yote ya nini hayo

Father Dkt. Henry Rumisho (PhD) Ni Komandoo Wa JWTZ, Padre Wa Kanisa Katoliki, Lecturer Wa Ardhi Uni Na Architect. Hapa Henry Yuko Kwenye Graduation Yake Ardhi University Ambapo Ametunukiwa PhD In Architecture.
View attachment 2033043
Mmekatazwa kusoma[emoji23][emoji848]
 
Naona mzee anachezea nunchaku....huyu balAa...muda huo huo ujue upadri..huo huo..uwe architecture...komando...dah..muda huo huo.ui master martial arts Hadi amepata black belt...huyu mzee balaa
Mambo ya black belt yapo wapi?
 
Back
Top Bottom