Padri Henry Rimisho wa Kanisa Katoliki atunukiwaa PhD ya Architecture

Padri Henry Rimisho wa Kanisa Katoliki atunukiwaa PhD ya Architecture

Kuna jamaa yangu mmoja aliwahi niambia! Baadhi ya Ma Padre ni majasusi! Nimeanza kuamini hili suala! Ndiyo maana unakuta padre mzungu yuko vijijini ndani ndani kabisa huko,anaishi nyumba haina hata umeme,maji shida,usafiri shida, Mawasiliano ya simu shida! Lakini yuko na anaishi huko hata miaka 10

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
kanisa katoliki limejipenyeza sana.

kuna article moja niliwahi kuisoma kwenye mtandao wa quora. ilieleza kinagaubaga nguvu ya kanisa katoliki katika medeni za ujasusi.

muandishi aliandika, CIA na teknolojia zao zote, kuna baadhi ya information wakikwama kuzipata, huwa wanalitumia kanisa katoliki kuwafanyia information gathering.

hili dhehebu ni zaidi ya vile watu wanavyolichukulia. i'm proud to be a roman catholic.
 
kanisa katoliki limejipenyeza sana.

kuna article moja niliwahi kuisoma kwenye mtandao wa quora. ilieleza kinagaubaga nguvu ya kanisa katoliki katika medeni za ujasusi.

muandishi aliandika, CIA na teknolojia zao zote, kuna baadhi ya information wakikwama kuzipata, huwa wanalitumia kanisa katoliki kuwafanyia information gathering.

hili thehebu ni zaidi ya vile watu wanavyolichukulia. i'm proud to be a roman catholic.
Mbona linajulikana sifa zake kiroho, linaitwa mama wa ........, lina nguvu za kisiasa, lina tume inaitwa amani na majeshi. Kanisa hili halichukiliwi poa, ni zaidi ya kanisa.
 
Wana Jamii From!

Bila yakupoteza muda naomba kufahamu jambo moja zito ambalo kwa uelewa wangu nimeshindwa lipatia majibu!

Hivi inawezekana vipi Mtumishi wa Mungu Padre awe mwanajeshi tena komandoo??

Picha hapo chini ni Padre Henry,ambaye ni mwanajeshi komandoo,ambaye katunukiwa PhD yake ya Architecture!

Ndo utaona na kujua namna ambavyo viongozi wa dini wanavyowachora waumini wao kwa uzezeta wao huku umaskini ukiendelea kuwatafuna. Dini kwa sehemu kubwa ndio imekuwa chanzo cha matatizo makubwa tuliyonayo.
 
kama kuna watu wanaweza kufikiri vizuri basi wataelewa nani ni mmiliki wa CCM...

kuna vitabu ukifunuliwa leo hii ukavisoma kesho utaacha kwenda kuabudu kanisani...
 
Hao ndio wanasababisha vijana wakose ajira
Sasa mavyeo yote ya nini hayo

Father Dkt. Henry Rumisho (PhD) Ni Komandoo Wa JWTZ, Padre Wa Kanisa Katoliki, Lecturer Wa Ardhi Uni Na Architect. Hapa Henry Yuko Kwenye Graduation Yake Ardhi University Ambapo Ametunukiwa PhD In Architecture.
View attachment 2033043
Hakunaga Padre kilaza usiwaone vile, shule ndiyo imemfikisha hapo.
 
Back
Top Bottom