Aneel munawar
JF-Expert Member
- Aug 1, 2017
- 4,580
- 8,141
Mi Ni kiazi kweliWewe ni kiazi, huwezi ukaelewa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi Ni kiazi kweliWewe ni kiazi, huwezi ukaelewa.
Na wanasema ni Jimbo kuu la Dar es Salaam sio Moshi [emoji23]Uzi uunganishwe, Halafu ni Architect, sio Architecture, na ni chuo kikuu Ardhi, sio chuo kikuu cha Ardhi
Adamoo yupi?Upadre na jeshi mbona kama haiji, au alianza jeshi kisha padre kama wakina adamoo
Inategemeana. Kwa Wakatoliki Roho Mtakatifu anatoa Hekima, Akili, Shauri, Nguvu, Elimu, Ibada na Uchaji wa Mungu. [emoji16]Hizo sio karama si degree.Karama anatoa Mungu (Roho Mtakatifu) na uwa hatoi ukomando au PHD .Mfano wa karama ni kukirimu,unabii,uponyaji,kupambanua roho n.k
Anajikubali kichizi [emoji16][emoji16][emoji16]Jamaa ana kofia tatu
Padre arch na mwanajeshi na katika picha naona katupia zote [emoji2][emoji2][emoji2][emoji122][emoji122][emoji122][emoji123][emoji123][emoji123]
Jamani kuuliza si ujinga[emoji23]Akili ya mtanzania mnyongeni(kilaza)
Tunaheshimu maoni yako.
Ila kuku elimu ndogo soma hapa
Military ordinariate - Wikipedia
Ili utoe huyo ujinga ulikujaa wa hapo kibarazani kwenu uswazi
[emoji23][emoji23][emoji23]Majasusi wa wapi?
Hizo cd mnazoonyeshwa humo Barabarani Buguruni muwe mnajiongeza sii mnameza mazimamazima.
Mmekatazwa kusoma[emoji23][emoji848]Hao ndio wanasababisha vijana wakose ajira
Sasa mavyeo yote ya nini hayo
Father Dkt. Henry Rumisho (PhD) Ni Komandoo Wa JWTZ, Padre Wa Kanisa Katoliki, Lecturer Wa Ardhi Uni Na Architect. Hapa Henry Yuko Kwenye Graduation Yake Ardhi University Ambapo Ametunukiwa PhD In Architecture.
View attachment 2033043
Eeh, huwa kwenye kazi hizo za wito tuko vzr sana. Wamashati mmetisha sanaHongera Mangi!
Mrombo huyo!
Nadhani shirika la Apostles of Jesus sio Jesuit Fathers.Jesuit father's noma
[emoji848][emoji848][emoji848]Tamaa tu sidhani km Mungu wa kweli angekubari kuwa ccm
Hapa kuna mushikeri,....kwa namna yeyote...! Yaani hata kama ni kuvunja amri za Mungu ni sawa kweli???Mnaotamani kupiga HATUA za kimaisha kwa namna yeyote, Mungu awafanyie wepesi
Kwani makomandoo ni nani[emoji23]Hapati moral conflict kua padre na komandoo at the same time?
Tulia pastor uchwara. Kuwa na adabu.Hizo sio karama si degree.Karama anatoa Mungu (Roho Mtakatifu) na uwa hatoi ukomando au PHD .Mfano wa karama ni kukirimu,unabii,uponyaji,kupambanua roho n.k
Yeye anapokea kupitia mafuta ya mwamposa fala huyuInategemeana. Kwa Wakatoliki Roho Mtakatifu anatoa Hekima, Akili, Shauri, Nguvu, Elimu, Ibada na Uchaji wa Mungu. [emoji16]
JWTZ huwa wanaapa kulinda katiba tu.Afu utasikia serikali ikisema "msichanganye siasa na dini"
[emoji23][emoji23][emoji23]Yeye anapokea kupitia mafuta ya mwamposa fala huyu
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Mambo ya black belt yapo wapi?Naona mzee anachezea nunchaku....huyu balAa...muda huo huo ujue upadri..huo huo..uwe architecture...komando...dah..muda huo huo.ui master martial arts Hadi amepata black belt...huyu mzee balaa
Ni ngumu sana. Mara nyingi huwa wanachagua kusoma dini tu.tuone mwanajeshi, msanifu wa majengo, profesa, injinia na sheikh, hapo itaeleweka ruksa kusomea mambo yote yaliyoko duniani na akhera