Gaudence!nimekusoma,ila kuna tetesi kuwa hawa mapadri mara kadhaa wamekuwa wanaomba kuruhusiwa kuoa!!waizi wakizidi hatusemi bora uwiz uhalalishwe padri akiwa na tamaa zake hatuwezi kuvunja sheria za kanisa maana hakulazimishwa kuwa padri na alijua sheria za kuwa padri mapema tuu
Tangu uanze kuzini umezini na mapadre wangapi? Acha fallacy of generalization wewe!!!!Mapadre wamezidi UZINZI!
kwa kuwa ni padri,hatakamatwa!ile kesi ya padri kimaro wa udsm kukalawiti katoto imeishia wapi?maana alifumwa live njia ya msewe poriniBi Celestina Ananius(35) amenusurika Kuuawa na Padri ambaye kwa Sasa anaishi kwenye Makazi ya Katoliki Mbezi kwa ajiri ya Masomo.Dada huyo anasema amekuwa katika ngono na padri huyo tangia akiwa Fratel,akawa Shemasi na sasa ni padri nasuala hilo ni siri yao na wazazi wa pande mbili hadi wamezaa mtoto anaitwa Agnes(3).
Bi Celestina ambaye anaishi Dodoma alikuja Dar kumufuata Mpenzi wake huyo na kama kawada baada ya kupata huduma walikuwa na safari ya kwenda kibaha ambapo walitofautiana katika mambo yao , na Padri alikasirika na kumukanyaga na gari ya Jimbo la Katoliki kabla ya Kumushambulia kwa Panga.
Taarifa za Polisi Mkoa wa Pwani zinaonyesha kuwa Mwanamke huyo aliokolewa na Wasamalia wema na kukimbizwa Hospitali ya Tumbi Kibaha kwa matibabu!!!
Hadi sasa Padri hajakamatwa !!!!!!!!!
source: Police Kibaha
Hawa mapadri aisee ni bora waruhusiwe tu kuoa, haya mafundisho mengine bwana, yaani binaadamu yuko kamili, anakula anakunywa ana uwezo kifedha, halafu unamwabia asioe, kinyume kabisa na maumbile yetu wanaadamu.
tutake tusitake tendo la ndoa ni muhimu mno kama kula au kunywa. kama uko mzima lazima ulitimize. sasa kueka sheria ya kulizuia matokeo yake ndo haya.
Nijibu kwanza.Mkuu kwa namna flani nakubariana nawe kuwa hulka ya mtu inachangia kwa kiasi flani na utetezi wako huu nimeuona kwenye ile thread nyingine. Lakini naomba tulijadili hili jambo katika hali ya kuelimishana zaidi na si mabishano. Kwa mtazamo wako kama mapadri wataruhusiwa kuoa uoni kama tatizo litapungua kwa kiasi kikubwa sana? Maana mambo haya yanaliandama kanisa katoriki duniani kote sio hapa tu, kimaumbile kila binadamu ana matamanio ya kimwili na kutofanya kabisa ngono ni kitu kigumu sana, kuendelea kuamini kuwa mapadri wanapaswa kuishi bila mke kama alivyoishi Yesu ni mtazamo wenye kuhitaji mjadala mpana maana Yesu ana mambo mengi yasiyofanana na binadamu wengine ata katika kuumbwa kwake, yeye hakuwa na biological father na ni mtume wa Mungu hivyo ni rahisi kutokuwa na matamanio kulinganisha na sisi.
Kanisa katoriki liangalie upya sera yake ya kukataza mapadri kuoa, kwa kweli wanawaweka katika wakati mgumu sana na wanatengeneza mazingira ya kuaibisha kanisa yanapotokea haya. Mi mwenyewe kuna padri mmoja alikuwa hakauki kwetu kumfuatilia dada yangu, na pia tuna baba yetu mdogo ni padri mkoani Moro ana watoto karibu kila parokia aliyohudumu akigundulika wanamuhamisha kituo tu, mpaka sasa familia inawatambua watoto wake 6 na tunashiriki nao kwenye shughuli zote za familia sasa hapa anadanganywa nani?
Angefanikiwa kumuua na akatoweka bila kuonekana ingeingizwa issue ya kidini sababu ni sister! Naona kupitia huu mkasa mtajifunza mengi si kila Padre au Askofu ye ni Malaika. Yawezekana hata wanaoambiwa wauza unga kweli tu. Dini za ujanja ujanja tunatamani nipinge hii sredi kutokana na ukatoliki wangu lakini daah!!!
kuna stori niliskia toka kwa 'witnes'
kama hii...
leo katika kipindi cha patapata wapo redio fm.......kuwa padri wa kanisa katoliki parokia ya hombolo iliyoko dodoma kwa jina la celestine john nyaumbana....anashikiliwa na polisi kwa kosa la kutaka kumuua mpenzi wake kwa jina sista agnes huko maeneo ya kiluvya.......
chanzo kinasemekana kuwa padri huyo alimpa mimba sista agnes...na kuzaa nae mtoto....ila walizaa na dada huyo kwa siri kubwa sana....sasa wakati padri huyu yupo jijini dar kimasomo sista huyu alikuwa akimtafuta padri huyu ili kujua hatma ya maisha yake na mtoto....sasa wakati wapo dar padri huyo kukutana na mpenzi wake huyo alimuomba dada huyo watoke kidogo kwenda kutembea maeneo ya kiluvya...na klufika huko wakati wapo katikati ya poli padri huyo alishuka kwenye gali na kumshambulia sista agness kwa madhumuni ya kumuua na kupoteza ushaidi ila hakufanikiwa kumuua
source: wapo radio kipindi cha patapata
mkuu unapokea mambo na kuyaamini kirahisi sana.
Is better for God to bless the "born again" and leave alone sinners.
Kama unajua sheria za kanisa katoliki,hakuna sista mwenye mimba au watoto!kwa hivo usipotoshe jamii!
Huyo hakuwa sister bora tu useme mzinzi mwenzie,tunaweza kuelewa!
Mie mpaka hapa nilipofikia ni mtu mzima. Nashuhudia kuwa sijawahi muona padre anaemhofu Mungu zaidi ya kuhofu wale wanaomzunguka dhidi ya uhalifu wao.
Ina maana huko porini alikompeleka huyo mkewe haamini kama mungu anaedai kumtumikia yupo?
.
ushabiki mwingine siuelewagi kabisa! Kwani sister na Padri nani mwenye wadhifa mkubwa kanisani? Iweje Padri azini, ashindwe kuzini Sister? Nikukumbushe tu ili sehemu ile yaani...... Ni tamu sana haina mjanja ilee ndugu yangu
mungu si alimuacha kanisani, amepakatwa na bikira maria?
Bi Celestina Ananius(35) amenusurika Kuuawa na Padri ambaye kwa Sasa anaishi kwenye Makazi ya Katoliki Mbezi kwa ajiri ya Masomo.Dada huyo anasema amekuwa katika ngono na padri huyo tangia akiwa Fratel,akawa Shemasi na sasa ni padri nasuala hilo ni siri yao na wazazi wa pande mbili hadi wamezaa mtoto anaitwa Agnes(3).
Bi Celestina ambaye anaishi Dodoma alikuja Dar kumufuata Mpenzi wake huyo na kama kawada baada ya kupata huduma walikuwa na safari ya kwenda kibaha ambapo walitofautiana katika mambo yao , na Padri alikasirika na kumukanyaga na gari ya Jimbo la Katoliki kabla ya Kumushambulia kwa Panga.
Taarifa za Polisi Mkoa wa Pwani zinaonyesha kuwa Mwanamke huyo aliokolewa na Wasamalia wema na kukimbizwa Hospitali ya Tumbi Kibaha kwa matibabu!!!.Hadi sasa Padri hajakamatwa !!!!!!!!!
Hii ni Kali kuliko ya Nabii na Mtume Mwingira pale Karibu Hotel
source: Police Kibaha
Mkuu heshima yako,si vyema kaka kuongelea iman ya watu (ambayo wewe huijui) kama ulivoongea hapa!
Tafadhali ukiwa muungwana wa kutosha delete hiki ulichoandika!
Thank you kaka!