Padri Katika Njama za Kumuua Mpenzi wake...

Padri Katika Njama za Kumuua Mpenzi wake...

mapadri ni wazinzi sana.... unadhani kwanini papa kajiuzulu..? kwa kashafa kama hizi... watoto wa shule wakae mbali na hawa watu
 
Hawa mapadri aisee ni bora waruhusiwe tu kuoa, haya mafundisho mengine bwana, yaani binaadamu yuko kamili, anakula anakunywa ana uwezo kifedha, halafu unamwabia asioe, kinyume kabisa na maumbile yetu wanaadamu. tutake tusitake tendo la ndoa ni muhimu mno kama kula au kunywa. kama uko mzima lazima ulitimize. sasa kueka sheria ya kulizuia matokeo yake ndo haya.
Padri ni binadamu kama wewe au binadamu kama wengine wenye mwili wa nyama. Kama ameshindwa kutimiza wito wake basi hilo ni suala la mtu binafsi. Padri anaingia ktk utawa/useja kwa ajili ya kumtumikia Mwenyezi kwa utashi wake mwenyewe wala hashurutishwi. Suala la kula na kunywa pamoja na uwezo wa fedha siyo issue. Wewe binafsi kwa nafasi yako umetimiza mangapi na umeshindwa mangapi ukiwa kama binadamu wa kawaida?
 
aisee padri NO kuoa, sista NO kuolewa sawa? halafu wanaekwa pamoja kwenye covenanat sijui, yule hana mke na huyu hana mume, mazingira kama haya uzinzi ni mathematical certainity kutokea, kibaya zaidi wanawaharibu na watoto wadogo sasa, bora waishiane wao kwa wao padri + sister = ?
 
aisee padri no kuoa, sista no kuolewa sawa? Halafu wanaekwa pamoja kwenye covenanat sijui, yule hana mke na huyu hana mume, mazingira kama haya uzinzi ni mathematical certainity kutokea, kibaya zaidi wanawaharibu na watoto wadogo sasa, bora waishiane wao kwa wao padri + sister = ?

mimi nina mfano hai...kuna wifi yangu alikua sister kama miaka 7 hivi..juzi kati amerudi anadai wamefukuza coz anaumwa umwa saana...akapokelewa kwao kwa mikono miwili...heee mara tunaona tumbo linavimba mazee...haa anaulizwa anajiuma uma...but mwisho anaka mwanaume kujitambulisha kua anachukua mzigo jumla...na akaposa ...mahari tumeshakula...tunasubiri azae tumwage radhi...harusi hiyooooo....dah sister huyo...bora mimba haikua ya padri
 
Bi Celestina Ananius(35) amenusurika Kuuawa na Padri ambaye kwa Sasa anaishi kwenye Makazi ya Katoliki Mbezi kwa ajiri ya Masomo.Dada huyo anasema amekuwa katika ngono na padri huyo tangia akiwa Fratel,akawa Shemasi na sasa ni padri nasuala hilo ni siri yao na wazazi wa pande mbili hadi wamezaa mtoto anaitwa Agnes(3).
Bi Celestina ambaye anaishi Dodoma alikuja Dar kumufuata Mpenzi wake huyo na kama kawada baada ya kupata huduma walikuwa na safari ya kwenda kibaha ambapo walitofautiana katika mambo yao , na Padri alikasirika na kumukanyaga na gari ya Jimbo la Katoliki kabla ya Kumushambulia kwa Panga.
Taarifa za Polisi Mkoa wa Pwani zinaonyesha kuwa Mwanamke huyo aliokolewa na Wasamalia wema na kukimbizwa Hospitali ya Tumbi Kibaha kwa matibabu!!!.Hadi sasa Padri hajakamatwa !!!!!!!!!
Hii ni Kali kuliko ya Nabii na Mtume Mwingira pale Karibu Hotel
source: Police Kibaha

bora mtu akitaka kuwa padri ahasiwe bwana
 
Kanisa katoliki ruhusuni mapadre wenu waoe.. Mnazidi kujiletea aibu za kubaka, kulawiti, na kuzaa watoto haramu kila kona!! Hivi kweli padre anakula balanced diet na bia ju uhalafu eti unimbie ataishi kama toashi? Msijidanganye!! Simaanishi kuwa hata kwa wakristu wanaoruhusu wachungaji wao kuoa kuwa hawazini ila kwa katoliki mnaongoza kwa kuwa wake hamna. Papa Francis najua ni traditional catholics na ni wa enzi zile waliamini utoashi but hawa mapared vijana ni hatari tupu siku hizi.
 
Hiyo point ya kuhasiwa kwa mapadri nimeipenda.Hapo ndo mapadri wanafki watafahamika kwani wengi wataacha upadri
 
kweli itolewe sheria ya kuhasiwa tuone watakao baki kuwa mapadiri wa ukweel
 
usiwe mwepesi wa kuhukumu ati!..hawa mapadri ni janga!! unajua maana ya janga wewe? padri ni binadam kama wewe, so anaweza kuangukia dhambini.
 
Dhambi zote zitabaki kuwa dhambi tu. Huyu padri aliyezini na mtu mwingine aliyeiba wote wametenda dhambi, na inabidi watubu dhambi zao. Kwa hiyo isionekane ajabu sana kwa padri kuwa mzinzi, wakati ndani ya nyumba yako isitoshe familia yote ni wazinzi! Padri akizini anatubu na maisha yanaendelea, na kutubu ni pamoja na kujutia kosa na kuliacha
 
Back
Top Bottom