Bi Celestina Ananius(35) amenusurika Kuuawa na Padri ambaye kwa Sasa anaishi kwenye Makazi ya Katoliki Mbezi kwa ajiri ya Masomo.Dada huyo anasema amekuwa katika ngono na padri huyo tangia akiwa Fratel,akawa Shemasi na sasa ni padri nasuala hilo ni siri yao na wazazi wa pande mbili hadi wamezaa mtoto anaitwa Agnes(3).
Bi Celestina ambaye anaishi Dodoma alikuja Dar kumufuata Mpenzi wake huyo na kama kawada baada ya kupata huduma walikuwa na safari ya kwenda kibaha ambapo walitofautiana katika mambo yao , na Padri alikasirika na kumukanyaga na gari ya Jimbo la Katoliki kabla ya Kumushambulia kwa Panga.
Taarifa za Polisi Mkoa wa Pwani zinaonyesha kuwa Mwanamke huyo aliokolewa na Wasamalia wema na kukimbizwa Hospitali ya Tumbi Kibaha kwa matibabu!!!.Hadi sasa Padri hajakamatwa !!!!!!!!!
Hii ni Kali kuliko ya Nabii na Mtume Mwingira pale Karibu Hotel
source: Police Kibaha
Bi Celestina ambaye anaishi Dodoma alikuja Dar kumufuata Mpenzi wake huyo na kama kawada baada ya kupata huduma walikuwa na safari ya kwenda kibaha ambapo walitofautiana katika mambo yao , na Padri alikasirika na kumukanyaga na gari ya Jimbo la Katoliki kabla ya Kumushambulia kwa Panga.
Taarifa za Polisi Mkoa wa Pwani zinaonyesha kuwa Mwanamke huyo aliokolewa na Wasamalia wema na kukimbizwa Hospitali ya Tumbi Kibaha kwa matibabu!!!.Hadi sasa Padri hajakamatwa !!!!!!!!!
Hii ni Kali kuliko ya Nabii na Mtume Mwingira pale Karibu Hotel
source: Police Kibaha