Padri Kitima: Bunge letu linafikiri kichama. Upeo wa kuchambua masuala ya nchi yetu umeshuka

Padri Kitima: Bunge letu linafikiri kichama. Upeo wa kuchambua masuala ya nchi yetu umeshuka

Katibu Mkuu wa TEC, Padri Dkt. Kitima akiwa kwenye mahojiano na The Chanzo amesema kuwa ule uwezo wa kuchambua masuala ya kitaifa umeshuka.

' Ule uchambuzi, kuchambua masuala, kupembua wa watu wa kawaida umeshuka. Wewe angalia sasa hivi watu wana miaka saba hatujawaongelea juu ya haki zao za msingi za kujitawala.

Hatujawaongelea uzuri wa kuwa na kitu kinachoitwa Katiba ambayo ni sheria mama ambayo kila mtu anapaswa kuwajibishwa nayo.

Hata ungewaambia watu kuwa, sasa jamani tutakuwa tuna vitabu viwili tu vinavyotawala nchi hii Quran na Biblia, ambavyo vimewekwa na muumba wenu, bado Watanzania wanaweza wakavichoma moto wakaendelea na mambo yao wanayoyataka.

Hata ukiwa na Katiba, utashi na kusudio, dhamiri na makusudio maalum ya kila aliyeko madarakani kusema hili na lile litawale, kama hiyi haipo hatuwezi kwenda.

Kwa hiyo, mimi nakubali sheria mama ni ya msingi lakini mwisho wa siku hebu angalia uhalisia uliopo. Bunge linafikiri kichama, Bunge letu la sasa ukuu wa Bunge haupo.

Umeona spika ametishwa kidogo amejiuzulu. Uchaguzi unafanya wa kumchagua mtu mmoja bungeni, eti mtu amepata kura zote za watu sijui 300 na ngapi

Hata Nyerere alikuwa hapati zote, ambaye tunaamini kweli ni Baba wa Taifa.

Unaona kabisa kwamba ule utashi wa kuwa na utawala wa sheria nchi hii haujadhamiriwa na walioko madarakani.


Muombeeni Mrisho Mpoto, aliwauza kwa kipande cha dinari.
Alitudhalilisha wakatoliki wote.
Muombeeni aliyemtuma Mrisho Mpoto, alijua hawezi kuwananga direct , hiyo ndio tabia ya waswahili , kusuta.!
 
Hapa suala la kujiuliza ni kwanini uwezo ushuke wakati kila mwaka wanaongezeka wahitimu wa vyuo vikuu?

Ni elimu yetu ndio mbovu? au ukosefu wa ajira unaowakuta wahitimu mtaani ndio chanzo kwao kugeuka chawa?

Mimi naona mchanganyiko wa hayo maswali mawili ndio unaleta majibu, kwani hata kama mhitimu akimaliza chuo na ufaulu mzuri, lakini akija kukutana na ukosefu wa ajira mtaani, hapo lazima aiweke elimu yake pembeni ili apate nafasi ya kulijaza tumbo lake.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Elimu na akili ni vitu viwili tofauti.
Watu wenye akili wakikosa ajira ndipo fikra za kimapinduzi huanzia.
 
Katibu Mkuu wa TEC, Padri Dkt. Kitima akiwa kwenye mahojiano na The Chanzo amesema kuwa ule uwezo wa kuchambua masuala ya kitaifa umeshuka.

' Ule uchambuzi, kuchambua masuala, kupembua wa watu wa kawaida umeshuka. Wewe angalia sasa hivi watu wana miaka saba hatujawaongelea juu ya haki zao za msingi za kujitawala.

Hatujawaongelea uzuri wa kuwa na kitu kinachoitwa Katiba ambayo ni sheria mama ambayo kila mtu anapaswa kuwajibishwa nayo.

Hata ungewaambia watu kuwa, sasa jamani tutakuwa tuna vitabu viwili tu vinavyotawala nchi hii Quran na Biblia, ambavyo vimewekwa na muumba wenu, bado Watanzania wanaweza wakavichoma moto wakaendelea na mambo yao wanayoyataka.

Hata ukiwa na Katiba, utashi na kusudio, dhamiri na makusudio maalum ya kila aliyeko madarakani kusema hili na lile litawale, kama hiyi haipo hatuwezi kwenda.

Kwa hiyo, mimi nakubali sheria mama ni ya msingi lakini mwisho wa siku hebu angalia uhalisia uliopo. Bunge linafikiri kichama, Bunge letu la sasa ukuu wa Bunge haupo.

Umeona spika ametishwa kidogo amejiuzulu. Uchaguzi unafanya wa kumchagua mtu mmoja bungeni, eti mtu amepata kura zote za watu sijui 300 na ngapi

Hata Nyerere alikuwa hapati zote, ambaye tunaamini kweli ni Baba wa Taifa.

Unaona kabisa kwamba ule utashi wa kuwa na utawala wa sheria nchi hii haujadhamiriwa na walioko madarakani.


Na jeshi letu nalo limekuwa chawa. Kungekuwa hakuna uchawa jeshini basi lingekuwa limechukua hatua kama walivyofabya kule Sudan na Gabon. Tanzania ni nchi ya kipumbavu sana.
 
Padre anayetetea mashoga hawezi kuipenda serikali inayopinga ushoga.
Dah! I wish ungekuwa ni moja ya zile ng'ombe 🐂 zilitolewa na wadau mbalimbali mara baada ya ule ushindi wa Yanga.
Maana mpaka muda huu tungekuwa kitambo tu tumeshakutafuna kama supu na chapati. 😋
 
Katibu Mkuu wa TEC, Padri Dkt. Kitima akiwa kwenye mahojiano na The Chanzo amesema kuwa ule uwezo wa kuchambua masuala ya kitaifa umeshuka.

' Ule uchambuzi, kuchambua masuala, kupembua wa watu wa kawaida umeshuka. Wewe angalia sasa hivi watu wana miaka saba hatujawaongelea juu ya haki zao za msingi za kujitawala.

Hatujawaongelea uzuri wa kuwa na kitu kinachoitwa Katiba ambayo ni sheria mama ambayo kila mtu anapaswa kuwajibishwa nayo.

Hata ungewaambia watu kuwa, sasa jamani tutakuwa tuna vitabu viwili tu vinavyotawala nchi hii Quran na Biblia, ambavyo vimewekwa na muumba wenu, bado Watanzania wanaweza wakavichoma moto wakaendelea na mambo yao wanayoyataka.

Hata ukiwa na Katiba, utashi na kusudio, dhamiri na makusudio maalum ya kila aliyeko madarakani kusema hili na lile litawale, kama hiyi haipo hatuwezi kwenda.

Kwa hiyo, mimi nakubali sheria mama ni ya msingi lakini mwisho wa siku hebu angalia uhalisia uliopo. Bunge linafikiri kichama, Bunge letu la sasa ukuu wa Bunge haupo.

Umeona spika ametishwa kidogo amejiuzulu. Uchaguzi unafanya wa kumchagua mtu mmoja bungeni, eti mtu amepata kura zote za watu sijui 300 na ngapi

Hata Nyerere alikuwa hapati zote, ambaye tunaamini kweli ni Baba wa Taifa.

Unaona kabisa kwamba ule utashi wa kuwa na utawala wa sheria nchi hii haujadhamiriwa na walioko madarakani.


Ajikite kuhubiri dini,wafuasi wake ni miongoni mwa waovu waliopo mtaani,awafikie hao,apunguze ashki za siasa au ajiunge chadema watamkaribisha
 
Hapa suala la kujiuliza ni kwanini uwezo ushuke wakati kila mwaka wanaongezeka wahitimu wa vyuo vikuu?

Ni elimu yetu ndio mbovu? au ukosefu wa ajira unaowakuta wahitimu mtaani ndio chanzo kwao kugeuka chawa?

Mimi naona mchanganyiko wa hayo maswali mawili ndio unaleta majibu, kwani hata kama mhitimu akimaliza chuo na ufaulu mzuri, lakini akija kukutana na ukosefu wa ajira mtaani, hapo lazima aiweke elimu yake pembeni ili apate nafasi ya kulijaza tumbo lake.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Swala kubwa hapa ni mfumo wa elimu kwanza heshima ya elimu imeshuka ndio maana mtu anajisifu bungeni kuwa hajasoma na hii imetokana na mfumo at nasikia kwamba leo diploma au degree holder ni mkuu wa shule halafu master holder ni mwl wa kawaida kisa huyu ni chawa huyu haeleweki chama chake ila ukija huku afya sidhani kama iko hivo.
 
Katibu Mkuu wa TEC, Padri Dkt. Kitima akiwa kwenye mahojiano na The Chanzo amesema kuwa ule uwezo wa kuchambua masuala ya kitaifa umeshuka.

' Ule uchambuzi, kuchambua masuala, kupembua wa watu wa kawaida umeshuka. Wewe angalia sasa hivi watu wana miaka saba hatujawaongelea juu ya haki zao za msingi za kujitawala.

Hatujawaongelea uzuri wa kuwa na kitu kinachoitwa Katiba ambayo ni sheria mama ambayo kila mtu anapaswa kuwajibishwa nayo.

Hata ungewaambia watu kuwa, sasa jamani tutakuwa tuna vitabu viwili tu vinavyotawala nchi hii Quran na Biblia, ambavyo vimewekwa na muumba wenu, bado Watanzania wanaweza wakavichoma moto wakaendelea na mambo yao wanayoyataka.

Hata ukiwa na Katiba, utashi na kusudio, dhamiri na makusudio maalum ya kila aliyeko madarakani kusema hili na lile litawale, kama hiyi haipo hatuwezi kwenda.

Kwa hiyo, mimi nakubali sheria mama ni ya msingi lakini mwisho wa siku hebu angalia uhalisia uliopo. Bunge linafikiri kichama, Bunge letu la sasa ukuu wa Bunge haupo.

Umeona spika ametishwa kidogo amejiuzulu. Uchaguzi unafanya wa kumchagua mtu mmoja bungeni, eti mtu amepata kura zote za watu sijui 300 na ngapi

Hata Nyerere alikuwa hapati zote, ambaye tunaamini kweli ni Baba wa Taifa.

Unaona kabisa kwamba ule utashi wa kuwa na utawala wa sheria nchi hii haujadhamiriwa na walioko madarakani.

TANZANIA HAKUNA BUNGE KUNA WAJUMBE WA HALMASHAURI KUU YA CHAMA NDANI YA MAJENGO YA BUNGE

Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
 
Ndugu yangu fikiria ile miaka ya nyuma. Wanachuo wakisema wanamutana Nkrumah Hall kujadili mstakabali wa Taifa, serikali yote ofisi hazikaliki. Kila mmoja atataka kujua watajadili nini, na maazimio ni yapi.

Leo hii hata hao vijana wenyewe wanaosoma vyuo vikuu ni tepetepe, wala hata hawajui wana wajibu wowote kwa Taifa. Wakimaliza vyuo ndio hao wanageuka kuwa akina Mwamshamba. Watu ambao wanaishi bila ubongo wa kutafakari, wanahangaika kuimba na kusifia ili angalao matumbo yao yapate chochote.

Kwa kweli kwa sasa, na kwa aina ya vijana wa sasa na hao waliopo vyuoni, hili Taifa limegeuka kuwa Taifa la manunda.
Kuna kijana mmoja nilimshangaa sana. Katotoka zake gesh.i akaanza mwaka wa kwanza shahada. Nilimshangaa sana kumkuta anachemsha maji ya kuoga saa saba mchana huku jua liliwaka ile mbaya!
 
Hapa suala la kujiuliza ni kwanini uwezo ushuke wakati kila mwaka wanaongezeka wahitimu wa vyuo vikuu?

Ni elimu yetu ndio mbovu? au ukosefu wa ajira unaowakuta wahitimu mtaani ndio chanzo kwao kugeuka chawa?

Mimi naona mchanganyiko wa hayo maswali mawili ndio unaleta majibu, kwani hata kama mhitimu akimaliza chuo na ufaulu mzuri, lakini akija kukutana na ukosefu wa ajira mtaani, hapo lazima aiweke elimu yake pembeni ili apate nafasi ya kulijaza tumbo lake.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Umewaza vyema kabisa, masikini hana kiapo
 
Katibu Mkuu wa TEC, Padri Dkt. Kitima akiwa kwenye mahojiano na The Chanzo amesema kuwa ule uwezo wa kuchambua masuala ya kitaifa umeshuka.

' Ule uchambuzi, kuchambua masuala, kupembua wa watu wa kawaida umeshuka. Wewe angalia sasa hivi watu wana miaka saba hatujawaongelea juu ya haki zao za msingi za kujitawala.

Hatujawaongelea uzuri wa kuwa na kitu kinachoitwa Katiba ambayo ni sheria mama ambayo kila mtu anapaswa kuwajibishwa nayo.

Hata ungewaambia watu kuwa, sasa jamani tutakuwa tuna vitabu viwili tu vinavyotawala nchi hii Quran na Biblia, ambavyo vimewekwa na muumba wenu, bado Watanzania wanaweza wakavichoma moto wakaendelea na mambo yao wanayoyataka.

Hata ukiwa na Katiba, utashi na kusudio, dhamiri na makusudio maalum ya kila aliyeko madarakani kusema hili na lile litawale, kama hiyi haipo hatuwezi kwenda.

Kwa hiyo, mimi nakubali sheria mama ni ya msingi lakini mwisho wa siku hebu angalia uhalisia uliopo. Bunge linafikiri kichama, Bunge letu la sasa ukuu wa Bunge haupo.

Umeona spika ametishwa kidogo amejiuzulu. Uchaguzi unafanya wa kumchagua mtu mmoja bungeni, eti mtu amepata kura zote za watu sijui 300 na ngapi

Hata Nyerere alikuwa hapati zote, ambaye tunaamini kweli ni Baba wa Taifa.

Unaona kabisa kwamba ule utashi wa kuwa na utawala wa sheria nchi hii haujadhamiriwa na walioko madarakani.


Sahihi
 
Katibu Mkuu wa TEC, Padri Dkt. Kitima akiwa kwenye mahojiano na The Chanzo amesema kuwa ule uwezo wa kuchambua masuala ya kitaifa umeshuka.

' Ule uchambuzi, kuchambua masuala, kupembua wa watu wa kawaida umeshuka. Wewe angalia sasa hivi watu wana miaka saba hatujawaongelea juu ya haki zao za msingi za kujitawala.

Hatujawaongelea uzuri wa kuwa na kitu kinachoitwa Katiba ambayo ni sheria mama ambayo kila mtu anapaswa kuwajibishwa nayo.

Hata ungewaambia watu kuwa, sasa jamani tutakuwa tuna vitabu viwili tu vinavyotawala nchi hii Quran na Biblia, ambavyo vimewekwa na muumba wenu, bado Watanzania wanaweza wakavichoma moto wakaendelea na mambo yao wanayoyataka.

Hata ukiwa na Katiba, utashi na kusudio, dhamiri na makusudio maalum ya kila aliyeko madarakani kusema hili na lile litawale, kama hiyi haipo hatuwezi kwenda.

Kwa hiyo, mimi nakubali sheria mama ni ya msingi lakini mwisho wa siku hebu angalia uhalisia uliopo. Bunge linafikiri kichama, Bunge letu la sasa ukuu wa Bunge haupo.

Umeona spika ametishwa kidogo amejiuzulu. Uchaguzi unafanya wa kumchagua mtu mmoja bungeni, eti mtu amepata kura zote za watu sijui 300 na ngapi

Hata Nyerere alikuwa hapati zote, ambaye tunaamini kweli ni Baba wa Taifa.

Unaona kabisa kwamba ule utashi wa kuwa na utawala wa sheria nchi hii haujadhamiriwa na walioko madarakani.


Sawa baba mchungaji wamekusikia. Chukua Chako Mapema ndio mpango mzima.
 
Back
Top Bottom