Kitima hajawahi kutulia sema we ndo ulikua hufuatilii.Alimchana JPM mara kibao.Lkn sio yeye tu hata issue ya corona Kanisa Katoliki lilikua kinyume kabisa na JPM.Fuatilia mambo usipost kwa hisiaMimi Ni mkristo lkn hii trend ya akiingia rais Muislam then RC na madhehebu mengine ya kikristo kujifanya yanamuwashia Moto sio fair.Enzi za JPM walitulia kimya na ujinga wote ule aliokua anafanya.
Pamoja na yote niliyosema lkn ujumbe wa Kitima Ni Valid.
Walimfanya Nini alipowatishia kuondoa exemption Kwny magari ya Taasisi za kidini, alipowahangaisha wakina Bagonza, Niwemugizi?Kitima hajawahi kutulia sema we ndo ulikua hufuatilii.Alimchana JPM mara kibao.Lkn sio yeye tu hata issue ya corona Kanisa Katoliki lilikua kinyume kabisa na JPM.Fuatilia mambo usipost kwa hisia
nambie au nimekuudhi?Eti eeh, sawa
Samaki mmoja akioza katika tenga........Sasa pdr. Kitima ndiye aliyefikishwa mahakamani?
Baba Padri uko sahihi kabisa.Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), Padre Charles Kitima ametahadharisha unafiki wa kisiasa unaoendelea miongoni mwa Watanzania kwa sasa kwa kupenda kusifia kila jambo kuwa utaliua taifa.
Amesema tabia hiyo inaendelea kupata mashiko nchini kutokana na upeo mdogo wa watu kushindwa kujua misingi ya haki za binadamu na badala yake wanatanguliza maslahi yao binafsi mbele .
Akizungumza leo Dar es Salaam, Septemba 30, 2022 katika kongamano la viongozi wa dini zote linaloangazia haki za binadamu nchini, kiongozi huyo amesema tabia hiyo iliyojengeka isipokomeshwa ni wazi mahusiano mazuri miongoni mwa Watanzania yanaenda kupotea.
"Unafiki unaharibu nchi, unafiki wa kisiasa uliopo miongoni mwa Watanzania kupenda kusifia viongozi ili tu kujipendekeza wapate vyeo unaenda kuliua Taifa na tatizo hili linaendelea kwa sababu watu hawajui misingi ya haki za binadamu," amesema Padri Kitima
Kiongozi huyo wa kiroho amesema hata kujitoa kwenye mahakama ya haki iliyopo Arusha na kuwahamisha wananchi kutoka Loliondo kwenda Handeni mkoani Tanga ni uvunjivu wa haki za binadamu.
"Kwa sababu nchi imeridhia mikataba mbalimbali ya kimataifa inayohusu haki za binadamu," amesema
Amesema wao kama viongozi wa dini baada ya kuona tabia hiyo hususan miaka mitano iliyopita, mwaka 2020 walianza kuandika kitabu Cha elimu ya haki za binadamu kwa lengo la kuanza kutoka elimu watu wote.
"Haki za binadamu haziombwi, zinapiganiwa, dini ni kiungo muhimu na tumeona tufanye hivi na tunatarajia kuwafikia viongozi 16,000 nchi nzima na kushuka kwa Watanzania wote," amesema
Chanzo: Mwananchi
Kwani hiyo kazi ya Mungu anawafanyia kina nani? Watu wenyewe si ndiyo sisi hawa hawa machawa, unazeeka vibaya[emoji23]Mapadre fanyeni kazi ya Mungu.
Maoni yenu kwa sasa yamechafuka.
inaonekana wewe ni mgeni na huyu jamaa,katika viongozi wa dini waliokuwa na uwezo wa kuyaongea haya ni huyu.Padri yupo sahihi...lakini kwa nini hakutuyasikia haya kipindi cha JPM,ilifika hatua hadi anapewa mic kanisani ahutubie.....huku wakina Pengo wakimtaka Makonda awe raisi wa awamu ya Sita.
Ni kweli Padri Kitima yupo sahihi,"Unafiki wa kisiasa unaondelea miongoni mwa watanzania,utaliangamiza taifa"
Kwamba hakulisemea lile au una wasiwasi yataendelea yale kama katibu hajakemea?Ni Hawa Hawa mapadri au Kuna wengine.
Na yule padri aliyefikishwa mahakamani vipi wakuu mna ABC zake
Waislam huwa wanachanganya dini na siasa🤣🤣🤣Mimi Ni mkristo lkn hii trend ya akiingia rais Muislam then RC na madhehebu mengine ya kikristo kujifanya yanamuwashia Moto sio fair.Enzi za JPM walitulia kimya na ujinga wote ule aliokua anafanya.
Pamoja na yote niliyosema lkn ujumbe wa Kitima Ni Valid.
ETi mboyoyo, 🤣Walimfanya Nini alipowatishia kuondoa exemption Kwny magari ya Taasisi za kidini, alipowahangaisha wakina Bagonza, Niwemugizi?
Na hayo aliyoyafanya Magu leo Samia akiwafanyia RC reaction ya kanisa itakuaje?
Wacha mboyoyo
NJAA KALI CHAWA WAMETOTOLEWA KWA WINGI NCHI HIIKatibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), Padre Charles Kitima ametahadharisha unafiki wa kisiasa unaoendelea miongoni mwa Watanzania kwa sasa kwa kupenda kusifia kila jambo kuwa utaliua taifa.
Amesema tabia hiyo inaendelea kupata mashiko nchini kutokana na upeo mdogo wa watu kushindwa kujua misingi ya haki za binadamu na badala yake wanatanguliza maslahi yao binafsi mbele .
Akizungumza leo Dar es Salaam, Septemba 30, 2022 katika kongamano la viongozi wa dini zote linaloangazia haki za binadamu nchini, kiongozi huyo amesema tabia hiyo iliyojengeka isipokomeshwa ni wazi mahusiano mazuri miongoni mwa Watanzania yanaenda kupotea.
"Unafiki unaharibu nchi, unafiki wa kisiasa uliopo miongoni mwa Watanzania kupenda kusifia viongozi ili tu kujipendekeza wapate vyeo unaenda kuliua Taifa na tatizo hili linaendelea kwa sababu watu hawajui misingi ya haki za binadamu," amesema Padri Kitima
Kiongozi huyo wa kiroho amesema hata kujitoa kwenye mahakama ya haki iliyopo Arusha na kuwahamisha wananchi kutoka Loliondo kwenda Handeni mkoani Tanga ni uvunjivu wa haki za binadamu.
"Kwa sababu nchi imeridhia mikataba mbalimbali ya kimataifa inayohusu haki za binadamu," amesema
Amesema wao kama viongozi wa dini baada ya kuona tabia hiyo hususan miaka mitano iliyopita, mwaka 2020 walianza kuandika kitabu Cha elimu ya haki za binadamu kwa lengo la kuanza kutoka elimu watu wote.
"Haki za binadamu haziombwi, zinapiganiwa, dini ni kiungo muhimu na tumeona tufanye hivi na tunatarajia kuwafikia viongozi 16,000 nchi nzima na kushuka kwa Watanzania wote," amesema
Chanzo: Mwananchi
Acha kuchanganya mada wee dogoNi Hawa Hawa mapadri au Kuna wengine.
Na yule padri aliyefikishwa mahakamani vipi wakuu mna ABC zake
Kama huwa unamskiza Pd Kitima vizuri au kama unakumbukumbu vizuri.huwa anaongea ukweli hata enzi za JPM km kuna Jambo alikuwa anaongea.haogopagi mtuMimi Ni mkristo lkn hii trend ya akiingia rais Muislam then RC na madhehebu mengine ya kikristo kujifanya yanamuwashia Moto sio fair.Enzi za JPM walitulia kimya na ujinga wote ule aliokua anafanya.
Pamoja na yote niliyosema lkn ujumbe wa Kitima Ni Valid.
Tarehe 26 October natimiza miaka 55 si mbaya naweza kuwa mdogo wako sikatai kwakuwa sikufahamuAcha kuchanganya mada wee dogo
Mimi Ni mkristo lkn hii trend ya akiingia rais Muislam then RC na madhehebu mengine ya kikristo kujifanya yanamuwashia Moto sio fair.Enzi za JPM walitulia kimya na ujinga wote ule aliokua anafanya.
Pamoja na yote niliyosema lkn ujumbe wa Kitima Ni Valid.