Padri Kitima: Unafiki na kusifia kila jambo ili kupata vyeo kutaliua Taifa

Kitima hajawahi kutulia sema we ndo ulikua hufuatilii.Alimchana JPM mara kibao.Lkn sio yeye tu hata issue ya corona Kanisa Katoliki lilikua kinyume kabisa na JPM.Fuatilia mambo usipost kwa hisia
 
Kitima hajawahi kutulia sema we ndo ulikua hufuatilii.Alimchana JPM mara kibao.Lkn sio yeye tu hata issue ya corona Kanisa Katoliki lilikua kinyume kabisa na JPM.Fuatilia mambo usipost kwa hisia
Walimfanya Nini alipowatishia kuondoa exemption Kwny magari ya Taasisi za kidini, alipowahangaisha wakina Bagonza, Niwemugizi?

Na hayo aliyoyafanya Magu leo Samia akiwafanyia RC reaction ya kanisa itakuaje?

Wacha mboyoyo
 
Baba Padri uko sahihi kabisa.
 
Mapadre fanyeni kazi ya Mungu.

Maoni yenu kwa sasa yamechafuka.
Kwani hiyo kazi ya Mungu anawafanyia kina nani? Watu wenyewe si ndiyo sisi hawa hawa machawa, unazeeka vibaya[emoji23]
 
inaonekana wewe ni mgeni na huyu jamaa,katika viongozi wa dini waliokuwa na uwezo wa kuyaongea haya ni huyu.
 
Waislam huwa wanachanganya dini na siasa🤣🤣🤣
 
Walimfanya Nini alipowatishia kuondoa exemption Kwny magari ya Taasisi za kidini, alipowahangaisha wakina Bagonza, Niwemugizi?

Na hayo aliyoyafanya Magu leo Samia akiwafanyia RC reaction ya kanisa itakuaje?

Wacha mboyoyo
ETi mboyoyo, 🤣
Ndio nini?
 
NJAA KALI CHAWA WAMETOTOLEWA KWA WINGI NCHI HII
 
Kama huwa unamskiza Pd Kitima vizuri au kama unakumbukumbu vizuri.huwa anaongea ukweli hata enzi za JPM km kuna Jambo alikuwa anaongea.haogopagi mtu
 
Unafiki haupo tu kwa wanasiasa ata viongozi wa dini ndio wamekuwa wanafiki wakubwa.
 
Hoja ya padri Kitima ni sahihi lakini wakati huu hoja yake inakosa nguvu sababu kanisa katoliki, TEC maaskofu na mapadri wamepoteza sifa ya kimaadili kusema haya.

Sasa watu washangaa awamu ya upande huu wanazungumza na kupaza sauti ikifika awamu ya upande ule hawa hawazungumzi tena, wanakua kimya.
Na hii ni unafiki na kujipendekeza kwa viongozi wa dini au tuite nini?
 
Unasahau haraka sana. Yani umesahau wakati wa Magufuli, KKKT waliandika waraka mzito sana wa kuikosoa serikali.

Umemsahau huyu huyu Padri Kitima akiikosoa serikali kuhusu Covid19?

Mbona makanisa yote mawili makubwa(RC na KKKT) yalikemea sana serikali enzi ya JPM, au ulikuwa umelala?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…