TANZIA Padri Monsinyori Deogratias Hukumu Mbiku wa Chuo kikuu Dar Es Salaam Afariki Dunia

TANZIA Padri Monsinyori Deogratias Hukumu Mbiku wa Chuo kikuu Dar Es Salaam Afariki Dunia

Mzaramo wa wapi huyu baba ni mmatumbi na mpaka kwao alikozaliwa kule umatumbini napafahamu.
Nadhani pia ana undugu na marehemu Ngombale Mwiru Pia Kaka yake alikuwa mwalimu pale Mkwawa High School miaka ya late 70 alikuwa na jina la kiislamu padri huyu pia aliratibu ziara Papa John Paulo wa pili alipotembelea Tanzania
 
Nadhani pia ana undugu na marehemu Ngombale Mwiru Pia Kaka yake alikuwa mwalimu pale Mkwawa High School miaka ya late 70 alikuwa na jina la kiislamu padri huyu pia aliratibu ziara Papa John Paulo wa pili alipotembelea Tanzania
Kingunge na padri mbiku ni wamatumbi ila hawana undugu wa damu, wote nazifahamu familia zao.
 
Apumzike kwa amani Fr. Mbiku. Ninakumbuka mafundisho yake mazuri kanisa la chuo..na ukali wake
 
Duuu! Tumeanza tena kurudi kwenye zile Tanzia! Anyway, R.I.P Father!
Inawezekana ndiyo mwanzo wa THE ROAD TO....kwa ajili NUSU MLINGOTI tena kwa siku kadhaa kama siyo 21..

Hata hizi 21 tunazomaliza kesho trh 6/4/2021, ilianza mdogo mdogo hivi mwisho injini kubwa ikawaka na kuungua..
 
Niseme nini juu ya kifo cha Fr. Mbiku. Hakika jina lako si dogo katika Taifa la Mungu.

Itoshe kusema, Mungu wetu ujuaye siku zetu za hapa Duniani, tulipozaliwa uliweka karama zako ndani yetu. Ni neema pia kuzifahamu karama hizi na kuzifanyia kazi kadiri ya mpango wako. Tunakushukuru Mungu, kwa zawadi ya Fr. Mbiku maana kwa kupitia kwake ulilijenga Kanisa lako na kuueneza ujumbe wako kwa wanadamu wote.

Tunaomba sasa umpokee na kumpumzisha mtumishi wako katika ufalme wako. Uyatazame mema yake ili yawe utakaso wa pale alipopungukiwa.
 
Huyu mzee Ijumaa tumemlaumu sana kumbe alikuwa serious sick.Tulikuwa na Appointment naye ofisini akachelewa kufungua kwa vile alikuwa hajisikii vizuri but badaye akaamka akatuhudumia.Leo kafa dah.RIP Fr Dr Mbiku

Ndivyo tulivyo Binadamu wala usishangae mkuu. Ni Mungu atuhurumie
 
Nadhani pia ana undugu na marehemu Ngombale Mwiru Pia Kaka yake alikuwa mwalimu pale Mkwawa High School miaka ya late 70 alikuwa na jina la kiislamu padri huyu pia aliratibu ziara Papa John Paulo wa pili alipotembelea Tanzania
Hapo kwenye kuratibu ziara ya Pope John Paul wa pili ndiyo kati ya sifa za kupewa u-Monsignor baada ya kupendekezwa na Kardinali Lauren Rugambwa.
 
Back
Top Bottom