Pafyumu gani ni nzuri kwa wanawake na wanaume?

Pafyumu gani ni nzuri kwa wanawake na wanaume?

Red Giant

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2012
Posts
15,657
Reaction score
20,967
Wadau,

Naomba tujuzane pafyumu nzuri za wanawake na wanaume ukiweka na bei itakuwa poa sana.
 
Pafyum zipo nyingi ambazo ni nzuri,ila za madesigner kama pacorobane,gucci,kelvin clain,hugo n n.k sema madukani nyingi wanazichakachua.
 
perfume nzuri ni zile ambazo una uwezo wa kuziafford.

na si vinginevyo!

your income will determine you..!!
 
me kuna moja hivi nina wiki naitumia inaitwa OBAMA
 
we acha mikwara hiyo hizo najengea nyumba na zinabaki

Si anataka perfume nzuri, ainunue hiyo. Ni kweli ipo na inapatikana kwa US Dollar 215,000. Kama unabisha google Clive Christian Perfume, Imperial Majesty
 
images
images


550,000/- ukitaka nifahamishe.
 
mkuu naona kama vile mmeenda kugoogle. ingekuwa poa tungekuwa tunataja ambazo nasisi tunazitumia na kuzipenda.

ningeenda google ningekwambia ukitaka niambie???zipo 550,000/- hata kesho ukitaka nakuletea
 
Si anataka perfume nzuri, ainunue hiyo. Ni kweli ipo na inapatikana kwa US Dollar 215,000. Kama unabisha google Clive Christian Perfume, Imperial Majesty
kitu kikiwa gharama haimaanishi ndo kitakuwa kizuri, labda kama ndugu yangu umeitumia ukaiona nzuri!
 
ningeenda google ningekwambia ukitaka niambie???zipo 550,000/- hata kesho ukitaka nakuletea
hiyo pesa ndefu sana si mshahara mzima huo! niambie zilizo nzuri kuanzia 10000-100000 za kike na kiume hizo amouge baadae sana.
 
hiyo pesa ndefu sana si mshahara mzima huo! niambie zilizo nzuri kuanzia 10000-100000 za kike na kiume hizo amouge baadae sana.

mimi najua kuanzia 100,000 hadi 1,000,000 za 10,000 sizijui....ninazopenda ni hizo HUGO BOSS,TOMMY HILFIGER,YSL KOUROS,GUCCI ONE,ISSEY MIYAKE,212 MEN,CK[EUPHORIA,OBSESSION,ONE] hizi ndio ninazozipenda bei 100,000-200,000
 
versus versace ya wanawake really gud,kuanzia 150thou dependn na duka haizidi 220
 
hiyo pesa ndefu sana si mshahara mzima huo! niambie zilizo nzuri kuanzia 10000-100000 za kike na kiume hizo amouge baadae sana.

kuna perfume nzuri, sh 74,000 inaitwa 25th edition for men, ukiitaka naweza kukuletea uka icheck na harufu yake.
 
Issey Miyake - by Issey Miyake
Acgua Di Gio - Essenza - Giorgio Armani
Givenchy na Allure pia ni nzuri.
 
unayoipenda wewe ndo nzuri
tuwekee na bei basi
maana kila mtu ana harufu aipendayo ya pafyumu
kuomba humu ushauri wa pafyumu nzuri si akili ya kawaida mkuu
 
Back
Top Bottom