Pafyumu gani ni nzuri kwa wanawake na wanaume?

Pafyumu gani ni nzuri kwa wanawake na wanaume?

Clive Christian Imperial Majesty 1.
Ni perfume nzuri sana, kwanza chupa yake ni ya white gold.
Thamani yake ni dola 215,000. Ni zaidi ya 340,000,000 za kitanzania. Zipo pc kumi tu ulimwenguni kote. Wahi kabla hazijaisha
mngese sana we jamaa
 
Gonzo for Men. hii ni moja ya perfume Ghali sana duniani ina mil 150 wanauza USD 280,000 sasa convert ziwe tsh ndo utajua maana yake nini. na huwa zinatoka kwa order tu. kwa duniani mpaka sasa ni watu 12 tu walioweza kuzinunua ilitolewa moja wakaitwa watu 20 tu duniani kwa ajili ya kuijaribu siku ya ufunguzi. ni perfume ambayo wanaema mtu akijipulizia anauwezo wa kukwambia chochote ukakubali kumfanyia au ukakubali akufanye. harufu yake inakufanya mpaka upigwe na ganzi halafu ujihisi raha sana. anayejipulizia huwa kuna kidonge inabidi ameze. harufu yake ni nzuri haijapata tokea.
Blaza acha chai zako!
 
Karibuni mniungishe perfume 0786426284 piga simu sema TIBA_PERFUME nauza perfume za aina zote boss zangu, duka langu lipo (EXTERNAL UBUNGO) watu wa dar es salaam nafanya free delivered NA mkoani natuma kwa ghalama za mteja pia unaweza ukatembelea page yangu ya instagrame natumia kama TIBA_PERFUME utakutana na kazi zote zinazotamba mjini....
KARIBUNI..
 
Back
Top Bottom