Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa wazoefu wa hiz perfume za kupma ..naomba maelezo zaid ......mfano zinapakiwa kwnye package gan na faida zikoje n.k....walau kamchanganuo kias
Ndio maana nikawambia dar inapigwa bao siku si nyingiMapinduzi ya viwanda haya Babati kuna kiwanda cha mafuta ya manukato? Basi watengeneze of varieties smell alcoholic and non alcoholic kwa siye wenye majini.
Sasa pipa moja linakuwa na perfume ngapi au Pipa moja ni perfume aina moja,au ukishachukua hilo pipa ukifika kuna kitu unafanya ili upate perfume tofauti tofauti...?Ukitaka kuwa na pesa za chap chap! Basi Anza hii biashara ya kuuza pafyumu za kupima. Mzigo unaagiza kiwandani Babati, Manyara pipa 60,000 TZS+usafiri 50,000/= kutoka Babati-Dar es Salaam, gharama za chupa @5,000 faida wastani wa 1.6m mpaka 2.5m TZS kwa kila pipa. Upewe nini Tena?
View attachment 2247854
View attachment 2247863View attachment 2249528
OkAhsante kwa taarifa...
Cc cocastic fursaUkitaka kuwa na pesa za chap chap! Basi Anza hii biashara ya kuuza pafyumu za kupima. Mzigo unaagiza kiwandani Babati, Manyara pipa 60,000 TZS+usafiri 50,000/= kutoka Babati-Dar es Salaam, gharama za chupa @5,000 faida wastani wa 1.6m mpaka 2.5m TZS kwa kila pipa. Upewe nini Tena?
View attachment 2247854
View attachment 2247863View attachment 2249528
sikulaumu ndio waafrika tulivyo huwa hatuamini vitu vya kwetu hata kidogo. Hapo ungeskia kiwanda kipo babati ila mmiliki ni mhindi au mwarabu kidogo ungekuwa na amani.Perfume kutoka babati [emoji23]Sina zarau ila nahisi harufu inakata kabla ujatoka nyumbani
Na inachafua nguo [emoji23][emoji23][emoji23]
Ukipata nishtueNaweza pata mawasiliano ya hicho kiwanda tafadhari au location kilipo?
Sent from my CPH1989 using JamiiForums mobile app
Weka full contact za kiwandaUkitaka kuwa na pesa za chap chap! Basi Anza hii biashara ya kuuza pafyumu za kupima. Mzigo unaagiza kiwandani Babati, Manyara pipa 60,000 TZS+usafiri 50,000/= kutoka Babati-Dar es Salaam, gharama za chupa @5,000 faida wastani wa 1.6m mpaka 2.5m TZS kwa kila pipa. Upewe nini Tena?
View attachment 2247854
View attachment 2247863View attachment 2249528