NAREI
JF-Expert Member
- Mar 10, 2017
- 1,730
- 1,660
- Thread starter
- #61
Mlikuta vipimo ngapi kwa ngapi?Acha usanii,jamaa yako mnashea namba za simu?mimi nilienda nawewe halafu hoja sio nilienda na nani ila ukweli ni kwamba hakina vipimo ulivyovisema,ata tukiamua wana jf twende site atupati hivyo vipimo,KUNA MADALALI WANAFANYA MAJUKUMU YAO KWA UFASAHA ILA UNATAKA KUWAHARIBIA.NILIAMUA KUTULIA TANGU SIKU ILE ILA NAONA UNAZIDI KULETA UONGO NDO NIKAAMUA NICHOMOE BATTERY.
Na mlitumia kipimo gani