House4Sale Pagala la kisasa, Bei imepungua (pugu)

Acha uongo unamsingizia dogo ili ujinasue usiwe wewe, wakati Machondela anakiri ni wewe ila ulivyomjanja kwa kila detail anayoweka unajaribu kuitwist ili usionekane uongo wako

Wewe kubali makosa tu kwanza ndiyo utaonekana muungwana kuliko unavyopambana ujionyeshe innocent wakati sivyo ulivyo. Hela ngumu mkuu
Dogo nilimpa elfu 2 ya nauli
Ya kwenda, huko pengine aliona haitaweza kumrudisha.
 
Sina haja ya kukataa kwa maana hakuna Kibaya alichofanya, mathahalani angewatolea lugha mbaya au kuwafanyia uhuni pengine ningeruka hata Mimi.
 
27*18 tena na sio 27*17
Kiwanja kina meters 27*18
Nilienda na mteja weekend iliyopita na alipima mwenyewe na Fundi aliyekuja nae.
Kuhusu eneo lote: eneo linaitwa kigogo fresh na kituo ndio kinaitwa dampo.
 

Mkuu unaweza kupitia hapa kama itakufaa na bajeti inaruhusu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…