Pain but true

Pain but true

fisadimpya

Senior Member
Joined
Oct 27, 2011
Posts
191
Reaction score
103
hamna namna

tmp-cam-353765902.jpg
 
Nao tuwapige ban hakuna kutoa rasimali yoyote hapa, iwe madini, product za kilimo, misitu.
 
Nao tuwapige ban hakuna kutoa rasimali yoyote hapa, iwe madini, product za kilimo, misitu.
umeshachelewa kamanda wakigoma kuchukua madini yetu na wakayabatiza jina la jiwe utamuuzia nani hapa Duniani?
Beberu hashindwi kitu sisi ndio tunamuhitaji zaidi kuliko yeye anavyotuhitaji yeye alishachukua vya kutosha katuliza hazina now anajikosha Kwa kutoa tumisaada uchwara
Imagine wakizuia ARVS na mseto si utadedi kesho wewe?
 
Back
Top Bottom