Waterbender
JF-Expert Member
- Oct 2, 2018
- 7,573
- 10,063
chuma bomba sana izoo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaka namba ipo hapo juu karibu sana
Vipi utumiaji wa mafuta, ni wastani wa km ngapi kwa lita 1?Pajero GDI namba B
Year made: 1998
Engine power: cc 1800
Mileage: 198,521
Bima ipo mpaka march 2021
Kadi yake ipo
Ina radio, 4 WL drive
Location Dar es salaam.
Bei 4.5mil. Punguzo kidogo kwa ajili ya mteja serious
Piga simu 0744 033 555
View attachment 1659383View attachment 1659384View attachment 1659385
moshi mnaendeleaje?cc650 ambayo inakula wese kuliko "vieite" la bwana humfredi fastafasta.
Huku Moshi ni mitungi tu na nyama nyingimoshi mnaendeleaje?
Sure...........Ili mnunuzi awahi kuondoka sio kuzubaa machinjioni
Umemjibu kwa hekima sana huyo dogoNi utaratibu wangu mkuu
Nauza pikipiki used, natoa wese lita 5
Simu used, natoa vocha ya buku
Ni aina tu ya kuchangamsha genge
Ongezea ifikie 3.5mil nikupe premio old model.Chukua 1.8m
Inahitaji tu mmiliki mwingineInashida gani?
Vipi naweza nikapata engine mpya ya King lion?Ni utaratibu wangu mkuu
Nauza pikipiki used, natoa wese lita 5
Simu used, natoa vocha ya buku
Ni aina tu ya kuchangamsha genge
Ni utaratibu wangu mkuu
Nauza pikipiki used, natoa wese lita 5
Simu used, natoa vocha ya buku
Ni aina tu ya kuchangamsha genge
Karibu sana mkuu.Mkuu nahitaji pikipiki aina ya boxer
Karibu sana mkuu.
Boxer zipo sana mpaka laki 9 unapata mashine safi tu.
Nitumie sms au piga 0744033555
Kwangu sina hicho kitu mkuuVipi naweza nikapata engine mpya ya King lion?
Pikpki used bei ganKwangu sina hicho kitu mkuu
Kuna boxer namba B ina laki 9Pikpki used bei gan
Ungesindikiza na picha ingependeza sanaKuna boxer namba B ina laki 9
TVS namba C ina 1.7 mil
Kuna Fekon namba B ina 850k
Kuna Yamaha namba A/B kwa 950k
Kuna za kuchaji, laki 7 unapata
Kuna nyingine Cc 50 unapata kwa laki 4.
Zote full document
Hakuna ubabaishaji..
Piga simu 0744033555
Tatizo la Jf wateja serious ni wachache sana.Ungesindikiza na picha ingependeza sana