Paji la uso na siri ya jicho la tatu

Matthew 6-22-23, Jesus says :“The light of the body is the eye: if therefore thine eye be single, thy whole body shall be full of light.

But if thine eye be evil, thy whole body shall be full of darkness. If therefore the light that is in thee be darkness, how great is that darkness!”
 
2 Timotheo 4:2-4
[2]lihubiri neno, uwe tayari, wakati ukufaao na wakati usiokufaa, karipia, kemea, na kuonya kwa uvumilivu wote na mafundisho.
[3]Maana utakuja wakati watakapoyakataa mafundisho yenye uzima; ila kwa kuzifuata nia zao wenyewe watajipatia waalimu makundi makundi, kwa kuwa wana masikio ya utafiti;
[4]nao watajiepusha wasisikie yaliyo kweli, na kuzigeukia hadithi za uongo.
 
Mshana jr ina maana ili nizipate hizo faida za jicho la tatu ambazo n za kiroho ni sharti kuokoka kupata wokovu??? Wa kweli
 
Heshima kwako ndugu, machapisho yako yananipa mwanga kila nisomapo.
 
 
Unanishauri niache kuvuta bangi? Maana nikiivuta huwa najiona wa tofauti na mara zote huwa nafanya mambo ambayo ktk akili ya kawaida nashindwa ama natumia nguvu nyingi sana.
 
Meditation...!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…