Paji la uso na siri ya jicho la tatu

Paji la uso na siri ya jicho la tatu

I liked it jinsi nilivyokuwa na meditate baada ya kula ganja,it was such an awesome moment. nilikuwa naweza kuyapanga na kuyapangua mambo yangu na yakaenda fresh kabisa...badae ikawa Kila nikivuta najuta sanaaa,yani hata kosa la mwaka 2000 nalikumbuka looote af najuta sanaaa, basi nkaiacha. Ila ntairudia after 4 years if God wishes.

Nakufuatilia mkuu @ mshana jr.
Bangi Ukiipatia Matumizi Yake As Brain Drug Unaweza Ukaarchive Mambo Fulani Fulani Bangi Ni Kama Kuota Ndoto Huku Uko Macho Na Ukivuta Kwa Sababu + Itakupa Mambo Chanya Kwa Mfano Wakato Nipo Level Kuna Jamaa Alikuwa Anatuongozea Hadi Alifika List Ya Tanzania One,
Pia Kuna Mwalimu Mmoja Alikua Akifundisha Vizuri Sana Na Wote Tunaelewa Siku Akitumia Drug,

Wengine Tulikua Tukitumia Meditation Kurecall Class La Siku Nzima Na Wengine Walikua Wanatumia Energy Drinks As Redbull Kufikia Kuelewa Zaidi Lakini Wa Meditation Tulikua Vema Zaidi Maana Kulikuwa Na Watu Wanne Wenye Uwezo Mzuri Wa Kutumia Third Eyes Zao Na Watu Walioweza Kutumia Third Eye Ni Rahisi Kwetu Ilikua Ku Win Sometimes Tulihisi Tunacheat But Tukajaona Kwamba We Are On The Right Path.....

Rakims
 
Huyo Huwa Anaingia Lucid Dreams Bila Yeye Kufahamu Sema All In All Drugs Huwa Zina Side Effects....

Rakims
Addiction kwenye bangi ndiyo shughuli. ..utaanza kimchezo lakini mwisho wake lazima ni rehab tu...HATARI SANA. .USIIGUSE KAMA UNAPENDA MAISHA YAKO!
 
Kingo hiki kinachoitwa forbidden knowledge ndio elimu adhimu inayoendesha dunia
Elimu ya ufunuo elimu yenye kupenya upeo wa kawaida wa maono ya kidunia na kibidanamu
Elimu ya kiitelejensia yenye alama ya kuhoji kwenye kila kitu bila kujali udogo au ukubwa wake...elimu isiyo na ithibati za kisayansi lakini yenye kutoa matokeo ya kushangaza
Brother ,unatisha did u study Theology?
 
Ndugu Mshana Jr!!hongera kwa Uzi mzuri!!
Naomba nikuulize!!hili jicho la tatu linaweza kuwatambua watu wabaya kama wachawi nk??
Na jee ni mbinu gani inayoweza kutumika ili niweze kuwaona au kuwatambua walozi/walogi wangu!!?
 
Ndugu Mshana Jr!!hongera kwa Uzi mzuri!!
Naomba nikuulize!!hili jicho la tatu linaweza kuwatambua watu wabaya kama wachawi nk??
Na jee ni mbinu gani inayoweza kutumika ili niweze kuwaona au kuwatambua walozi/walogi wangu!!?
Jicho la tatu ni jicho la utambuzi
Kuona wachawi ni mambo ya kiganga na ukipata dawa ya kuwaona wachawi hutawaona wao tuu bali kila kitu kwenye ulimwengu wa giza hivyo unaweza kujikuta unawehuka ama kuweweseka kila wakati
 
nice and impressing thread,congratulation brother,yaani myself nimeyaona hayo kwenye hilo jicho la tatu i have a wife,ukweli it is very dangerous akikwambia dont go this way huna budi kumtii,watu walistaajabu sana alinifukuzia mpaka mbezi kwasababu yakunishusha kwenye gari niliyokua nimepanda na kweli baadae simba ikapata ajali daraja la wami
 
mr mshana few years ago nikupe historia kidogo nikiwa primary nilikua nikinuia kujua kitu flani basi hata kama sio kwa asilimia zote japo 60%-80% lazima nitafunuliwa tu,ila kama najifunza kitu flani hapa kwanza kuna aina flani ya vyakula nilikua sili na pia nilikua siwezi kuchanganyika na watu hata kwa dk 10,ckufichi mr nilikua na uwezo wa ajabu sana.
 
nakumbuka siku mbili au tatu kabla yakuingia kwenye pepa ya darasa la saba nilipitiwa na usingizi mchana muda wa masaa matatu,nilivyokuja kustuka mtihani wote nilikua nao kichwani,sikudharau kwasababu nilishaota hapo awali nikadharau alafu kwenye pepa nikakuta kama nilivyoota,huwezi amini nilichana pepa nikapangwa GALANOS SECONDARY SCHOOL,yani kule ndio kuna siku nilitoa mpya nililala usingizi kuanzia saa kumi za jion mpaka kesho yake asubuhi kiongozi wa bweni aliripot kesi mpaka basi sijawahi kuhudhuria prepo nikamaliza nusu saa lakini chakustaajabu sasa pepa ikija sio chini ya 95%,kwa wanaomkumbuka mwalimu flani hivi kwasasa yupo wizarani sikosei,huyo jamaa akikwambia hupati B usimbishie maana wengi walishaumbuka sana,ila nilivunja historia yake kwakupata A ya 96 hakuamin na alinipa elfu kumi,huyo mwalimu anaitwa mbunda ni shida sana.
 
Back
Top Bottom