Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bangi Ukiipatia Matumizi Yake As Brain Drug Unaweza Ukaarchive Mambo Fulani Fulani Bangi Ni Kama Kuota Ndoto Huku Uko Macho Na Ukivuta Kwa Sababu + Itakupa Mambo Chanya Kwa Mfano Wakato Nipo Level Kuna Jamaa Alikuwa Anatuongozea Hadi Alifika List Ya Tanzania One,I liked it jinsi nilivyokuwa na meditate baada ya kula ganja,it was such an awesome moment. nilikuwa naweza kuyapanga na kuyapangua mambo yangu na yakaenda fresh kabisa...badae ikawa Kila nikivuta najuta sanaaa,yani hata kosa la mwaka 2000 nalikumbuka looote af najuta sanaaa, basi nkaiacha. Ila ntairudia after 4 years if God wishes.
Nakufuatilia mkuu @ mshana jr.
Huyo Huwa Anaingia Lucid Dreams Bila Yeye Kufahamu Sema All In All Drugs Huwa Zina Side Effects....Kuna jamaa kitaani akivuta bangi anasema anawasiliana na akina Obama , bush , putin n.k hiyo inakuwa kweli?
Addiction kwenye bangi ndiyo shughuli. ..utaanza kimchezo lakini mwisho wake lazima ni rehab tu...HATARI SANA. .USIIGUSE KAMA UNAPENDA MAISHA YAKO!Huyo Huwa Anaingia Lucid Dreams Bila Yeye Kufahamu Sema All In All Drugs Huwa Zina Side Effects....
Rakims
Brother ,unatisha did u study Theology?Kingo hiki kinachoitwa forbidden knowledge ndio elimu adhimu inayoendesha dunia
Elimu ya ufunuo elimu yenye kupenya upeo wa kawaida wa maono ya kidunia na kibidanamu
Elimu ya kiitelejensia yenye alama ya kuhoji kwenye kila kitu bila kujali udogo au ukubwa wake...elimu isiyo na ithibati za kisayansi lakini yenye kutoa matokeo ya kushangaza
Bongo vyuo vyake hamna hiyo is it?Ya atheism kaka I did it to some extent
Jicho la tatu ni jicho la utambuziNdugu Mshana Jr!!hongera kwa Uzi mzuri!!
Naomba nikuulize!!hili jicho la tatu linaweza kuwatambua watu wabaya kama wachawi nk??
Na jee ni mbinu gani inayoweza kutumika ili niweze kuwaona au kuwatambua walozi/walogi wangu!!?
nilikua na huu uwezo but now days nimepoteza kila kitu,nilikua napaa usiku kama mchezo kaka ndiomana nakwambia hii kwangu sio story it is real fact
Huwa ni ngumu kuelezea kwa lugha ya kawaida watu wakaelewaUnapaa usiku??? How? Unapaaje yani