Super women 2
JF-Expert Member
- Nov 16, 2016
- 5,164
- 6,540
kwani mshana jr kwa kumwagiwa Maji tu hivyo inaumiza vipi??Imetumiwa saana na wamarekani guantanamo prison View attachment 359678
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwani mshana jr kwa kumwagiwa Maji tu hivyo inaumiza vipi??Imetumiwa saana na wamarekani guantanamo prison View attachment 359678
asante. kumbeInaleta hisia mbaya za kuzamishwa majini na kubanwa hewa
Unaweza ukairudia,kuna wengn hatujabahatika kuisomaNiliwahi kuweka mada ya micro chips implants lakini kuna baadhi hawakuelewa kabisa..ni kweli kabisa mason wana mpango kabambe wa kuua mlango wa fahamu ya sita ili ile ni rahisi kutawala dunia![]()
![]()
![]()
Daah... Hii series tulikua tunaangaliaga wakati tupo majanki enzi za miaka ya 90, kuna jirani zetu flani walikua na mikanda yake walirekodi ughaibuni. Itabidi niitafute now probably it'll make more sense. I remember it was all about time travellingAisee uko kwenye mkondo ule ule na unamiliki nguvu ambazo wengine huzipata kwa gharama kubwa ama kwa njia za kishirikina
Ni supernatural powers, power to create power to see through time, manabii na watabiri wengi huhitaji sana hiki kipawa.. Unahitaji meditation kidogo tu ku trigger hiki kipawa
Hebu naomba utafute hiki kitabuView attachment 497207View attachment 497208
Ngoja nipitieMkuu Hilo andiko liko ktk kitabu cha Methali 25:2
Nisaidie na mimi hivyo vitabukama utahitaji vitabu zaidi nina softcopy kibao you can pm your e mail. ntashare nawe.
Unaenda vizuri mbona endelea usiache mengi yatakutokea lakini usiachemshana jr, msaada kwenye tuta tafadhali! nimejaribu kwa mara nyingi kufanya meditation lakini bila mafanikio. nimesoma articles nyingi jinsi ya kufanya meditation na nyuzi nyingi humu JF na nimekuwa niki-practice bila mafanikio. wakati mwingine huwa nahisi kama na float( kama naelea hivi) na hali hiyo hutokea napokuwa nime-practice kwa muda mrefu. jitihada zote zimegonga mwamba. sana sana naweza kuhisi kama misuli ya macho inafumba kwa nguvu na mawimbi mengi maskioni but i cant see or feel anything. je nakosea wapi? https://www.jamiiforums.com/members/mshana-jr.98741/
![]()
Hutaamini utakachogundua hapa kuhusu paji lako la uso...hapa ndio asili ya neno kipaji ilipatikana..hapa napo ni lango hapa ndio penye njia ya kuingilia mlango wa sita baada ya ile mitano. Hili ni jicho la ndani jicho lisioonekana.lango kuu la kiroho.
Tutaenda kwa mitazamo yote ya kidini na kiimani, kisayansi, kihisia na hata kwenye nguvu za giza.
1. Third Eye - Thalamus - Eye of Horus![]()
Hapa ni kwa mtazamo wa kisayansi nafikiri ni kwenye somo la anatomy kuhusu ubongo, jicho la tatu linaonekana katikati ya ubongo (zingatia katikati) vertebrate brain hapo ndio zinapozalishwa homoni za kulaza au kuamsha hisia maono usingizi nk.
2. Mathematics![]()
Katika ulimwengu wa mahesabu na hesabu, wanamahesabu kwenye ishu za ratio cos na tan watatusaidia hapa.
3. Tahjud (Meditation)
![]()
Kwenye tahajudi wale waliosoma chakra na habari za milango nane, ukiangalia vizuri huo mchoro chakra ya sita ndio ya kuingilia mlango wa sita wa fahamu.
4. Baptism & Sijda![]()
![]()
Kiimani katika ukristo, kwenye ubatizo alama ya msalaba kwenye paji la uso ndio hukamilisha tendo na kuwa Mkristo kamili sasa.. Lakini pia ukisoma kitabu cha ufunuo na habari za kutiwa Muhuri katika paji la uso utafahamu zaidi..
Kwenye Uislam tunajua nini maana na umuhimu wa swala tano na kuthibitisha uchaji wako katika swala tano ni sigida kwenye paji la uso.
5. A kiss on the Forehead
![]()
Kwenye mahusiano busu kwenye paji la uso ni tofauti kabisa na mabusu ya sehemu nyingine yoyote.
6. FREEMASONRY
![]()
Kwenye imani za mpinga Kristo freemason satanism nk alama yao kubwa ni jicho la tatu
7. SEVERE PUNISHMENTS (WATERBOARD)![]()
Kwenye adhabu na mateso mbalimbali paji la uso hutumika kuleta adha ya ajabu mwilini... Mateso ya water board ni mfano mmojawapo. Unalazwa chini unafunikwa kitambaa usoni kisha unamwagiwa maji.. Ni aina ya adhabu isiyoumiza mwili bali inayoumiza hisia.
8. Michezoni:
Kwenye mchezo wa ngumi alama za juu ni zile ambazo zinaangukia kwenye paji la uso.
Nimejaribu kwenda na picha kuokoa ufafanuzi wa maneno mengi... Tunaishi kwenye ulimwengu wa ajabu mno.. Tunashiriki kitu hicho hicho lakini kwa maana matumizi na mitizamo tofauti. Tunafundishwa kutolala chali kuepuka ndoto za mauzauza na majinamizi kumbe siri ni jicho la tatu jicho la maono.
Manabii na watenda miujiza hupenda kuwapuliza ama kuwashika watu penye paji la uso na kifuatacho hapo ni mzinga kama si kupiga kelele... Baadhi ya tiba mbadala hutumia paji la uso kama lango la uponyaji.
Wahindi na wahindu kwenye imani zao hujipaka rangi katikati ya macho kama sehemu ya ibada nk.
Jaribu kutafakari kwa hatua hiki kinachoitwa jicho la tatu, paji la uso, imani yako na maisha yako ya kila siku... Mwishowe tunaweza kujikuta tunaabudu paji la uso kwa muktadha tusiojua.
asante mkuu, nitaendelea ku-practice mara nyingi na sitosita kukupa mrejesho. ubarikiwe tena na tenaUnaenda vizuri mbona endelea usiache mengi yatakutokea lakini usiache
Tena uzi wa kataniBonge La Uzi!!!