Paji la uso na siri ya jicho la tatu

Habari mkuu mshana !

Kuna sehemu kule Kigoma kuna mganga anaweza kukukutanisha na na vile vibwengo vifupi sana urefu wa dumu la lita tano mnaenda nae hadi polini pembeni ya tanganyika na zawadi pale anakiita na kinaweza kuongea nawe lugha yoyote ikiwemo kichaga safi,mganga anadai yeye hajui kuna lugha na code flani za siri ukizijua kuwasiliana nacho kinaweza kukulete mazuri lukuki yeye anajua kukiita anakikamata anakuacha muongee wawili ,nasikia zamani enzi za babu yake wajerumani walikuwa hawaishi kumfata awakutanishe nao ,aidha ukitaka ukinunue na kuondoka nacho uje na utaalamu wa kukifungia kwenye cage yeye haujui anachofanya yeye anakikamata na kukituliza hasira kwa kukipa zawadi za kiha pombe nyanya chungu chumvi etc
Alieniambia ni kijana huwa tunamtuma kwa waganga anaenda kuleta dawa za kuchimbia madini na ni muaminifu sana ,je hii imekaaje mkuu .
 
hivi bro mshana inakuaje wakati nipo o level nilipenda sana kusoma advance umbwe boys na nilikua sijui hata umbwe ikoje, hata uniform nilikua sijui zinafananaje,, bt nakumbuka nikiwa o level nshawah kuota ndoto nipo kwenye kijiwe flani na nimevaa uniform za kaki nikipiga story na wanafunzi wenzangu sikupajua ni wap,, ila nilipochaguliwa advance umbwe na tukio lile lilijirudia kihalisia kabisa tulikua tumevaa uniform za kaki tumekaa kijiwen na mazingira yale yale yarijirudia..hii imekaaje kaka?
 
Kuna kitu kinaitwa psychic power yaani nguvu za asilia za kuzaliwa hizi hupungua kadiri unavyokuwa kutokana na
-kutenda dhambi
-kutembea umevaa viatu
-kula nyama etc
wewe ya kwako inaaitwa ''Clairvoyance'' yaani unauwezo wa kuona yajayo na yaliyopita ,sisi wachawi tukikupata wewe tunakufanya msukule tunakuweka mbali na nyama ,dhambi,pombe etc kisha tunakutoboa macho ukiacha kuona kwa macho mawili la tatu linafunguka hapo tunapiga hela mingi na kutatua mambo mengi .ukifa baada ya miaka 20 mwili wako yeyote ataeula atapata uwezo huo kwa muda wa miaka miwili
 
sasa ndugu mbona tunatishana ?
 
nikitaka hii Elimu natakiwa niwe na sifa gani??
 

Kuna watu unawatega hapa kwenye hii post na nimeshawajua ni akina nani. Pole yako kijana
 
Duh nazichukia sana ndoto km hizi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…