Paji la uso na siri ya jicho la tatu

Paji la uso na siri ya jicho la tatu

Paji la uso halina kabisa uhusiano na jicho la tatu. Mleta mada huwa anaona hizo mada kwenye mtandao, na inaonesha lugha ya Kingereza inampiga chenga, basi yeye huleta hizi mada kwa kubabia-babia, bora liende, na ameshaona kuwa wengi wa wanaomfatilia ni wale wale "wajinga ndiyo waliwao.

Nnakushauri soma kuhusu third eye, soma kuhusu sixth sense, soma kuhusu ESP (extra sensory perception). Utaelewa kwa undani jicho la tatu ni nini. Si huo upuuzi wa paji la uso alioleta huyo anaejiita Mshana Jr.

Tumia Google. Yote yapo hayo.
Mimi naomba nikuulize kitu kimoja Faiza hili jicho la tatu sijui meditation na mavitu mengine hayapingani na uwepo wa Mungu au na kwenye vitabu vya dini vinasemaje ningeomba ufafanuz kdg kama unauwelewa na hili..
 
Huko hakunifai kabisa[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Huku ni hatari kaka haswa mwezi wa 12 mwezi 1 mwezi 2 na mwezi 3 usirogwe kuja huku kumbe ndio maan aWazungu huw awanakimbia na kujifanya wanakuja kutalii katika nchi za joto! nimekwisha amka. Kumbe wanakimbia baridi ukiona mwezi 12 na mwezi wa 1 na mwezi 2 na mwezi 3 watalii wapo wengi huko ujuwe wamekimbia baridi.

usiku.jpg
kar-istanbul.jpg
barafu.jpg
treni za juu.jpeg
snow-istanbul.jpg
hatari.jpg
 
Huku ni hatari kaka haswa mwezi wa 12 mwezi 1 mwezi 2 na mwezi 3 usirogwe kuja huku kumbe ndio maan aWazungu huw awanakimbia na kujifanya wanakuja kutalii katika nchi za joto! nimekwisha amka. Kumbe wanakimbia baridi ukiona mwezi 12 na mwezi wa 1 na mwezi 2 na mwezi 3 watalii wapo wengi huko ujuwe wamekimbia baridi.

View attachment 459519 View attachment 459520 View attachment 459521 View attachment 459522 View attachment 459523 View attachment 459524
Huko hata unipe wake watano na masuria 15 sikai
 
hahahahah usiogope ndio miasha ya ughaibuni wakati wa baridi baridi kali na wakati wa joto,joto linakuwa ni kali sana tumesha zoea hakuna shida leo kijuwa kimetoka na barafu chini inayeyuka nimekwenda kuswali ijumaa ndio nimerudi.
Kiukweli mimi na baridi na baridi ni sawa na mbingu na nchi
 
Mimi naomba nikuulize kitu kimoja Faiza hili jicho la tatu sijui meditation na mavitu mengine hayapingani na uwepo wa Mungu au na kwenye vitabu vya dini vinasemaje ningeomba ufafanuz kdg kama unauwelewa na hili..
Sidhani kama ataweza kukujibu to your satisfaction
 
Sidhani kama ataweza kukujibu to your satisfaction
Mshanajr, kwanza naomba usinichoke na maswali yangu.
Mimi nina tabia nikimsemea mtu kitu kinakua hata kama ni kwa utani tu, ama nikiwa namuuliza swali mtu tayari napata jibu akavyonijibu na kweli akijibu inakua kama lilivyonijia kichwani. Hii ni nini???!
Matokeo yake kuna mmoja kaniomba nimuangalizie maisha yake ya mahusiano kitendo ambacho mi sina uwezo nacho wala sijui wala sina uwezo huo (japo yeye anakataa anaona nambania dizain, [emoji1] [emoji28] ningekua tapeli hapa ningemlia hela).

Swali langu nina kitu gani kinachopelekea mi kujua hivyo vitu hapo juu, au nikuhisi kitu kimya kimya tu kinakua kweli.
 
Mshanajr, kwanza naomba usinichoke na maswali yangu.
Mimi nina tabia nikimsemea mtu kitu kinakua hata kama ni kwa utani tu, ama nikiwa namuuliza swali mtu tayari napata jibu akavyonijibu na kweli akijibu inakua kama lilivyonijia kichwani. Hii ni nini???!
Matokeo yake kuna mmoja kaniomba nimuangalizie maisha yake ya mahusiano kitendo ambacho mi sina uwezo nacho wala sijui wala sina uwezo huo (japo yeye anakataa anaona nambania dizain, [emoji1] [emoji28] ningekua tapeli hapa ningemlia hela).

Swali langu nina kitu gani kinachopelekea mi kujua hivyo vitu hapo juu, au nikuhisi kitu kimya kimya tu kinakua kweli.
tetee usijali kabisa lakini wewe ni mtu mwenye kipawa cha super natural powers ambazo wengi huzipata kwa kuhustle hasa na sometimes kutumia hata nguvu za giza
 
Kinacholala/lazwa chali ni maiti tu...tofauti na hapo jicho la tatu kupitia roho inatoa nguvu ya uvutano yenye ukinzani na nguvu nyingine ambazo ni hasi

Mshana hili tatizo ninalo la nikilala chali huwa Nina experience vitu vya ajabu mpaka natumia nguvu snaa kupapatua sasa kwanza NI nini hasa kinafanya uwe kwenye hali hiyo na hiyo nguvu inapingana vipi na nguvu hasi then nini tiba yake ,and what make sense ukisema kinacholazwa chali NI Maiti tu ,je maiti inahusiano gani na jicho la tatu na kulazwa chali.
Ahsanti man .
 
Back
Top Bottom