Paka kunifatafata ni jambo la kawaida?

Paka wana dizain moja ya kumjua mtu mwema. Wanasema ukiona paka anamuogopa mtu ujue huyo mtu ni hatari,anaweza akawa mchawi au vyovyote. Kwa hiyo paka kukufuata sio kesi ni hali ya hali yako ya wema tu
Shukrani kwa kunifumbua macho, kwa hakika nakubaliana na wewe.
 
Aisee
 
Wewe upo kama mimi kabisa hata nikienda Bar ambayo ina paka tunaweza kuwa wengi ila bado akaja upande wangu na Lazima tu nimpe msosi, home kuna paka huyo ananipenda sana hata niwe nje ya home kwa miezi nikirudi hanisahau na lazima aje alale chumba ninacholala
 
Dream Queen bado Paka wanakupenda?[emoji1][emoji1][emoji1]
Juzii tu hapa nilienda kutembea kwa watu nashangaa Paka ananifata hadi miguuni wenyeji wanasema hao Paka hawana makazi walizaliwa wanazagaa zagaa na hawajawahi kusogelea nyumba yao zaidi ya kukatiza tena kwa mbio ndefu,
Basi nilivyopewa historia hiyo nikamnyanyua hakubisha, nikamuweka mapajani kumuangalia vizuri jamani kana mimbaaaa, yaan kaPaka kadogo wamekajaza Mimba kumbe mifedhuli sio binaadam tu hadi wanyama! [emoji2][emoji2][emoji2]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Imebidi nicheke kama chiz..
 
Yaan kwanilivyo mpenda paka nisingewaza hata, maana paka humfuata mtu mwenye upendo na karoho flan kazuri, mm nilikuwa nafuga paka nyumban tena wawili wakizaa hapo ni balaa tupu na walikuwa na lishe safi niliwagawa huko mtaa wa tatu lakn walirudi
 
Tena wamemuheshimu kweli yani paka panya kwao ni kama chair fire kuleta kitu kipo mang'alu untouched ni jambo linalohitaji uvumilivu kweli

Mm nnachowapendea paka hawapangiwi maisha ...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…