Paka mkubwa kuliko wote duniani

Paka mkubwa kuliko wote duniani

Halafu vyuo vyetu wameshindwa hata kupambana na mbu tu



Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Wengiwalishtuka kusikia jina la paka likitumika hapo,lakini kutumia jina la paka ni kawaida mnoo,maana haya simba hujulikana kama paka mkubwa zaidi katika Afrika.
 
Msidharau fikiri simba au chui katika hizo cross breeding zao bahati mbaya akawa na akili maarifa ya binadamu ai watatufuga wale?maana wapo superior kila idara ila tumewazidi akili na maarifa tu
Jamaa analeta zile za kwenye
Dawn of planet of apes
Jurasic park
Godzilla
Host
Anaishi maisha ya kwenye movie [emoji849][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Anapigwa Short range ballistic missile Nuclear war head bullet [emoji23][emoji23][emoji23] jokin

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom