Kilanga komo
JF-Expert Member
- Aug 27, 2022
- 337
- 290
- Thread starter
-
- #21
Unauza au unanunua???
Paka sio kweli Mwl, anamambo ya kifala sana anajikutaga yeye ndo malkia, sasa ntakua na malkia wangapi? Hata ungekua wewe utakubali? Kibaya zaidi huyu atamdharau mbwa wangu atamuona Mbwa mbwa tuu...Naomba nikununilie paka Certified Hater ππππππ
Hizo tag zisikutishe mkuu mi nilikua Mwl wa Mafunzo ya Mbwa wake... Depal Acha kuwapa watu wasiwasi Mwl, sema nyota ikiniwakia naruka tu Shwaaa kwani mi sipendi vitu vizuri..Nitakuja unipe utambulisho vizuri sio kwa tag hizoπ
πππ hizo tag mbona hazina lolote speshoNitakuja unipe utambulisho vizuri sio kwa tag hizoπ
Point ipo kwenye ShwaaπππHizo tag zisikutishe mkuu mi nilikua Mwl wa Mafunzo ya Mbwa wake... Depal Acha kuwapa watu wasiwasi Mwl, sema nyota ikiniwakia naruka tu Shwaaa kwani mi sipendi vitu vizuri..
We tuliaπ€£πππ hizo tag mbona hazina lolote spesho
Haha na malkia ni mmoja tu ndani⦠aloo basi wacha, offer imekupita mkuuPaka sio kweli Mwl, anamambo ya kifala sana anajikutaga yeye ndo malkia, sasa ntakua na malkia wangapi? Hata ungekua wewe utakubali? Kibaya zaidi huyu atamdharau mbwa wangu atamuona Mbwa mbwa tuu...
Unauza au unanunua mkuu
Nimetulia π€£π€£Point ipo kwenye Shwaaπππ
Nakuunga mkono, hata debe nitakusaidia kulipigaπ
We tuliaπ€£
Hujawahi niangusha.Nimetulia π€£π€£
Sasa kama wakuu wanaamua nisikae kizembe si namimi nachangamka au.. mbele mbele yaooNyota gani ikiwakie na jua hamna? ππ embuuu tulia mwalimu
πππ Jamani jamaniiiHujawahi niangusha.
Hata ukipoteza pambano...vita iko pale paleπ
ππππβ¦! Sijasoma ulichoandikaSasa kama wakuu wanaamua nisikae kizembe si namimi nachangamka au.. mbele mbele yaoo
Safi mkuu Kumbe watu wema bado wapo aiseee..Ngoja Safari Moja inianzishie nyingine tajiri Depal itabidi session ya mafunzo iendeleePoint ipo kwenye Shwaaπππ
Nakuunga mkono, hata debe nitakusaidia kulipigaπ
Brand imekuwa kubwa soon tutaona maifluensa wa insta kina doto magari wakitangaza biasharaSahivi nyau wako wamepanda bei, nmemkumbuka yule wa elf 3.... Nlicheka sana
Wewe ni ndg yangu unajua nakutakia mema...hata wakinuna najali basi?πππ Jamani jamaniii
Nakuona una bashasha la ubarikio wa siki ya bwana.