Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Najua unavyoua pande zile...ile tikitiki😂😁😁 sipindui mkuu..
Hahaha hajali mtu… hapa ni mapendo daimaWewe ni ndg yangu unajua nakutakia mema...hata wakinuna najali basi?
Hahahaaa Wapiiii bhanaaaNajua unavyoua pande zile...ile tikitiki😂
Mara ya mwisho kununuliwa kalamu ya mkaa ni lini?Hahahaaa Wapiiii bhanaaa
Imeandikwa..( upendo wa ndugu na udumu)Hahaha hajali mtu… hapa ni mapendo daima
kuna mtu humu alinunua katoto ka fisi ety alijuakapapy😂, any way nyau 19K😂Nyau anauzwa (Felis catus) elfu kumi na tisa 19,000/= (negotiable)
Location: Kigamboni(Kichangani)
Piga: 0759448927
Kama unahitaji rangi tofauti nicheki WhatsApp: 0620523897
HahahaMara ya mwisho kununuliwa kalamu ya mkaa ni lini?
Elewa neno mkaa😂
Amen amen.. pendo lisiwe na unafki 👏Imeandikwa..( upendo wa ndugu na udumu)
Soma na hapa👇👇👇👇👇👇
Katika pendo hamna hofu; lakini pendo lililo kamili huitupa nje hofu, kwa maana hofu ina adhabu; na mwenye hofu hakukamilishwa katika pendo.
1 Yohana 4:18
Kuna kalamu ya wino na mkaa...elewa neno kalamuHahaha
Hii imenipita, nimetoka bila bila
Anayehitaji Anapewa Bure Tu Hasa Waliopo Kingolwira, Cate Hotel HapoUnauza au unanunua mkuu
Anayehitaji Anapewa Bure Tu Hasa Waliopo Kingolwira, Cate Hotel Hapo
ipo sehemu gani nijeAnayehitaji Anapewa Bure Tu Hasa Waliopo Kingolwira, Cate Hotel Hapo
Kingolwira Ipo Mkoa Wa Morogoro Jirani Na Hotel MAarufu Cateipo sehemu gani nije
Huko Mbali Sana Mimi nipo daslamu😃Kingolwira Ipo Mkoa Wa Morogoro Jirani Na Hotel MAarufu Cate
Nina Safari Nyingi Sana Kuja Dar Es SalaamHuko Mbali Sana Mimi nipo daslamu😃
Dr Matola PhD kwenye kugawa nyau wa bure naye yumo 🤣🤣🤣🤣🤣Hongera mkuu kwa kabiashara ka pekee ila Dr Matola PhD alikuambia ukitaka na wengine atakupa bure huko kwao nyau ni wengi ukiwa unakula zako ugali nyau anakutolea macho na kumeza mate
ChotaraNina Safari Nyingi Sana Kuja Dar Es Salaam
Nitakuletea Bure Tu
Ama nnMkihitaji panya nipo.
Maana paka bila panya ni sawa na kazi bure.