Pakajimmy amekorofishana na mpenzi wake

Pakajimmy amekorofishana na mpenzi wake

My goosh hilo kumbatio lilikua mwake mwake eee au ni mgeni wa kumbatio mwenzetu!!! Cc: Mwanyasi
Kuna taarifa gani hapa?
Kumbatioa la Chumbageni?
Em kujeni tena Ta, tuwapeleke Chumvini? (yalikoanzia mapenzi - Ta)
Kujeni kwa pango "tukaombe na kuahidi sadaka" "tukakalie sofa" "tukapande ndege" "tukaingie kaburini" "tukaangalie michoro" (ya ajabu pangoni). Tuka dance na dereva wa Mkuu....... and actually tukaogelee Arushaone style, tukaoge maji ya ukili - Filipo atawaonesha kwa vitendo. Arabela tukakanyage mchanga wa moto pekupeku.
njoo KakaJimmy, watu8, Madame B Smile, Lily Flower, Filipo = marejesho Preta njoo @blakiwomani (logistics na uratibu) .................. werawera.
PJ stresss tupa kuleee
 
Last edited by a moderator:
Ninavyomfahamu PakaJimmy. ......ni mtu wa visasi sana.......na endapo atabaini kwamba siri hii si siri tena........nadhani kasheshe ya Miss Tanzania itafutika na kufunikwa na hii kadhia........

Hahaaa atazipata sangapi na ndohivo kasharud sitimbi no netwerk...chezeiya ajali ya malovee weyee
 
Last edited by a moderator:
Kumbatio la Ukweeee. ..

Japokuwa nilikuwa sambamba na hubby wangu Filipo lile Kumbatio aisee nililitamani..
Haki ya nani vile nilienda ku paste usiku. ...

Ayayayaaa asipaone mumeo hapa
 
Last edited by a moderator:
Kuna taarifa gani hapa?
Kumbatioa la Chumbageni?
Em kujeni tena Ta, tuwapeleke Chumvini? (yalikoanzia mapenzi - Ta)
Kujeni kwa pango "tukaombe na kuahidi sadaka" "tukakalie sofa" "tukapande ndege" "tukaingie kaburini" "tukaangalie michoro" (ya ajabu pangoni). Tuka dance na dereva wa Mkuu....... and actually tukaogelee Arushaone style, tukaoge maji ya ukili - Filipo atawaonesha kwa vitendo. Arabela tukakanyage mchanga wa moto pekupeku.
njoo KakaJimmy, watu8, Madame B Smile, Lily Flower, Filipo = marejesho Preta njoo @blakiwomani (logistics na uratibu) .................. werawera.
PJ stresss tupa kuleee

Aise nimepatamani gafula...lakini huko kaburuni siingii ntabaki nje kuweka ulinzi. You know what am seyiiing!!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom