Pakajimmy amekorofishana na mpenzi wake

Pakajimmy amekorofishana na mpenzi wake

Kuna taarifa gani hapa?
Kumbatioa la Chumbageni?
Em kujeni tena Ta, tuwapeleke Chumvini? (yalikoanzia mapenzi - Ta)
Kujeni kwa pango "tukaombe na kuahidi sadaka" "tukakalie sofa" "tukapande ndege" "tukaingie kaburini" "tukaangalie michoro" (ya ajabu pangoni). Tuka dance na dereva wa Mkuu....... and actually tukaogelee Arushaone style, tukaoge maji ya ukili - Filipo atawaonesha kwa vitendo. Arabela tukakanyage mchanga wa moto pekupeku.
njoo KakaJimmy, watu8, Madame B Smile, Lily Flower, Filipo = marejesho Preta njoo @blakiwomani (logistics na uratibu) .................. werawera.
PJ stresss tupa kuleee

mmmmh..,..
 
Last edited by a moderator:
Mke mwee King'asti nimekuona ukikatiza mahali :cool2::wacko:

Nna kesi kubwa sana na wewe😡..... hii nadhani itasuluhishwa na ukoo mzima:angry:

Afu nikumbushe mara ya mwisho kabla sijajilima ban jf mme wangu alikuwa ni nani vile??? lol
 
Last edited by a moderator:
Ahahaha lol. Umezidi kuchanganya mazao jamani khaaa. Utazaa makande! Ila seriously hebu kesho ntakusaka tucatch up mamii. Haiwezekana kkawa hivi aosee
Mke mwee King'asti nimekuona ukikatiza mahali :cool2::wacko:

Nna kesi kubwa sana na wewe😡..... hii nadhani itasuluhishwa na ukoo mzima:angry:

Afu nikumbushe mara ya mwisho kabla sijajilima ban jf mme wangu alikuwa ni nani vile??? lol
 
Last edited by a moderator:
ImageUploadedByJamiiForums1414775509.935026.jpgamepataje ajali na alikuwa amefunga mkanda?@valentina sema una lako jambo!
 
Mimi nimekutana naye rombo huyu jamaa...
 
Jamani we mkaka upo??????.... Nimekumiss hadi mikono inatetemeka lol

Habari ya kupotezana TANMO?

Wooooow pacha langu hilo daaah..... Miss you more my pacha yaan mpaka naumwa :angry:

Nipo Pacha wangu nazidi tu kukondeana kwa kukumis.
Angalau leo nahisi kama nimeongezeka Kilo nilipouona mwandiko wako my Sweet Pacha :lalala::angel::busu
 
Back
Top Bottom