Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna taarifa gani hapa?
Kumbatioa la Chumbageni?
Em kujeni tena Ta, tuwapeleke Chumvini? (yalikoanzia mapenzi - Ta)
Kujeni kwa pango "tukaombe na kuahidi sadaka" "tukakalie sofa" "tukapande ndege" "tukaingie kaburini" "tukaangalie michoro" (ya ajabu pangoni). Tuka dance na dereva wa Mkuu....... and actually tukaogelee Arushaone style, tukaoge maji ya ukili - Filipo atawaonesha kwa vitendo. Arabela tukakanyage mchanga wa moto pekupeku.
njoo KakaJimmy, watu8, Madame B Smile, Lily Flower, Filipo = marejesho Preta njoo @blakiwomani (logistics na uratibu) .................. werawera.
PJ stresss tupa kuleee
Mke mwee King'asti nimekuona ukikatiza mahali :cool2::wacko:
Nna kesi kubwa sana na wewe😡..... hii nadhani itasuluhishwa na ukoo mzima:angry:
Afu nikumbushe mara ya mwisho kabla sijajilima ban jf mme wangu alikuwa ni nani vile??? lol
basi nakwachia ila utamrudisha mwenyewe bila kuombwa....
View attachment 198026amepataje ajali na alikuwa amefunga mkanda?@valentina sema una lako jambo!
Mke wangu mi siendi kokote, em fanya ile kitu mhimu zaidi ya limbwata "maombi"
Mme umenambia huendi kokote maombi ya nini tena??
Nisiumwe mama
hahahaaaaaa umeanza siasa zako dear,...ka nakuona vile. haya damu ya Yesu ikufunike hapana gonjwa lolote juu yako my husband...
View attachment 198026amepataje ajali na alikuwa amefunga mkanda?@valentina sema una lako jambo!
Wooooow pacha langu hilo daaah..... Miss you more my pacha yaan mpaka naumwa :angry:
Teh teh ...... Hivi kumbe mupogo eeh
Napita tu mie